Mashabiki wa Haji Manara njooni hapa!

Haya yote hayana msingi kwa wakati huu hadi pale Manara atakapojibiwa hoja zake,haya kama Simba hawakuyaona mwanzo basi hakuna maana ya kuyaleta sasa kama MO na Babra watashindwa kumjibu Manara,cha kujiuliza huyu MO kama alikuwa na ugomvi na Hamisi kwanini sasa awe na ugomvi na Haji
 
Barbara Mbona unakuwa mkali yakhee?? Tulia dawa iwaingie nyie makabachori wanyanyasaji
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji35][emoji35][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
 
Taja hoja yoyote nikuji kama unajua tofauti na HOJA na maelezo/malalamiko

Nitajie nifunge UZI
 
Sio kwamba mlikua mnambembeleza maana mkampa hadi mkataba akaringa kuusaini. Simba itoe onyo kwa manara na iwe siri maajabu. Alipozidisha kuitaja yanga kuliko simba alipewa onyo la wazi na kanji kule twitter na kila mmoja aliona sasa ya utapeli wa rambi rambi na michango mbali mbali mkaogopa kumuonya hadharani makubwa haya
Unajuaje kama hakuaonywa?? Si ndio maana akawa anaachwa kwenye timu?

Kulinda BRAND inage ni gharama kubwa kama kuijenga its takes time mpumbavu mmoja anaweza kuiharibu kwa a day or ana hour
 
Dada, hapo kuna HOJA yoyote umeitaja au unaendeleza MALALAMIKO? KAMA KAKAAKO HM?
Tulilinda BRAND IMAGE
 
Kwani wewe ndio MO au Babra ?
We TAJA HOJA


Mbina mnazunguka?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Meshajua UTO..[emoji196][emoji196][emoji196] Hmjui kutofautisha HOJA NA MALALAMIKO
 
Sawa, Manara anaweza kuwa na maovu yake kama alivyo kila binadamu. Lakini mtumie akili kumjibu. Jibuni hoja zake maana hata huyo MO ni mwizi Mkubwa.

Unamjua baba yake ana maovu gani kufikia huo utajiri aliomridhisha MO? Piga kimya, tupotezee.

Tujikite kwenye hoja.

Na MO alivyo mweupe kichwani anataka kila adui wake awe adui yake. Mpaka anaanza kuleta mzozano na wachezaji.
 
Neno. Sana mkuu mdomo hauwez kuifikisha simba ilipo ni uongo kusadiki kuwa manara kaifikisha simba hapa ilipo. Tujifunze kuwaheshimu watu waliothubutu kutoa kidogo chao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…