kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Wewe shabiki wa timu kama usipopewa supu unywe na timu Yako upata nini kutoka kwenye timu Yako? Hasara mwanzo mwisho. Kama timu zinarejesha kwa jamii kwanini iwe shida kurejesha kwa wanachama na mashabiki? Yanga wako sahihi sana kunywa supu kutoka kwenye club yao baada ya kununua jezi, kutoa viingilio, kusafiri na timu, kulipia uwanachama, kulipia Yanga app, na kutembelea social media za timu. Mambo Yote haya yanamgharimu shabiki na mwanachama wa Yanga, Kuna ubaya gani club ikarejesha japo kidogo kwa watu wao hawa?
Hata mashabiki wa Simba wanatamani kwelikweli Ile supu lakini mo amekaza fuvu, anadai anapata hasara. Pesa wanazotumia Yanga kunywa supu ni Ile inayopatikana kwenye kitengo chao cha habari TU. Safi sana Yanga kwa ubunifu, Iko siku Simba wataliiga jambo hili. Shakini hawezi kutoka kapa mwanzo mwisho wakati anaona wako watu wananeemeka kwa kutumia jasho lao.
View: https://youtu.be/eIMS935Oiag?si=2HRXdlwd5Q8yFod8
Hata mashabiki wa Simba wanatamani kwelikweli Ile supu lakini mo amekaza fuvu, anadai anapata hasara. Pesa wanazotumia Yanga kunywa supu ni Ile inayopatikana kwenye kitengo chao cha habari TU. Safi sana Yanga kwa ubunifu, Iko siku Simba wataliiga jambo hili. Shakini hawezi kutoka kapa mwanzo mwisho wakati anaona wako watu wananeemeka kwa kutumia jasho lao.
View: https://youtu.be/eIMS935Oiag?si=2HRXdlwd5Q8yFod8