Mashabiki na wanachama wengi wa Chama cha Mapinduzi hawajui kujenga hoja, wamebaki tu kutukana Watu

Mashabiki na wanachama wengi wa Chama cha Mapinduzi hawajui kujenga hoja, wamebaki tu kutukana Watu

Wasalaam,

Nimekuwa mfuatiliaji wa mambo ya siasa kwa muda mrefu sasa .

Lakini siku za hivi karibuni baada ya Mh Magufuli kuingia madarakani wana CCM wengi wameacha kujadili vitu na watu kwa hoja sasa ni kushambulia tu watu ama kwa kuwatishia kuwaua au kuwaangamiza wanavyojua.

Mathalani mnaweza kuwambia uwepo Mdahalo wa wagombee Urais watakwambia kwa kazi alifonya Magufuli hatakiwi kufanya mdahalo,ukimtupia tena swali basi asifanye campaign kwa vile kazi yake inaonekana anakosa hoja.

Kiukweli wana CCM wanaboa sana wanabaki kujivua kombati zao na ukivuli wa kuwa karibu na UT NA PT zaidi hawana jipya ni matusi tu.

Zamani ukutane na akina Mwakyembe,Selelii,Ole Sendeka wanapanga hoja wanapangua hoja .

Ila muda kuanzia mwenyekiti ,katibu Mwenezi wanapayukapayuka tu .

Muulize Mwenyekiti maswali majibu yake ni ya kudhalilisha tu akina mama na wanawake.

CCM mjirekebishe jingeni hoja jibuni hoja.

Kizazi hiki cha Leo sio cha 48 watu wamesoma watu wameelimika.

Mnaeda kudidimia kwa sababu nguvu za dola zitakuja kushindwa na nguvu za umma siku moja na mtafutikana Milele.

Msifikiri upinzani ni vyama upinzani ni wananchi
FB_IMG_1575390806699.jpg
FB_IMG_1575390800494.jpg
 
Hapa ndio naamini ule utafiti kwamba Ccm inapendwa zaidi na vilaza na wazee,Mana ndio nini kuliandika jina la Rais wako kwa muandiko huo?viherufi vidogo nikukosa akili au ukilaza.
(Yote haya yanasababishwa na ccm,mfumo mbovu wakuzalisha vilaza mashuleni ili wawatawale.)
IMG-20180405-WA0006.jpeg
 
Wasalaam,

Nimekuwa mfuatiliaji wa mambo ya siasa kwa muda mrefu sasa .

Lakini siku za hivi karibuni baada ya Mh Magufuli kuingia madarakani wana CCM wengi wameacha kujadili vitu na watu kwa hoja sasa ni kushambulia tu watu ama kwa kuwatishia kuwaua au kuwaangamiza wanavyojua.

Mathalani mnaweza kuwambia uwepo Mdahalo wa wagombee Urais watakwambia kwa kazi alifonya Magufuli hatakiwi kufanya mdahalo,ukimtupia tena swali basi asifanye campaign kwa vile kazi yake inaonekana anakosa hoja.

Kiukweli wana CCM wanaboa sana wanabaki kujivua kombati zao na ukivuli wa kuwa karibu na UT NA PT zaidi hawana jipya ni matusi tu.

Zamani ukutane na akina Mwakyembe,Selelii,Ole Sendeka wanapanga hoja wanapangua hoja .

Ila muda kuanzia mwenyekiti ,katibu Mwenezi wanapayukapayuka tu .

Muulize Mwenyekiti maswali majibu yake ni ya kudhalilisha tu akina mama na wanawake.

CCM mjirekebishe jingeni hoja jibuni hoja.

Kizazi hiki cha Leo sio cha 48 watu wamesoma watu wameelimika.

Mnaeda kudidimia kwa sababu nguvu za dola zitakuja kushindwa na nguvu za umma siku moja na mtafutikana Milele.

Msifikiri upinzani ni vyama upinzani ni wananchi


Yaani wanaweza kukaa na wasanii wa bongo flava kuongea siku nzima lakini ukiwaambia mdahalo wa masaa mawili wanaogopa. Cha kushangaza kuna watu wana watetea
 
Wasalaam,

Nimekuwa mfuatiliaji wa mambo ya siasa kwa muda mrefu sasa .

Lakini siku za hivi karibuni baada ya Mh Magufuli kuingia madarakani wana CCM wengi wameacha kujadili vitu na watu kwa hoja sasa ni kushambulia tu watu ama kwa kuwatishia kuwaua au kuwaangamiza wanavyojua.

Mathalani mnaweza kuwambia uwepo Mdahalo wa wagombee Urais watakwambia kwa kazi alifonya Magufuli hatakiwi kufanya mdahalo,ukimtupia tena swali basi asifanye campaign kwa vile kazi yake inaonekana anakosa hoja.

Kiukweli wana CCM wanaboa sana wanabaki kujivua kombati zao na ukivuli wa kuwa karibu na UT NA PT zaidi hawana jipya ni matusi tu.

Zamani ukutane na akina Mwakyembe,Selelii,Ole Sendeka wanapanga hoja wanapangua hoja .

Ila muda kuanzia mwenyekiti ,katibu Mwenezi wanapayukapayuka tu .

Muulize Mwenyekiti maswali majibu yake ni ya kudhalilisha tu akina mama na wanawake.

CCM mjirekebishe jingeni hoja jibuni hoja.

Kizazi hiki cha Leo sio cha 48 watu wamesoma watu wameelimika.

Mnaeda kudidimia kwa sababu nguvu za dola zitakuja kushindwa na nguvu za umma siku moja na mtafutikana Milele.

Msifikiri upinzani ni vyama upinzani ni wananchi
Hamna nguvu ya umma inyoweza kutoa ridhaa ya kushika dola kwa mjasiriamali anayependa midaharo
 
Vipo vingi sana kaka
Wafanyabiashara ndogo wako free
Elimu ni bure utoi ada
Mgao wa umeme hakuna
Hospitali na zahanati zimejaa kila kona
Barabara za mijini zimewekwa bora kama unaishi dar nadhani unajionea
Adabu makazini
Kifupi kafanya mengi sana kaka acha unafiki

Sent from my SM-A320FL using JamiiForums mobile app
nawaongea kwenye kampeni mje na juu ujimga wenu matajuta
 
[emoji1787][emoji1787] kiukweli wana ccm wana hoja na wanajua kuzipangilia ukiangalia kazi iliyofanyika na serikali ya awamu zote5 ni wazi kuwa ccm ndio imetufikisha hapa tulipo na kiukweli tumepiga hatua kubwa sana katika kila awamu katika kila nyanja, ila inawezekana wewe ulikutana na mwana CCM asie jua kupanga na kuelezea hoja mmoja ukaamua kujumuisha wote, ila amini nakueleza ukweli unao moyoni mwako wagombea wa vyama pinzani walio teuliwa kugombea uraisi awamu hii wote hawatoshi kuwa maraisi isopokuwa mh john pombe magufuli

Wenzio wanapiga wagombea wa vyama vya upinzani huko kwa Waziri Mkuu wewe unasema wanakuwa kujenga hoja sijui maendeleo yakaenda yakarudi. Mbona awamu zilizotangulia kulikuwa hakuna hizi mbinu za kutafuta Ushindi wa mezani kama kuna maendeleo yamefanyika kwanini nguvu kubwa sana kuzuia wapinzani.
 
[emoji1787][emoji1787] kiukweli wana ccm wana hoja na wanajua kuzipangilia ukiangalia kazi iliyofanyika na serikali ya awamu zote5 ni wazi kuwa ccm ndio imetufikisha hapa tulipo na kiukweli tumepiga hatua kubwa sana katika kila awamu katika kila nyanja, ila inawezekana wewe ulikutana na mwana CCM asie jua kupanga na kuelezea hoja mmoja ukaamua kujumuisha wote, ila amini nakueleza ukweli unao moyoni mwako wagombea wa vyama pinzani walio teuliwa kugombea uraisi awamu hii wote hawatoshi kuwa maraisi isopokuwa mh john pombe magufuli
Ni kweli ni ccm ndio imetufikisha hapo kwani hakuna chama cho hote cha kukiangushia lawama kea kuwa ni wao ccm wametawala toka uhuru mpaka sasa sioni cha kujivunia zaidi ya ngao ya bibi na bwana,ambayo hakuna sehemu nyingine wanayo nhao kama hiyo ya binaadamu,kwenye maendeleo mengine ni chechw tupu,
 
Ni kweli ni ccm ndio imetufikisha hapo kwani hakuna chama cho hote cha kukiangushia lawama kea kuwa ni wao ccm wametawala toka uhuru mpaka sasa sioni cha kujivunia zaidi ya ngao ya bibi na bwana,ambayo hakuna sehemu nyingine wanayo nhao kama hiyo ya binaadamu,kwenye maendeleo mengine ni chechw tupu,
Kama huoni cha kujivunia nakuomba jivunie hiyo amani uliyo nayo mpaka unaweza kucharaza maandishi jf, maana hiyo amani pia imeletwa na chama tawala CCM

Sent from my SM-A320FL using JamiiForums mobile app
 
Wenzio wanapiga wagombea wa vyama vya upinzani huko kwa Waziri Mkuu wewe unasema wanakuwa kujenga hoja sijui maendeleo yakaenda yakarudi. Mbona awamu zilizotangulia kulikuwa hakuna hizi mbinu za kutafuta Ushindi wa mezani kama kuna maendeleo yamefanyika kwanini nguvu kubwa sana kuzuia wapinzani.
Sio kweli hayo ni maneno yenu ya kila siku mkidai mnaonewa ilimladi tu mpate kiki poleni sana aiseh maana mmeshikwa pabaya sana

Sent from my SM-A320FL using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787] kiukweli wana ccm wana hoja na wanajua kuzipangilia ukiangalia kazi iliyofanyika na serikali ya awamu zote5 ni wazi kuwa ccm ndio imetufikisha hapa tulipo na kiukweli tumepiga hatua kubwa sana katika kila awamu katika kila nyanja, ila inawezekana wewe ulikutana na mwana CCM asie jua kupanga na kuelezea hoja mmoja ukaamua kujumuisha wote, ila amini nakueleza ukweli unao moyoni mwako wagombea wa vyama pinzani walio teuliwa kugombea uraisi awamu hii wote hawatoshi kuwa maraisi isopokuwa mh john pombe magufuli
Naalie toa hoja tetemeko sikuleta mimi?
 
Kati ya makosa makubwa CCM watajilaumu kumuacha akazuia Shughuli za Vyama vya siasa na kudhulumu uchaguzi wa Serikali za mitaaa mwaka jana ndio matokeo yake tunayaona leo
WANANCHI KOTE NCHINI BARA NA VISIWANI WAMEKUA NA SHAUKU KUBWA SANA YA KUWASIKILIZA WAPINZANI KINYUME KABISA NA MAWAZO KUWA WANGEKATA TAMAA

Kiukweli kupitia hili ccm wajifunze ;ingekua wapinzani wanapata muda wa kusema miaka mitaano hii bila kunyanyaswa leo hawangekua na la kuwaambia watu

Binadamu huna jipya la kuwafanyia au kuwapa ; WAPE KILA KITU ILA USIWANYIME MDOMO KUSEMA NA MASIKIO KUSIKIA ......Dola na Vyama vyenye Nguvu duniani zilifanya Maendeleo makubwa Lakini zilianguka kwa sababu tu waliziba watu midomo ...

Leo CCM haipo kwa watu kabisa zaidi ya kwenye Dola tena kwenye dola sio wote bali wale wenye mamlaka

Wanamikakati wa CCM wamempotosha Sana Mwenyekiti

Mwaka Huu ni maeneo machache Sana ccm inaweza kushinda kihalali Hii ni tofauti kabisa na miaka mitano nyuma Pamoja na kazi nzuri iliyofanywa

SEKRETARIET ya CCM imeuwa Chama kwenye mioyo ya watu !!!!!

Baada ya uchaguzi Huu lazima mabadiliko makubwa yafanyike kwenye sekretariet ya CCM ile ya kina Kinana na Nape was far better kwakua ilikua na approach ya kutumia siasa zaidi kuliko kutegemea kubebwa na Dola nzima .
 
[emoji1787][emoji1787] kiukweli wana ccm wana hoja na wanajua kuzipangilia ukiangalia kazi iliyofanyika na serikali ya awamu zote5 ni wazi kuwa ccm ndio imetufikisha hapa tulipo na kiukweli tumepiga hatua kubwa sana katika kila awamu katika kila nyanja, ila inawezekana wewe ulikutana na mwana CCM asie jua kupanga na kuelezea hoja mmoja ukaamua kujumuisha wote, ila amini nakueleza ukweli unao moyoni mwako wagombea wa vyama pinzani walio teuliwa kugombea uraisi awamu hii wote hawatoshi kuwa maraisi isopokuwa mh john pombe magufuli
Ww ni aina moja wapo ya watu waliozungumziwa kwenye huu uzi
 
Back
Top Bottom