OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
πππ¬π‘πππ’π€π’ π¦π¬πππ¨ π¦π§ππ°ππ°ππ¬ππ€π π¬ππ§π ππ’π¬ππ
Kwa hapa away tutavaa jezi hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππ¬π‘πππ’π€π’ π¦π¬πππ¨ π¦π§ππ°ππ°ππ¬ππ€π π¬ππ§π ππ’π¬ππ
Tukiwa na jezi zetu za club Africains zenye rangi nyekundu na nyeupe[emoji123]Africain tunaenda kuwaonjesha nguvu moja.
Uzi ni uleule wala hawajaenda mbali.Tukiwa na jezi zetu za club Africains zenye rangi nyekundu na nyeupe[emoji123]View attachment 2392110
Kuna watu wanaenda kuloweshwa na hamsa za kutosha.Al habib habib thalatha bin thifuli wabilah taifik habib [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Nipo Tunisia japo sijui kiswahili vizur Ila tutawapelekea moto utopolo mpka wamchape bakola manara
ndio uzi wetu huu wa club Africains.Uzi ni uleule wala hawajaenda mbali.
washajua nini kinaenda kuwapata.washasoma upepo.Kwani uto hawatumii jf mbona siioni comment zao?
Tunaenda taifa na kanzu siku hyo bila kusahau baraka shia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimecheka sana
NB:nimeanza kuishabikia africain Toka 1999
Tunaanza karibuni kwanza ndio tunamaliza huko...Tarehe 2 na 9 novemba sio mbali.
Habibi habibi..π somo limeeleweka.tujuzane salamu kwa kitunisia kusalimiana na wachezaji wetu-"kaifa al-mambo",,,wao watajibu,,"al mambo bulbul"
wakiuliza:Al habibi Yanga al bahari lmagori fil kutosha?,hapo wanauliza" Yanga tuwafunge magoli mangapi yawatoshe?",,,sisi mashabiki tutajibu khamsa khamsa,,yani magoli matano matano kwa kila mechi.
watauliza-marhaba walain Yanga shaksu al manyonyo.
hapo wanauliza-ni mchezaji yupi wa Yanga anaetikisa manyonyo.utamjibu anaitwa Manyokooo.
Naona unawaonesha uto hatari iliyopo mbele.πHawa yanga anawapga goli kama zote pale lupasoView attachment 2392640