Abuu Kauthar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2011
- 4,296
- 6,492
We mpumbavu unajionaga una akili wakati kichwa chako kama kopo la chooniHata kama ni Utopolo jitahidi kuficha upumbavu wenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mpumbavu unajionaga una akili wakati kichwa chako kama kopo la chooniHata kama ni Utopolo jitahidi kuficha upumbavu wenu
Mpumbavu mama yako. Muwe mnawaomba wanawarejeshea akili hata dk 5 tu, mkishapost wazichukueWe mpumbavu unajionaga una akili wakati kichwa chako kama kopo la chooni
Mpumbavu mama yako. Muwe mnawaomba wanawarejeshea akili hata dk 5 tu, mkishapost wazichukueWe mpumbavu unajionaga una akili wakati kichwa chako kama kopo la chooni
Lucas alikuwakilisha usijaliNingejua mapema ningeenda jana kunywa supu na chapati☺️
Yaani kopo la chooni linakuwa na thamani wakati wa kwenda tu, wakati wa kurudi linatupwaMpumbavu mama yako. Muwe mnawaomba wanawarejeshea akili hata dk 5 tu, mkishapost wazichukue
Supu wamekunywa na uwanjani wamekwenda, Simba uwanjani wamekwenda na supu hawakupewa. Nani wajinga hapo?View attachment 3060999hawa mliwapa
Wewe shabiki wa timu kama usipopewa supu unywe na timu Yako upata nini kutoka kwenye timu Yako? Hasara mwanzo mwisho. Kama timu zinarejesha kwa jamii kwanini iwe shida kurejesha kwa wanachama na mashabiki? Yanga wako sahihi sana kunywa supu kutoka kwenye club yao baada ya kununua jezi, kutoa viingilio, kusafiri na timu, kulipia uwanachama, kulipia Yanga app, na kutembelea social media za timu. Mambo Yote haya yanamgharimu shabiki na mwanachama wa Yanga, Kuna ubaya gani club ikarejesha japo kidogo kwa watu wao hawa?
Hata mashabiki wa Simba wanatamani kwelikweli Ile supu lakini mo amekaza fuvu, anadai anapata hasara. Pesa wanazotumia Yanga kunywa supu ni Ile inayopatikana kwenye kitengo chao cha habari TU. Safi sana Yanga kwa ubunifu, Iko siku Simba wataliiga jambo hili. Shakini hawezi kutoka kapa mwanzo mwisho wakati anaona wako watu wananeemeka kwa kutumia jasho lao.
View: https://youtu.be/eIMS935Oiag?si=2HRXdlwd5Q8yFod8
Foleni ya supu ya vibudu, hii mijitu haina hata kinyaa.View attachment 3060999hawa mliwapa
Sasa ndiyo iwe supu ya vibudu? Mtapata kimeta shauri yenuMo eti anaponda kuhusu supu hajui kwamba supu inaunganisha familia ya yanga, (jamii), Yanga sc soup day is there to strengthen the yanga family
Mwamba ana shingo ndefu kama twiga😂😂😂View attachment 3060999hawa mliwapa
Oyaaa hyo shingo ni editing bwana 😂😂😂View attachment 3060999hawa mliwapa
Supu ya vibudu ya siku moja inawatoa ufahamu mnaona mumepewa kitu cha maana.Anawafanya wajinga wanasimba. Yeye ananenepa na mashabiki wanakonda. Mwanachama anunue jezi, tiketi, bando na kuishangilia timu lakini asiambulie hata maji ya kunywa. Yanga wako sahihi sana, Tena waifanye ya kudumu Kila mwaka kuwe na siku ya kunywa supu pale makao makuu na matawi yanayoonhoza kulipa ada zao na kununua jezi.