EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
-
- #41
Samahani kwa "matusi" naomba hoja mbili za HM unazozijuaBTW, mimi siyo muumini wa kuchangia hoja kwa matusi.
Matusi yana akisi uwezo wa kufikiria wa anaye toa matusi.
Ulichofanya hapo kwenye post yako kuu tunaita 'Ad hominem' yaani unamshambulia mleta hoja badala ya kushambulia hoja zake.
Jadili hoja matusi hayabadili ukweli wa aliyo yasema Manara. Au niyasemayo mimi au usemayo wewe.
Ngoja nikuache mkuu ukijua kutofautisha HOJA na MAELEZO/malalamiko utarudi KAULIZE kwa wenzakoUnataka nitaje hoja gani tofauti na alizo toa Manara mwenyewe?
Jibuni yale aliyosema na siyo matusi na kukumbusha tuhuma zake za zamani.
Hizi tuhuma za zamani zinahusiana nini na malipo yake, mkataba wake na Simba na zaidi kuhusu nauli za kwenda kwenye press, kuhusu mkataba wake na Azam, kuhusu kudukuliwa n.k?
Yote yalikuwa kwa maslahi ya Simba. Alinyamaziwa kwa ajili ya maslahi ya Simba, na anashambuliwa kwa ajili ya maslahi ya Simba. Similarly, wakati ule Yanga walimshambulia kwa maslahi ya Yanga, na sasa wanamtetea kwa maslahi ya Yanga, si kwamba wanaangalia haki zake. Sasa kama hutaki kuelewa mantiki hii, utajaza server kwa maswaliWakati anachangisha hizo pesa mngempa onyo na kumuanzishia nyuzi humu kama za kumbukumbu ila sasa mkawa mnamuanzishia nyuzi za kumsifia na kumpa nguvu ya kudhihaki na kudhalilisha waandishi wa habari
Anatupa presha kwa KUHARIBU PUBLIV IMAGE ya SIMBAMkuu kama umepanic flani hivi,niliposema ameajiriwa ukapinga nikaendana na wewe kuwa alikua deiwaka napo unapinga sasa mbona huyu kajanja au kajamba nani asie lolote pale simba anawapa presha na mapovu?
Yote yalikuwa kwa maslahi ya Simba. Alinyamaziwa kwa ajili ya maslahi ya Simba, na anashambuliwa kwa ajili ya maslahi ya Simba. Similarly, wakati ule Yanga walimshambulia kwa maslahi ya Yanga, na sasa wanamtetea kwa maslahi ya Yanga, si kwamba wanaangalia haki zake. Sasa kama hutaki kuelewa mantiki hii, utajaza server kwa maswali
Unajuaje kama hakuaonywa?? Si ndio maana akawa anaachwa kwenye timu?Manara sio yatima na simba haikumuajiri bali walimuomba awe msemaji wao hivyo kumfananisha na yatima ni kuwadharau mno yatima wote
Kumbalini tu ukweli mlichemsha na hata msemaji wenu wa sasa ana skendo kama za manara mjue. Japo mtamtetea kwa nguvu zote na kutaka wanaomsema walete ushahidi.
Wakati anachangisha hizo pesa mngempa onyo na kumuanzishia nyuzi humu kama za kumbukumbu ila sasa mkawa mnamuanzishia nyuzi za kumsifia na kumpa nguvu ya kudhihaki na kudhalilisha waandishi wa habari
Anatupa presha kwa KUHARIBU PUBLIV IMAGE ya SIMBA
Nkuulize swali?
Mkata majani jirani yenu alitangaza KATEMBEA NA WEWE
Huyatapanic unasubiri majirani WAMPUUZE???
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji28][emoji28]Manara kafanikiwa kushawishi baadhi ya wajinga kua mafanikio ya simba yametokana na juhudi zake
Eti ooh simba ikifungwa mtu wa kwanza kutukanwa ni mimi sio Mo. Anasahau kua yeye anatukanwa kwasababu amekua akiwatukana wengine, kipindi kile kapigwa spana na jery muro akakimbilia kutumia udini kutafuta huruma ionekane kaonewa
Wewe ni mtu muungwana sana.Samahani kwa "matusi" naomba hoja mbili za HM unazozijua
ngoja nikuambie kituAsante kwa huo mlolongo wa maelezo,ila yangependeza zaidi kama ungeyasema kabla hajaropoka huyo manara
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Mashabiki wanamjibu, viongozi wanasajili. Kwa Yanga, mashabiki wanamtetea, viongozi hawasajili 😂😂😂mjibuni hoja zake huku mkionyesha faida za maamuzi yenu zaidi.
Peleka group la Simba basi. Umewaita wanaomtetea Manara halafu wakija unawafukuza??We sio mwanasimba kaa kimya!!
Barbara Mbona unakuwa mkali yakhee?? Tulia dawa iwaingie nyie makabachori wanyanyasajiWe sio mwanasimba kaa kimya!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hujaolewa wweJe kama kweli nilitembea nae why nipanic[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ina maana Manara ni makata majani na Mo ndo mie ee basi sawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe kuna mtu kaliwa hapo
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1317][emoji1317]Wewe ni mtu muungwana sana.
Hapa najua ulizidiwa na mzuka wa soka.
Mahaba kwa club yako hayana shaka na ndiyo yanakufanya usiuone ukweli.
Kabisa mkuu[emoji1756][emoji1756]ngoja nikuambie kitu
Kipindi kile haji ana leak ile clip sikufichi mimi nilikua kipaumbele kumtetea unajua kwasababu gani? Nikutokana na madai yake kua analipwa 700K
Napia kwanini baada ya hapo nilimuona snitch?
Nikwasababu kuna nukta ambazo anajua dhahiri nikiziweka bayana ntaonekna snitch hivyo njia pekee ya kushawishi watu nikutoa habari ambazo ningependa wazisikie ili nipate kundi kubwa linalo niunga mkono.
Kwanini kwenye ile clip hakuelezea habari zote kua analipwa laki 7 kutokana na yeye mwenyewe kukataa kupewa mkatab wa pesa ndefu? Jibu ni rahisi tu, alifanya hivyo kwasababu hakutaka watu wajue kua uongozi ulimpa nafasi ya yeye kulipwa hela ndefu kwa maana watu wengi wangemuona mjinga kitu ambacho yeye hakutaka
Kupitia clip ya hance watu wengi pale walikosa matumaini na huyu manara kua kwanini alitaka kuwaaminisha watu uongo wafikirie kua huo ndo mshahara wake wa mkataba wake aliopewa na simba. Vipi kama hance asingejitokeza kusema hayo leo hii nani angejua kua manara alikataa mkataba wa mkwanja mrefu?
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1317][emoji1317]