Mashabiki wa Club Africain tukutane hapa maana tuna jambo letu

Mashabiki wa Club Africain tukutane hapa maana tuna jambo letu

πŒπšπ¬π‘πšπ›π’π€π’ 𝐦𝐬𝐞𝐭𝐨 𝐦𝐧𝐚𝐰𝐞𝐰𝐞𝐬𝐞𝐀𝐚 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐚𝐒𝐬𝐞𝐞
images (2).jpeg

Kwa hapa away tutavaa jezi hizi
 
Hao Africa wanakufa mtawaokotea Mtwara huko wakitafuta soko la korosho..
 
Al habib habib thalatha bin thifuli wabilah taifik habib [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Nipo Tunisia japo sijui kiswahili vizur Ila tutawapelekea moto utopolo mpka wamchape bakola manara
Kuna watu wanaenda kuloweshwa na hamsa za kutosha.
 
tujuzane salamu kwa kitunisia kusalimiana na wachezaji wetu-"kaifa al-mambo",,,wao watajibu,,"al mambo bulbul"

wakiuliza:Al habibi Yanga al bahari lmagori fil kutosha?,hapo wanauliza" Yanga tuwafunge magoli mangapi yawatoshe?",,,sisi mashabiki tutajibu khamsa khamsa,,yani magoli matano matano kwa kila mechi.

watauliza-marhaba walain Yanga shaksu al manyonyo.
hapo wanauliza-ni mchezaji yupi wa Yanga anaetikisa manyonyo.utamjibu anaitwa Manyokooo.
 
tujuzane salamu kwa kitunisia kusalimiana na wachezaji wetu-"kaifa al-mambo",,,wao watajibu,,"al mambo bulbul"

wakiuliza:Al habibi Yanga al bahari lmagori fil kutosha?,hapo wanauliza" Yanga tuwafunge magoli mangapi yawatoshe?",,,sisi mashabiki tutajibu khamsa khamsa,,yani magoli matano matano kwa kila mechi.

watauliza-marhaba walain Yanga shaksu al manyonyo.
hapo wanauliza-ni mchezaji yupi wa Yanga anaetikisa manyonyo.utamjibu anaitwa Manyokooo.
Habibi habibi..πŸ˜‚ somo limeeleweka.
 
Hawa yanga anawapga goli kama zote pale lupaso
Capture%2B_2022-10-20-05-53-53.jpg
 
Back
Top Bottom