Mashabiki na wanachama wengi wa Chama cha Mapinduzi hawajui kujenga hoja, wamebaki tu kutukana Watu

Mashabiki na wanachama wengi wa Chama cha Mapinduzi hawajui kujenga hoja, wamebaki tu kutukana Watu

CCM Ni Bahari.....

Unapotujumuisha WOTE katika JUMU moja Hututendei Haki.....

Ni Kweli MATUSI Hayana Nafasi Katika Ulimwengu wa HOJA na umenikumbusha baba wa Taifa alipoandika Kijitabu TUJISAHIHISHE.....

Ndani Mwa Kile Kitabu Kuna Mengi Mazuri Ya Kujifunza.

Nionacho Ni Kuwa Wako WanaCCM wengi Walioanza Kuchoka na Kukata Tamaa KWA kule KUKITHIRI RUSHWA PAPA,ukosefu wa maadili,uwajibikaji BUTU na UPOGO katika Utumishi Wa Umma lakini Hali imekuwa tofauti na Sasa....Magufuli Is a saviour of us from the rotten status quo deepened in our beloved nation....

Magufuli amekuwa MWAMUZI wa kuwazindua wanaCCM na Watanzania kwa kuwafanya kuwa WAZALENDO ZAIDI kuliko kipindi kingine ukitoa kile Cha mwanzomwanzo wa Uongozi wa Baba Wa Taifa.....

Huu Uzalendo Aliouamsha Rais Magufuli Ndio Huo Unaowapagawisha wengine KUTUKANA na kuwaona wakosoaji wa Magufuli Kama MAADUI wa kuturudisha kule kubaya TUTOKAKO.....

Kila MZALENDO wa Kweli hataki kuona Tunarejea kule kwa HOVYO....

Post Yako Iwape Zinduo la kujua kuwa Mh.Magufuli kwa kipawa chake PEKEE na Ululu Wake Ana Dhima Kuu Ya Kuijenga Taasisi IMARA ya kiuongozi na Kiutawala kwa kuzidi kuiboresha ndani ya miaka yake 5 ijayo....

Mh.Magufuli ni YEYE pekee aliyeiwini Mioyo ya Vijana WaCCM wenye kutambua vyema tuliko na huko tunakotaka KWENDA.

Nikiwa Kama kijana,simuoni mwengine mwenye KALIBA aliyonayo Magufuli basi Shime kwa wanaomsaidia mheshimiwa Mwenyekiti Wamueleze kuwa tunatambua nia yake NJEMA juu ya Taifa na chama chetu,lakini hebu aongeze UBORA ili kukiachia CHAMA LEGACY kuu ya KITAASISI na isiwe akiondoka yeye Tunarejea kule nisikotaka na wasikotaka Vijana kurejea.

Baba Wa Taifa alinadi" nang'atuka,na bila CCM imara,nchi yetu itayumba".

CCM Bora zaidi ndiyo nguzo ya HISTORIA YA TAIFA LETU PENDWA.

Siempre Siempre CCM
Hasta la Victoria CCM
Aluta Continua.

Kijana Muuza Al Kasus,
Jumbe Brown,
Uswahilini Tandale Kwa Mtogole.
 
CCM Ni Bahari.....

Unapotujumuisha WOTE katika JUMU moja Hututendei Haki.....

Ni Kweli MATUSI Hayana Nafasi Katika Ulimwengu wa HOJA na umenikumbusha baba wa Taifa alipoandika Kijitabu TUJISAHIHISHE.....

Ndani Mwa Kile Kitabu Kuna Mengi Mazuri Ya Kujifunza.

Nionacho Ni Kuwa Wako WanaCCM wengi Walioanza Kuchoka na Kukata Tamaa KWA kule KUKITHIRI RUSHWA PAPA,ukosefu wa maadili,uwajibikaji BUTU na UPOGO katika Utumishi Wa Umma lakini Hali imekuwa tofauti na Sasa....Magufuli Is a saviour of us from the rotten status quo deepened in our beloved nation....

Magufuli amekuwa MWAMUZI wa kuwazindua wanaCCM na Watanzania kwa kuwafanya kuwa WAZALENDO ZAIDI kuliko kipindi kingine ukitoa kile Cha mwanzomwanzo wa Uongozi wa Baba Wa Taifa.....

Huu Uzalendo Aliouamsha Rais Magufuli Ndio Huo Unaowapagawisha wengine KUTUKANA na kuwaona wakosoaji wa Magufuli Kama MAADUI wa kuturudisha kule kubaya TUTOKAKO.....

Kila MZALENDO wa Kweli hataki kuona Tunarejea kule kwa HOVYO....

Post Yako Iwape Zinduo la kujua kuwa Mh.Magufuli kwa kipawa chake PEKEE na Ululu Wake Ana Dhima Kuu Ya Kuijenga Taasisi IMARA ya kiuongozi na Kiutawala kwa kuzidi kuiboresha ndani ya miaka yake 5 ijayo....

Mh.Magufuli ni YEYE pekee aliyeiwini Mioyo ya Vijana WaCCM wenye kutambua vyema tuliko na huko tunakotaka KWENDA.

Nikiwa Kama kijana,simuoni mwengine mwenye KALIBA aliyonayo Magufuli basi Shime kwa wanaomsaidia mheshimiwa Mwenyekiti Wamueleze kuwa tunatambua nia yake NJEMA juu ya Taifa na chama chetu,lakini hebu aongeze UBORA ili kukiachia CHAMA LEGACY kuu ya KITAASISI na isiwe akiondoka yeye Tunarejea kule nisikotaka na wasikotaka Vijana kurejea.

Baba Wa Taifa alinadi" nang'atuka,na bila CCM imara,nchi yetu itayumba".

CCM Bora zaidi ndiyo nguzo ya HISTORIA YA TAIFA LETU PENDWA.

Siempre Siempre CCM
Hasta la Victoria CCM
Aluta Continua.

Kijana Muuza Al Kasus,
Jumbe Brown,
Uswahilini Tandale Kwa Mtogole.
Ahsante sana kaka kwa kuwaelewesha hawa vijana walio shikiwa akili na watu walioishiwa maono wa upinzani nimefurahi sana ulivyo wamwagia mchele wale na wajirambe sasa

Sent from my SM-A320FL using JamiiForums mobile app
 
Wachaaah kwaiyo jeshi liwe upande wa wananchi mala ngapi au wanajeshi ni akina nani si ni hao tunaishi nao mitaani na wengine ni ndugu zetu sasa unasemaje wawe upande wa wananchi ikiwa wao wenyewe ni wananchi, acheni maneno ya porojo ya kupotosha umma jamani

Sent from my SM-A320FL using JamiiForums mobile app

Narudia tena, uhayawani unaofanyika hakuna asiyeujua, ila kuna wakuu kadhaa wa taasisi za kimamlaka, ambao wanapewa mapato ya kufuru ili kuwaziba macho na midomo ili waagize taasisi zao ziwe upande wa hujuma. Haya yanayofanyika sio mageni boss, kwenye nchi zote za kidictator ni mambo ya kawaida sana. Ngoja tuendelee kutunza rekodi vya ukatili unaofanyika, ushahidi utakaa mezani tu. Ngoja kipatikane kilipuzi tu hutaamini macho yako.
 
Wasalaam
Nimekuwa mfuatiliaji wa mambo ya siasa kwa muda mrefu sasa .
Lakini siku za hivi karibuni baada ya Mh Magufuli kuingia madarakani wana CCM wengi wameacha kujadili vitu na watu kwa hoja sasa ni kushambulia tu watu ama kwa kuwatishia kuwaua au kuwaangamiza wanavyojua.
Mathalani mnaweza kuwambia uwepo Mdahalo wa wagombee Uraisi watakwambia kwa kazi alifonya Magufuli hatakiwi kufanya mdahalo,ukimtupia tena swali basi asifanye campaign kwa vile kazi yake inaonekana anakosa hoja.

Kiukweli wana CCM wanaboa sana wanabaki kujivua kombati zao na ukivuli wa kuwa karibu na UT NA PT zaidi hawana jipya ni matusi tu.

Zamani ukutane na akina Mwakyembe,Selelii,Ole Sendeka wanapanga hoja wanapangua hoja .
Ila muda kuanzia mwenyekiti ,katibu Mwenezi wanapayukapayuka tu .

Muulize Mwenyekiti maswali majibu yake ni ya kudhalilisha tu akina mama na wanawake.

CCM mjirekebishe jingeni hoja jibuni hoja.
Kizazi hiki cha Leo sio cha 48 watu wamesoma watu wameelimika.
Mnaeda kudidimia kwa sababu nguvu za dola zitakuja kushindwa na nguvu za umma siku moja na mtafutikana Milele.
Msifikiri upinzani ni vyama upinzani ni wananchi
Mie huwa nashindwa kuelewa,hivi huwa mnaipa ccm ushauri kwa sababu gani,au mnaipenda kisiri Siri?
 
Wachaaah kwaiyo jeshi liwe upande wa wananchi mala ngapi au wanajeshi ni akina nani si ni hao tunaishi nao mitaani na wengine ni ndugu zetu sasa unasemaje wawe upande wa wananchi ikiwa wao wenyewe ni wananchi, acheni maneno ya porojo ya kupotosha umma jamani

Sent from my SM-A320FL using JamiiForums mobile app
Umetoa Maneno Kuntu Haswa😍😍👍👍👍👍👍
 
Narudia tena, uhayawani unaofanyika hakuna asiyeujua, ila kuna wakuu kadhaa wa taasisi za kimamlaka, ambao wanapewa mapato ya kufuru ili kuwaziba macho na midomo ili waagize taasisi zao ziwe upande wa hujuma. Haya yanayofanyika sio mageni boss, kwenye nchi zote za kidictator ni mambo ya kawaida sana. Ngoja tuendelee kutunza rekodi vya ukatili unaofanyika, ushahidi utakaa mezani tu. Ngoja kipatikane kilipuzi tu hutaamini macho yako.
Nakueleza kijana mwengangu wewe huna hoja hapa kiukweli ila nakushauri kilipuzi kizuri ni kumuunga mkono mh raisi magufuli kwa juhudi zake kwenye nchi hii kwa kumpigia kura ya ndio ili tuzidi kisonga mbele

Sent from my SM-A320FL using JamiiForums mobile app
 
Ahsante sana kaka kwa kuwaelewesha hawa vijana walio shikiwa akili na watu walioishiwa maono wa upinzani nimefurahi sana ulivyo wamwagia mchele wale na wajirambe sasa

Sent from my SM-A320FL using JamiiForums mobile app
Swadakta Mkuu Wangu,wale ndugu zetu wa Pemba Husema "halitaki hata tochi......"😁😁😁
 
Umetoa Maneno Kuntu Haswa[emoji7][emoji7][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
Watatuelewa tu na wataacha kutumika vibaya lazima tuwambie ukweli wanasema CMM hatuna hoja wewe umena hoja gani walio nayo [emoji1787][emoji1787][emoji1787] wapuuzi tu

Sent from my SM-A320FL using JamiiForums mobile app
 
CCM Ni Bahari.....

Unapotujumuisha WOTE katika JUMU moja Hututendei Haki.....

Ni Kweli MATUSI Hayana Nafasi Katika Ulimwengu wa HOJA na umenikumbusha baba wa Taifa alipoandika Kijitabu TUJISAHIHISHE.....

Ndani Mwa Kile Kitabu Kuna Mengi Mazuri Ya Kujifunza.

Nionacho Ni Kuwa Wako WanaCCM wengi Walioanza Kuchoka na Kukata Tamaa KWA kule KUKITHIRI RUSHWA PAPA,ukosefu wa maadili,uwajibikaji BUTU na UPOGO katika Utumishi Wa Umma lakini Hali imekuwa tofauti na Sasa....Magufuli Is a saviour of us from the rotten status quo deepened in our beloved nation....

Magufuli amekuwa MWAMUZI wa kuwazindua wanaCCM na Watanzania kwa kuwafanya kuwa WAZALENDO ZAIDI kuliko kipindi kingine ukitoa kile Cha mwanzomwanzo wa Uongozi wa Baba Wa Taifa.....

Huu Uzalendo Aliouamsha Rais Magufuli Ndio Huo Unaowapagawisha wengine KUTUKANA na kuwaona wakosoaji wa Magufuli Kama MAADUI wa kuturudisha kule kubaya TUTOKAKO.....

Kila MZALENDO wa Kweli hataki kuona Tunarejea kule kwa HOVYO....

Post Yako Iwape Zinduo la kujua kuwa Mh.Magufuli kwa kipawa chake PEKEE na Ululu Wake Ana Dhima Kuu Ya Kuijenga Taasisi IMARA ya kiuongozi na Kiutawala kwa kuzidi kuiboresha ndani ya miaka yake 5 ijayo....

Mh.Magufuli ni YEYE pekee aliyeiwini Mioyo ya Vijana WaCCM wenye kutambua vyema tuliko na huko tunakotaka KWENDA.

Nikiwa Kama kijana,simuoni mwengine mwenye KALIBA aliyonayo Magufuli basi Shime kwa wanaomsaidia mheshimiwa Mwenyekiti Wamueleze kuwa tunatambua nia yake NJEMA juu ya Taifa na chama chetu,lakini hebu aongeze UBORA ili kukiachia CHAMA LEGACY kuu ya KITAASISI na isiwe akiondoka yeye Tunarejea kule nisikotaka na wasikotaka Vijana kurejea.

Baba Wa Taifa alinadi" nang'atuka,na bila CCM imara,nchi yetu itayumba".

CCM Bora zaidi ndiyo nguzo ya HISTORIA YA TAIFA LETU PENDWA.

Siempre Siempre CCM
Hasta la Victoria CCM
Aluta Continua.

Kijana Muuza Al Kasus,
Jumbe Brown,
Uswahilini Tandale Kwa Mtogole.

Tatizo la kujenga hoja la wanaccm linaanzia kwa yule aliye juu kabisa, na wateule wake wote wanaiga udhaifu wa boss wao, kwenye kile kichaka cha kwenda na kasi ya kiongozi wao. Na kwa bahati mbaya hata wateule wake ni wale wasioweza kujenga hoja, bali watumiaji wa mabavu kuliko diplomasia. Hili imechangia kutoka awamu ya iliyopita ya wenye pesa kusema unajua mimi ni nani, kuhamia kwa wateule kutambia kufahamika wao ni kina nani.
 
Wasalaam,

Nimekuwa mfuatiliaji wa mambo ya siasa kwa muda mrefu sasa .

Lakini siku za hivi karibuni baada ya Mh Magufuli kuingia madarakani wana CCM wengi wameacha kujadili vitu na watu kwa hoja sasa ni kushambulia tu watu ama kwa kuwatishia kuwaua au kuwaangamiza wanavyojua.

Mathalani mnaweza kuwambia uwepo Mdahalo wa wagombee Urais watakwambia kwa kazi alifonya Magufuli hatakiwi kufanya mdahalo,ukimtupia tena swali basi asifanye campaign kwa vile kazi yake inaonekana anakosa hoja.

Kiukweli wana CCM wanaboa sana wanabaki kujivua kombati zao na ukivuli wa kuwa karibu na UT NA PT zaidi hawana jipya ni matusi tu.

Zamani ukutane na akina Mwakyembe,Selelii,Ole Sendeka wanapanga hoja wanapangua hoja .

Ila muda kuanzia mwenyekiti ,katibu Mwenezi wanapayukapayuka tu .

Muulize Mwenyekiti maswali majibu yake ni ya kudhalilisha tu akina mama na wanawake.

CCM mjirekebishe jingeni hoja jibuni hoja.

Kizazi hiki cha Leo sio cha 48 watu wamesoma watu wameelimika.

Mnaeda kudidimia kwa sababu nguvu za dola zitakuja kushindwa na nguvu za umma siku moja na mtafutikana Milele.

Msifikiri upinzani ni vyama upinzani ni wananchi

Wameshachagua hukumu yao. Ni kushindwa Uchaguzi. Kwa sasa wamekata tamaa. CCM ijiandae kisaikolojia kuwa chama Cha upinzani baada ya uchaguzi 2020.
 
Nakueleza kijana mwengangu wewe huna hoja hapa kiukweli ila nakushauri kilipuzi kizuri ni kumuunga mkono mh raisi magufuli kwa juhudi zake kwenye nchi hii kwa kumpigia kura ya ndio ili tuzidi kisonga mbele

Sent from my SM-A320FL using JamiiForums mobile app

Sidhani kama ww ni kijana, nahisi utakuwa ni mzee ndio maana umeandika bila kuona mahali pa kuweka koma ama nukta. Huyo Magufuli mpigie kura ww maana ndio unategemea kuboreshewa maisha yako na yeye, sisi wengine hatuamini kwenye kiongozi imara bali tunaamini taasisi imara. Hivyo hatuna muda wa kumuunga mkono kiongozi asiyeheshimu mifumo, bali anayetaka kutukuzwa.
 
Kwa Mfano Leo Treni Ya Mizigo Ya KWANZA Imefika Arusha baada ya miaka 30....

Hebu FIKIRI KIDOGO...miongo 3 WanaArusha Hawakuiona Treni....😁😁😁😁

Unajiuliza Je Hawakuwa na Uhitaji Wa Garimoshi Hizo?!!

Jibu.

Walikuwa na UHITAJI nayo...

Tatizo lilikuwa ni Nini?!!!

Jibu.....

MFUMO MBOVU wa KUHUJUMU Miundombinu ULIOKUWA UNANUKA kwa UOZA ili IWE FAIDA ya viongozi wachache WALIOKUWA wanufaika wa SYNDICATE hiyo.....

Leo anakuja Magufuli kuyafuta hayo "mandwanye" Wanatokea watu wanamkebehi,kumzodoa na KUMTUKANA...
Haya ndiyo yanayowafanya baadhi ya Vijana Wa CCM nao Kuamua KUTUSI kizwazwa wale wote wanaowatia CHUSHO katika mioyo Yao....

Ninawaelewa hao vijana wenzangu WATUSI nje ya HOJA TUNDUIZI kuwa "inatiaga hasira kwa Kweli"...

Ushauri wangu kwao....

Warelaaaaax,wavute pumzi......

Warelaaaaaaaax wawe na Uvumilivu mkuu KIUKOMAVU ,watulize munkari,wawazoee hao WAZODOAJI "Mifulafula"kwa kutowaiga ARGUMENTUM AD HOMINEM zao....

Wao Wawanyunyuzie MARASHI ya HOJA ng'aring'ari aliyofanya mh.Magufuli ndani ya hii miaka 5 kwa MWENDO wa asteaste.....

Wataelewa tu...
Watamuelewa tu mh.Magufuli.....
 
Sidhani kama ww ni kijana, nahisi utakuwa ni mzee ndio maana umeandika bila kuona mahali pa kuweka koma ama nukta. Huyo Magufuli mpigie kura ww maana ndio unategemea kuboreshewa maisha yako na yeye, sisi wengine hatuamini kwenye kiongozi imara bali tunaamini taasisi imara. Hivyo hatuna muda wa kumuunga mkono kiongozi asiyeheshimu mifumo, bali anayetaka kutukuzwa.
Endelea kuamini hayo unayo amini ila jua unacho kiamini hakipo na hakitawepo endelea kuwapa ugali matapeli wa ufipa

Sent from my SM-A320FL using JamiiForums mobile app
 
Kada yeyote ukimtoa nje ya
Sgr
Stigla
Madaraja
Mandege ya bombadia

Huwa hawana kingine cha kusema.
Ndio tatizo la kukaririshwa. Jiwe nae alilazimisha kununua korosho akijivunia hayohayo, yaliyomkuta ukikumbusha CCM wanawahi kwenda kulala
 
Wasalaam,

Nimekuwa mfuatiliaji wa mambo ya siasa kwa muda mrefu sasa .

Lakini siku za hivi karibuni baada ya Mh Magufuli kuingia madarakani wana CCM wengi wameacha kujadili vitu na watu kwa hoja sasa ni kushambulia tu watu ama kwa kuwatishia kuwaua au kuwaangamiza wanavyojua.

Mathalani mnaweza kuwambia uwepo Mdahalo wa wagombee Urais watakwambia kwa kazi alifonya Magufuli hatakiwi kufanya mdahalo,ukimtupia tena swali basi asifanye campaign kwa vile kazi yake inaonekana anakosa hoja.

Kiukweli wana CCM wanaboa sana wanabaki kujivua kombati zao na ukivuli wa kuwa karibu na UT NA PT zaidi hawana jipya ni matusi tu.

Zamani ukutane na akina Mwakyembe,Selelii,Ole Sendeka wanapanga hoja wanapangua hoja .

Ila muda kuanzia mwenyekiti ,katibu Mwenezi wanapayukapayuka tu .

Muulize Mwenyekiti maswali majibu yake ni ya kudhalilisha tu akina mama na wanawake.

CCM mjirekebishe jingeni hoja jibuni hoja.

Kizazi hiki cha Leo sio cha 48 watu wamesoma watu wameelimika.

Mnaeda kudidimia kwa sababu nguvu za dola zitakuja kushindwa na nguvu za umma siku moja na mtafutikana Milele.

Msifikiri upinzani ni vyama upinzani ni wananchi
Yaani nchi hii apewe salum Mwalimu? Hovyo kabisa CDM.

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo la kujenga hoja la wanaccm linaanzia kwa yule aliye juu kabisa, na wateule wake wote wanaiga udhaifu wa boss wao, kwenye kile kichaka cha kwenda na kasi ya kiongozi wao. Na kwa bahati mbaya hata wateule wake ni wale wasioweza kujenga hoja, bali watumiaji wa mabavu kuliko diplomasia. Hili imechangia kutoka awamu ya iliyopita ya wenye pesa kusema unajua mimi ni nani, kuhamia kwa wateule kutambia kufahamika wao ni kina nani.
Umewajumuisha wateule wake wote kuwa HAWAJENGI HOJA...Kweli mkuu wangu?!!!

Mbona Umefanya "makusanya"?!!!

Magufuli ana wateule wengi...
Mabalozi nao HAWAJENGI HOJA?!!!
MaDas,maRas nao HAWAJENGI HOJA?!!!!!

Ama UMEKUWA tofauti na mwenendo wa baadhi ya "wanasiasa"yaani Hawa MaDC,MaRC ambao huwa wako "front" kwenye mengi na huonekana SANA kila uchao?!!!

All and All Kama Kuna mapungufu basi wao ni binadamu..... ila hawatakiwi kujificha kwenye kichaka Cha "kujipendekeza" kwani mh.Rais ameshayaonya hayo......

Mwishowe kabisa Magufuli ni binadamu na ana PACKAGE ya personality yake.....

Kama Kuna mtu atamjudge vibaya kwa HULKA YAKE YA ASILI ima kwa "KUMFUATA ALIVYO" ama "KUMZODOA ALIVYO" Basi huyo ndiye ANAYEKOSEA zaidi,awe YEYOTE na CHEO CHOCHOTE.....

Kuijua HUMAN PSYCHOLOGY Ni Jambo jema unapohusiana na wanadamu wenzako....
 
Back
Top Bottom