Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,004
- 3,695
Ingawa wasanii wetu wengine hudhani shule sio issue as far as ana kipaji, kwa huyu msanii unaona wazi gap iliyopo kwake kutokana na kukosa ilimu dunia ya kumstaarabisha!Kiba hufikiri mashabiki wake ndio wanatakiwa kuimba halafu yeye awasikilize...
..Yule Dingi(kiba) hana kiu ya mafanikio,anaridhika wakati wasanii wenzie ukitoa diamond wanapiga kazi kila kukicha amebakiza kupiga selfie tu..tena huu mwaka ndio angejitutumua sidhani kama atakuwa mshindani halisi wa diamond 2017....atabaki hivyo hivyo!atakuwa kama Defao au Mzee Nice mkendami si shabiki wa matimu wimbo mzuri nasikiliza hata aimbe nani.. ila kiukweli alikiba ana pride sana anajiinua mno ,, na hajui umuhimu wa customer care yupo yupo tu, yani anajifanya yeye ni maji kama hutayaoga utayanywa any way ajirekebishe dunia sasa ni ushindani
shauri yake umri unaenda maiha hayasimami kama hatajiongeza anabahati mbaya..Yule Dingi(kiba) hana kiu ya mafanikio,anaridhika wakati wasanii wenzie ukitoa diamond wanapiga kazi kila kukicha amebakiza kupiga selfie tu..tena huu mwaka ndio angejitutumua sidhani kama atakuwa mshindani halisi wa diamond 2017....atabaki hivyo hivyo!atakuwa kama Defao au Mzee Nice mkenda
hahahaha hii comment imenichekesha sana eti Defao.....Yule Dingi(kiba) hana kiu ya mafanikio,anaridhika wakati wasanii wenzie ukitoa diamond wanapiga kazi kila kukicha amebakiza kupiga selfie tu..tena huu mwaka ndio angejitutumua sidhani kama atakuwa mshindani halisi wa diamond 2017....atabaki hivyo hivyo!atakuwa kama Defao au Mzee Nice mkenda
Kinachonishangaza ni Kwamba mbona Lady jayeed mambo yake hayana shida na mziki wake unakwenda vizuri tuu?Ingawa wasanii wetu wengine hudhani shule sio issue as far as ana kipaji, kwa huyu msanii unaona wazi gap iliyopo kwake kutokana na kukosa ilimu dunia ya kumstaarabisha!
Dada unamuona Defao?Ferouz?Mr Nice?......na wengine wengi...!ukiona tu ameanza kujihami kwa kujiita legend ujue tayari......Sipendelei na bila ubishi diamond ana vision sana....akiishiwa hata mashairi atajihami kuwa hata manager wa vijana wake...yeye anatengeneza nini saiv zaidi ya kuzua maneno maneno kutwa kucha kwenye mitandao.mara kazimiwa mic,mara cjui kafanyaje..yaani upuuzi tu..kiba badilika,kipaji unacho kubali kuna watu wamekuzidi mafanikio kimziki...basi pita wanapopita....Diamond amepita alipopita Davido leo huyo hapo...na wewe pita anapopita Diamond..wala usisikie aibu Kila kitu kina gharama zake.kujishusha ndo gharama ya mafanikio yakeshauri yake umri unaenda maiha hayasimami kama hatajiongeza anabahati mbaya
kabisa mkuu akiweza kujishusha atafika mbaliDada unamuona Defao?Ferouz?Mr Nice?......na wengine wengi...!ukiona tu ameanza kujihami kwa kujiita legend ujue tayari......Sipendelei na bila ubishi diamond ana vision sana....akiishiwa hata mashairi atajihami kuwa hata manager wa vijana wake...yeye anatengeneza nini saiv zaidi ya kuzua maneno maneno kutwa kucha kwenye mitandao.mara kazimiwa mic,mara cjui kafanyaje..yaani upuuzi tu..kiba badilika,kipaji unacho kubali kuna watu wamekuzidi mafanikio kimziki...basi pita wanapopita....Diamond amepita alipopita Davido leo huyo hapo...na wewe pita anapopita Diamond..wala usisikie aibu Kila kitu kina gharama zake.kujishusha ndo gharama ya mafanikio yake
..Ruta!yaani huyu Kiba anakera sana..kipaji anacho hatukatai ila mambo yake sasa!!hahahaha hii comment imenichekesha sana eti Defao...
Ukweli mtupuHawa wasanii wetu tabia za uswahili zilizopitiliza zitawagharimu sana..hata hawajifunzi kwa wenzao.Kule mombasa alipoteza muda na kutaka kuvuruga ratiba hadi akazimiwa mic..no lesson learnt yaleyale...hawa watu ni pasua sana!
Dada unamuona Defao?Ferouz?Mr Nice?......na wengine wengi...!ukiona tu ameanza kujihami kwa kujiita legend ujue tayari......Sipendelei na bila ubishi diamond ana vision sana....akiishiwa hata mashairi atajihami kuwa hata manager wa vijana wake...yeye anatengeneza nini saiv zaidi ya kuzua maneno maneno kutwa kucha kwenye mitandao.mara kazimiwa mic,mara cjui kafanyaje..yaani upuuzi tu..kiba badilika,kipaji unacho kubali kuna watu wamekuzidi mafanikio kimziki...basi pita wanapopita....Diamond amepita alipopita Davido leo huyo hapo...na wewe pita anapopita Diamond..wala usisikie aibu Kila kitu kina gharama zake.kujishusha ndo gharama ya mafanikio yake
Yes tatizo lipo kwa kina na siyo seven,am sure seven akujoin ktk timu ya wasafi jamaa watamtumia vzr sana.Nilitegemea wamuandame Kiba akubali mabadiliko lakini nashangaa wana muandama Seven...
..saiv naona anakosa hadi discipline anakata yule meneja unategemea kutakuwa na kazi hapo?hayo mambo wanamudu wazungu...Afrika tena tanzania mpenzi ndo meneja...wapi na wapi.Wataachania lile tusi letu maarufu "Ms****nge"..c tutaonaMimi ni Mtanzania na ninapenda kuona wasanii wetu wakipanda na kujulikana kinataifa maana wanaitangaza Tanzania.
Lakini huyu Alli kiukweli anatembelea
Kick kupitia Diamond
Hana ubunifu
Hana kujituma
Yupoyupo tu
Yeye kubebwa na mashabiki tu!!!
Punguza uzembe wa kutoa fikra zakoKiba hufikiri mashabiki wake ndio wanatakiwa kuimba halafu yeye awasikilize...
hii ya kutembea na Maneja mimi bado siamini kabisa ila time tells..saiv naona anakosa hadi discipline anakata yule meneja unategemea kutakuwa na kazi hapo?hayo mambo wanamudu wazungu...Afrika tena tanzania mpenzi ndo meneja...wapi na wapi.Wataachania lile tusi letu maarufu "Ms****nge"..c tutaona