Mashabiki Simba wanatamani supu pia, wanashindwa kusema

Mashabiki Simba wanatamani supu pia, wanashindwa kusema

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Wewe shabiki wa timu kama usipopewa supu unywe na timu Yako upata nini kutoka kwenye timu Yako? Hasara mwanzo mwisho. Kama timu zinarejesha kwa jamii kwanini iwe shida kurejesha kwa wanachama na mashabiki? Yanga wako sahihi sana kunywa supu kutoka kwenye club yao baada ya kununua jezi, kutoa viingilio, kusafiri na timu, kulipia uwanachama, kulipia Yanga app, na kutembelea social media za timu. Mambo Yote haya yanamgharimu shabiki na mwanachama wa Yanga, Kuna ubaya gani club ikarejesha japo kidogo kwa watu wao hawa?

Hata mashabiki wa Simba wanatamani kwelikweli Ile supu lakini mo amekaza fuvu, anadai anapata hasara. Pesa wanazotumia Yanga kunywa supu ni Ile inayopatikana kwenye kitengo chao cha habari TU. Safi sana Yanga kwa ubunifu, Iko siku Simba wataliiga jambo hili. Shakini hawezi kutoka kapa mwanzo mwisho wakati anaona wako watu wananeemeka kwa kutumia jasho lao.


View: https://youtu.be/eIMS935Oiag?si=2HRXdlwd5Q8yFod8
 
Kila Mnyama anafuraha mnoo natamn iendelee hivhivi ila ndo hvo tena.
 
IMG_2641.png
hawa mliwapa
 
Kila Mnyama anafuraha mnoo natamn iendelee hivhivi ila ndo hvo tena.
Pale kwenye supu ya Yanga wamo Simba kibaooooo. Wengi wamevua jezi zao na kuvaa kawaida. Asikidanganye mtu bhanaa, Lete supu hapo uone mtakavyokanyagana. Kurejesha kwa wanachama na mashabiki wafia timu ni muhimu sana badala ya watu wachache kufaidika TU na timu. Eti timu inapeleka misaada kwa wenye uhitaji na kuwasahau mashabiki wao, ni uongozi bhana. Ama muuze hisa na kutoa gawio au muwape supu waambulie.

Simba ni ng'ombe tugawane mazao yake, wengine wakinywa maziwa wengine wale nyama, wengine, ngozi wakalalie, wengine mifupa wakasage chakula cha mofugo, wengine samadi wakakuzie michicha yao, wengine pembe zake wakatengeneze vishikizo na kurogeana, nk. Sasa hivi mo na kundi lake wanakula vyooote mpaka samadi,
 
Waachie shabiki wenu japo samadi wakakuzie michicha yao, mnakunywa maziwa yote, nyama, ngozi, mifupa na Kila kitu kwenye ng'ombe wao.
 
Wewe shabiki wa timu kama usipopewa supu unywe na timu Yako upata nini kutoka kwenye timu Yako? Hasara mwanzo mwisho. Kama timu zinarejesha kwa jamii kwanini iwe shida kurejesha kwa wanachama na mashabiki? Yanga wako sahihi sana kunywa supu kutoka kwenye club yao baada ya kununua jezi, kutoa viingilio, kusafiri na timu, kulipia uwanachama, kulipia Yanga app, na kutembelea social media za timu. Mambo Yote haya yanamgharimu shabiki na mwanachama wa Yanga, Kuna ubaya gani club ikarejesha japo kidogo kwa watu wao hawa?

Hata mashabiki wa Simba wanatamani kwelikweli Ile supu lakini mo amekaza fuvu, anadai anapata hasara. Pesa wanazotumia Yanga kunywa supu ni Ile inayopatikana kwenye kitengo chao cha habari TU. Safi sana Yanga kwa ubunifu, Iko siku Simba wataliiga jambo hili. Shakini hawezi kutoka kapa mwanzo mwisho wakati anaona wako watu wananeemeka kwa kutumia jasho lao.


View: https://youtu.be/eIMS935Oiag?si=2HRXdlwd5Q8yFod8

Naona kila mtu msemaji wa Simba
 
Wewe shabiki wa timu kama usipopewa supu unywe na timu Yako upata nini kutoka kwenye timu Yako? Hasara mwanzo mwisho. Kama timu zinarejesha kwa jamii kwanini iwe shida kurejesha kwa wanachama na mashabiki? Yanga wako sahihi sana kunywa supu kutoka kwenye club yao baada ya kununua jezi, kutoa viingilio, kusafiri na timu, kulipia uwanachama, kulipia Yanga app, na kutembelea social media za timu. Mambo Yote haya yanamgharimu shabiki na mwanachama wa Yanga, Kuna ubaya gani club ikarejesha japo kidogo kwa watu wao hawa?

Hata mashabiki wa Simba wanatamani kwelikweli Ile supu lakini mo amekaza fuvu, anadai anapata hasara. Pesa wanazotumia Yanga kunywa supu ni Ile inayopatikana kwenye kitengo chao cha habari TU. Safi sana Yanga kwa ubunifu, Iko siku Simba wataliiga jambo hili. Shakini hawezi kutoka kapa mwanzo mwisho wakati anaona wako watu wananeemeka kwa kutumia jasho lao.


View: https://youtu.be/eIMS935Oiag?si=2HRXdlwd5Q8yFod8

Mo eti anaponda kuhusu supu hajui kwamba supu inaunganisha familia ya yanga, (jamii), Yanga sc soup day is there to strengthen the yanga family
 
Wewe shabiki wa timu kama usipopewa supu unywe na timu Yako upata nini kutoka kwenye timu Yako? Hasara mwanzo mwisho. Kama timu zinarejesha kwa jamii kwanini iwe shida kurejesha kwa wanachama na mashabiki? Yanga wako sahihi sana kunywa supu kutoka kwenye club yao baada ya kununua jezi, kutoa viingilio, kusafiri na timu, kulipia uwanachama, kulipia Yanga app, na kutembelea social media za timu. Mambo Yote haya yanamgharimu shabiki na mwanachama wa Yanga, Kuna ubaya gani club ikarejesha japo kidogo kwa watu wao hawa?

Hata mashabiki wa Simba wanatamani kwelikweli Ile supu lakini mo amekaza fuvu, anadai anapata hasara. Pesa wanazotumia Yanga kunywa supu ni Ile inayopatikana kwenye kitengo chao cha habari TU. Safi sana Yanga kwa ubunifu, Iko siku Simba wataliiga jambo hili. Shakini hawezi kutoka kapa mwanzo mwisho wakati anaona wako watu wananeemeka kwa kutumia jasho lao.


View: https://youtu.be/eIMS935Oiag?si=2HRXdlwd5Q8yFod8

Screenshot_20240803_115036_Instagram.jpg
Screenshot_20240803_115021_Instagram.jpg

Wameamua kujinunulia wenyewe.
 
Mo eti anaponda kuhusu supu hajui kwamba supu inaunganisha familia ya yanga, (jamii), Yanga sc soup day is there to strengthen the yanga family
Anawafanya wajinga wanasimba. Yeye ananenepa na mashabiki wanakonda. Mwanachama anunue jezi, tiketi, bando na kuishangilia timu lakini asiambulie hata maji ya kunywa. Yanga wako sahihi sana, Tena waifanye ya kudumu Kila mwaka kuwe na siku ya kunywa supu pale makao makuu na matawi yanayoonhoza kulipa ada zao na kununua jezi.
 
Wewe shabiki wa timu kama usipopewa supu unywe na timu Yako upata nini kutoka kwenye timu Yako? Hasara mwanzo mwisho. Kama timu zinarejesha kwa jamii kwanini iwe shida kurejesha kwa wanachama na mashabiki? Yanga wako sahihi sana kunywa supu kutoka kwenye club yao baada ya kununua jezi, kutoa viingilio, kusafiri na timu, kulipia uwanachama, kulipia Yanga app, na kutembelea social media za timu. Mambo Yote haya yanamgharimu shabiki na mwanachama wa Yanga, Kuna ubaya gani club ikarejesha japo kidogo kwa watu wao hawa?

Hata mashabiki wa Simba wanatamani kwelikweli Ile supu lakini mo amekaza fuvu, anadai anapata hasara. Pesa wanazotumia Yanga kunywa supu ni Ile inayopatikana kwenye kitengo chao cha habari TU. Safi sana Yanga kwa ubunifu, Iko siku Simba wataliiga jambo hili. Shakini hawezi kutoka kapa mwanzo mwisho wakati anaona wako watu wananeemeka kwa kutumia jasho lao.


View: https://youtu.be/eIMS935Oiag?si=2HRXdlwd5Q8yFod8

Supu nayo ni ya kuifungia safari toka Kivule hadi Jangwani, kama sio upumbavu?
 
Inachanganywa na kinyesi kikavu Cha binadamu lengo kuwazubaisha wananchi.
Kama ingechanganywa na kinyesi basi wangeharisha sana. Sizitaki mbichi
 
Back
Top Bottom