Mashabiki na wanachama wa Simba hawajaumizwa na matokeo bali wanaumizwa na timu inavyocheza

Mashabiki na wanachama wa Simba hawajaumizwa na matokeo bali wanaumizwa na timu inavyocheza

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Nafikiri kuna point muhimu wanayo mashabiki na wanachama wa simba nayo ni namna timu inavyoperform uwanjani.

Wanachezaje, je wanakosa matokeo dhidi ya timu ya aina gani, ni hoja ya msingi sana wanayo, usajili waliofanya kmc na walioufanya simba auendani na uhalisia wakiwa uwanjani.

Kufungwa ama kudroo ni jambo la kawaida kwenye soka lakini je umetoa droo na timu ya aina gani na ukiwa unacheza mpira wa aina gani ndio hoja ya msingi msitoke nje ya hoja
 
..je umetoa droo na timu gani?

Naunga mkono hiyo sentensi yako. Kweli kabisa hata Mimi naona hapo ndo kwenye tatizo. Na Kwa nchi yetu naongezea "Na kwenye uwanja gani?" Simba siyo ya kuvuja jasho kutafuta Sare na KMC Kwa Mkapa.
Nafikiri kuna point muhimu wanayo mashabiki na wanachama wa simba nayo ni namna timu inavyoperform uwanjani, wanachezaje, je wanakosa matokeo dhidi ya timu ya aina gani, ni hoja ya msingi sana wanayo, usajili waliofanya kmc na walioufanya simba auendani na uhalisia wakiwa uwanjani, kufungwa ama kudroo ni jambo la kawaida kwenye soka lakini je umetoa droo na timu ya aina gani na ukiwa unacheza mpira wa aina gani ndio hoja ya msingi msitoke nje ya hoja
Ajibu kwa Maswali yako ni hivi, Kwanini Simba haiparfome na haipati matokeo kwa timu dhaifu? Jibi ni tatizo la kiufundi simba haina benchi dhabiti lenye mipango dhabiti la kiufundi, ndani ya mwaka mmoja mmekuwa na makocha wangapi?

Kwanini Simba hawana benchi dhabiti? kwasababu simba haina management dhabiti ya kiuongozi, Management haina mipango ya muda mfupi na mrefu ya kuisuka timu baada ya kuuza wachezaji waliifikisha timu kwenye mafanikio.

kwa kwanini? Kwasababu Mo ambaye ndiye mfadhili wa simba ni mjanja mjanja alikuwa na lengo la kuitengeneza simba kweli ikapata imafanikio mwisho wa siku akauza wachezaji chama, miqson wakati bado timu ilikuwa inawahitaji,

Wanasimba walitegemea, management wangewauza wachezaji then wasajili wachezaji quality zaidi, ila kwasababu ni janja janja mkaokoteza wachezaji kwa gharama ya mapambio matokeo yake ndiyo hata mnayoteseka nayo sasa.

Suluhisho kwa sasa,
Mkubali mlikosea, acheni timu ipate matokeo yoyote bila kunyoonsheana vidole mjue panapovuja vizuri, msimu ujao mrekebishe.

Angalizo kama hatutabadili jinsi tinavyoendesha timu zetu hasa simba yanga, maumivu yatatuhusu sana, tupambambanie mabadiliko, tuache utegemezi kwa watu/mtu, mabadiliko hayo yatawavuta wafadhili sio kama sasa.
 
Nafikiri kuna point muhimu wanayo mashabiki na wanachama wa simba nayo ni namna timu inavyoperform uwanjani, wanachezaje, je wanakosa matokeo dhidi ya timu ya aina gani, ni hoja ya msingi sana wanayo, usajili waliofanya kmc na walioufanya simba auendani na uhalisia wakiwa uwanjani, kufungwa ama kudroo ni jambo la kawaida kwenye soka lakini je umetoa droo na timu ya aina gani na ukiwa unacheza mpira wa aina gani ndio hoja ya msingi msitoke nje ya hoja
ume nail kabisa hilo ndilo tatizo just last week hawa wachezaji kule sudan walikuwa wanakaba na kushambulia kwa pamoja jana wamekataa kucheza kabisa yaani ni kama kuna mgomo

Umesahau kitu though, ule upuuzi wa jana unakumbusha machungu ya viongozi kufanyia masihara ya usajili wa namba 9 na namba 6 na hilo suala litasemwa sana kila team itakapoteleza ndiyo maana wengine walihoji kama 460 millions za kuwapa vipers for manzoki hakuna hela za MBET zinafanya nini?
 
Simba ipo vizuri kwanza wana CECAFA, wemealikwa na wakubwa wenzao Sudan na wanamthungu.

Walijificha kwenye draw ya Azam kelele nyingi mmedraw tena mmechomoa nyie, halafu hii timu icheze na Azam ......mmmmhhhhh.
 
Bado kuna Azam, Singida, Namungo na wengine....yajayo yanatatanisha.
 
Back
Top Bottom