EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
- #41
Samahani kwa "matusi" naomba hoja mbili za HM unazozijuaBTW, mimi siyo muumini wa kuchangia hoja kwa matusi.
Matusi yana akisi uwezo wa kufikiria wa anaye toa matusi.
Ulichofanya hapo kwenye post yako kuu tunaita 'Ad hominem' yaani unamshambulia mleta hoja badala ya kushambulia hoja zake.
Jadili hoja matusi hayabadili ukweli wa aliyo yasema Manara. Au niyasemayo mimi au usemayo wewe.