Mashabiki wa Beyonce waanzisha kampeni ya kujikata baada ya Beyonce kutoka damu

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
Mashabiki wa Beyonce wanaumia pale Beyonce
atakapoumia.

Beyhive wameanzisha kampeni ya kujikata baada ya
Beyonce kujiumiza bahati mbaya kwenye sikio na
kutoka damu wakati anatumbuiza kwenye tamasha
la Tidal X.

Hata hivyo Beyonce baada ya kugundua anatoka
damu, hakuacha kutumbuiza.
Mashabiki hao wameanzisha Hashtag huko Twitter za
[HASHTAG]#CutForBeyonce[/HASHTAG] na [HASHTAG]#BleedForBeyonce[/HASHTAG].

Mashabiki wa Beyonce pia waliwahi kumshikia bango
producer wa kipindi cha ‘106 & Park’ hadi
akasimamishwa kazi baada ya Karruache kumtania
mtoto wa Queen Bey kwenye kipindi icho.
 
Reactions: MC7
Mashabiki wa beyonce ni hatar sana wakikomalia kitu wanakomaa kweli kweli.
 
Wasichojua That Was A Satanic/Masonic Ritual, Na Wanavyozidi Kujikata Ndivyo Lucifer Anavyopata More Nlood And Worship.
Akili Kumkichwa.
NAKUBALIANA NA WEWE MOJA KWA MOJA.
 
Asante MUNGU huku kwetu ni 1/4 sijui huko kwa wenzetu itakua ngapi kwa matukio haya
 
Vipi kuhusu kanisa lake alilolianzishaa linaendeleaje na wafuasi wake
 
Mahaba mengine bhana! Hao mashabiki akili zao kama vijana wa ufipa kila kitu mwenyekiti akisema/akifanya naona wanafuata [HASHTAG]#tag[/HASHTAG] nyumbu ktk ubora wao#tag
 
Tumeonewa kwenye ile takwimu ya ukichaa hao nao waitwaje sasa
 
Wanamahaba kweli

Na mashabiki wa wema wataiga muda sio mrefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…