Mashabiki wa CR Belouidad tujuane!

Mashabiki wa CR Belouidad tujuane!

Nifah ni vile nimetofautiana na wengi, wapo ambao ni mashabiki wa matokeo, ila mimi ni shabiki wa mifumo ya mpira wenyewe uwanjani.

Hawa mashabiki wa matokeo tu ya mechi ndiyo unaweza kuwakuta wakihama hama tu kila wikiendi kwa kufuata matokeo.

Ni vizuri Yanga ikishinda, kwa kuwa kutakuwa na faida kwa ligi yetu ya moja kwa moja au ya kupitia upande mwingine.

Ova

Hawa Yanga walisema ushindi wa Simba haukuwa unaipa faida ligi yetu. Acha wapate wanachostaili kwanza labda watajifunza.
 
Hawa Yanga walisema ushindi wa Simba haukuwa unaipa faida ligi yetu. Acha wapate wanachostaili kwanza labda watajifunza.
Walikosea sana, na wote waliokuwa wakisema hivyo hawajui mpira na mifumo yake, ama ni wajinga tu kama wajinga wengine.

Kwenye michuano ya CAF, vilabu vya nchi husika hutegemeana, ukienda Morocco utashangazwa na namna vilabu vinavyosaidiana.

Ni hawa watoto wa juzi tu ndiyo huwa hawaelewi, ila sisi watu wazima wote tunajua kama Monja Liseki wa Simba aliwahi kucheza Yanga kwa kuazimwa kwenye mechi ya CAF.

Ni kwa sababu ya ushirikiano.tu.

Ova
 
Nifah ni vile nimetofautiana na wengi, wapo ambao ni mashabiki wa matokeo, ila mimi ni shabiki wa mifumo ya mpira wenyewe uwanjani.

Hawa mashabiki wa matokeo tu ya mechi ndiyo unaweza kuwakuta wakihama hama tu kila wikiendi kwa kufuata matokeo.

Ni vizuri Yanga ikishinda, kwa kuwa kutakuwa na faida kwa ligi yetu ya moja kwa moja au ya kupitia upande mwingine.

Ova
One in a million!
 
Walikosea sana, na wote waliokuwa wakisema hivyo hawajui mpira na mifumo yake, ama ni wajinga tu kama wajinga wengine.

Kwenye michuano ya CAF, vilabu vya nchi husika hutegemeana, ukienda Morocco utashangazwa na namna vilabu vinavyosaidiana.

Ni hawa watoto wa juzi tu ndiyo huwa hawaelewi, ila sisi watu wazima wote tunajua kama Monja Liseki wa Simba aliwahi kucheza Yanga kwa kuazimwa kwenye mechi ya CAF.

Ni kwa sababu ya ushirikiano.tu.

Ova
Sasa huo mfano wa Monja wa nini jamani? Lols
Nimecheka sana, walau unanipoza poza b…
 
Oyaa mwenzenu mimiii sijui kutongozaaa wakijipitishaaa namwagaa 3-0 .
Asanteeeeeee
..
255654637773_status_deab7446ba94424ea09d63d02a724e2c.jpg
images%20(6)%20(14)-picsay-01.jpg
 
Jamani wale sio HAMAS kweli wale mbona wanatembeza kichapo kama wamemkamata Ally Dangote
 
Mashabiki wa simba tujuane😂😂😂😂😂 simba akishinda katembeza bahasha
 
Back
Top Bottom