STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Mashabiki wa Beyonce wanaumia pale Beyonce
atakapoumia.
Beyhive wameanzisha kampeni ya kujikata baada ya
Beyonce kujiumiza bahati mbaya kwenye sikio na
kutoka damu wakati anatumbuiza kwenye tamasha
la Tidal X.
Hata hivyo Beyonce baada ya kugundua anatoka
damu, hakuacha kutumbuiza.
Mashabiki hao wameanzisha Hashtag huko Twitter za
[HASHTAG]#CutForBeyonce[/HASHTAG] na [HASHTAG]#BleedForBeyonce[/HASHTAG].
Mashabiki wa Beyonce pia waliwahi kumshikia bango
producer wa kipindi cha ‘106 & Park’ hadi
akasimamishwa kazi baada ya Karruache kumtania
mtoto wa Queen Bey kwenye kipindi icho.
atakapoumia.
Beyhive wameanzisha kampeni ya kujikata baada ya
Beyonce kujiumiza bahati mbaya kwenye sikio na
kutoka damu wakati anatumbuiza kwenye tamasha
la Tidal X.
Hata hivyo Beyonce baada ya kugundua anatoka
damu, hakuacha kutumbuiza.
Mashabiki hao wameanzisha Hashtag huko Twitter za
[HASHTAG]#CutForBeyonce[/HASHTAG] na [HASHTAG]#BleedForBeyonce[/HASHTAG].
Mashabiki wa Beyonce pia waliwahi kumshikia bango
producer wa kipindi cha ‘106 & Park’ hadi
akasimamishwa kazi baada ya Karruache kumtania
mtoto wa Queen Bey kwenye kipindi icho.