Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Nifah ni vile nimetofautiana na wengi, wapo ambao ni mashabiki wa matokeo, ila mimi ni shabiki wa mifumo ya mpira wenyewe uwanjani.
Hawa mashabiki wa matokeo tu ya mechi ndiyo unaweza kuwakuta wakihama hama tu kila wikiendi kwa kufuata matokeo.
Ni vizuri Yanga ikishinda, kwa kuwa kutakuwa na faida kwa ligi yetu ya moja kwa moja au ya kupitia upande mwingine.
Ova
5G inakusumbua.
Walikosea sana, na wote waliokuwa wakisema hivyo hawajui mpira na mifumo yake, ama ni wajinga tu kama wajinga wengine.Hawa Yanga walisema ushindi wa Simba haukuwa unaipa faida ligi yetu. Acha wapate wanachostaili kwanza labda watajifunza.
One in a million!Nifah ni vile nimetofautiana na wengi, wapo ambao ni mashabiki wa matokeo, ila mimi ni shabiki wa mifumo ya mpira wenyewe uwanjani.
Hawa mashabiki wa matokeo tu ya mechi ndiyo unaweza kuwakuta wakihama hama tu kila wikiendi kwa kufuata matokeo.
Ni vizuri Yanga ikishinda, kwa kuwa kutakuwa na faida kwa ligi yetu ya moja kwa moja au ya kupitia upande mwingine.
Ova
Sasa huo mfano wa Monja wa nini jamani? LolsWalikosea sana, na wote waliokuwa wakisema hivyo hawajui mpira na mifumo yake, ama ni wajinga tu kama wajinga wengine.
Kwenye michuano ya CAF, vilabu vya nchi husika hutegemeana, ukienda Morocco utashangazwa na namna vilabu vinavyosaidiana.
Ni hawa watoto wa juzi tu ndiyo huwa hawaelewi, ila sisi watu wazima wote tunajua kama Monja Liseki wa Simba aliwahi kucheza Yanga kwa kuazimwa kwenye mechi ya CAF.
Ni kwa sababu ya ushirikiano.tu.
Ova
Lol! Usijali b..., pole sana.Sasa huo mfano wa Monja wa nini jamani? Lols
Nimecheka sana, walau unanipoza poza b…
Ki….Lol! Usijali b..., pole sana.
Ova
Oyaa mwenzenu mimiii sijui kutongozaaa wakijipitishaaa namwagaa 3-0 .Hilo jina lako hukulichagua kwa bahati mbaya.
..Oyaa mwenzenu mimiii sijui kutongozaaa wakijipitishaaa namwagaa 3-0 .
Asanteeeeeee
Kwa akili hizi utaishia kuchana mikeka tu.Mechi haina droo hii leo kremuni hii commente. Sasa nan anafungwa ndo kitendawili. Ijapo mm shabik wa simba naipa yanga 60% na cr 40%. hapa nimetumia akil zangu za ukamaria
HahahahaIla kweli damu nzito kuliko maji,wanetu wekundu wa Algeria wametufuta machoziView attachment 2824091
Mkuu umeandika kwa uchungu sanaKwa akili hizi utaishia kuchana mikeka tu.