mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Wananchi umewakumbiza si mchezo!! Uzi huu hawasogei kabisa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungesema WACHAWI mkutane si mnajulikana nyie ni wachawi tu?Baada ya kuwafurusha Kipanga mabao saba kwa hamsa, tumepewa hiki kikundi cha Wakongomani wa jangwani wanaoitwa Utopolo.
Tujipange kwa ajili ya sherehe pale kwa Mkapa na hitimisho kule Tunis.
mabao saba kwa hamsa ndio niniBaada ya kuwafurusha Kipanga mabao saba kwa hamsa, tumepewa hiki kikundi cha Wakongomani wa jangwani wanaoitwa Utopolo.
Tujipange kwa ajili ya sherehe pale kwa Mkapa na hitimisho kule Tunis.
𝐒𝐚𝐰𝐚Wewe tulia...angalia mbele sisi tunakuja nyuma kuchomeka mwiko.
𝐖𝐞𝐰𝐞 𝐰𝐚𝐬𝐞𝐦𝐚Ninaamini mmejiandaa vizuri kupelekewa moto.
𝐒𝐚𝐰𝐚View attachment 2392108
Kwa hapa away tutavaa jezi hizi
Thubutu yakoUtapelekewa moto na mazishi ni bahari ya Mediterranean.
Usotoe uwanachama kwa kila mtu wengine ni funza hao.wasaliti tu.Unataka kujiunga na club africain tukupe kadi?
nabi ni mshabiki wa esperanceKama kumeweza kuwepo na watanzania wanao isapoti Club Africain inashindikana vipi kwa Nabi ambaye Tunissia ndio home?
Mnashindwa kujiongeza au mnasubiria mpaka siku ya mechi Club Africain watupie bao ndio mumuone Nabi akishangilia?
Bro iyo sio mbeya cityHao Africa wanakufa mtawaokotea Mtwara huko wakitafuta soko la korosho..