EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Kimeanza kunuka huku [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna comment moja nlisema huyu pimbi ataanikwa soon!! Mambo ndio yanatokota na wote mtabaki vivywa wazi.
Ile kashfa ulipewa na KIGOGO2014 unakumbuka ilikunyamazasha mazima social media na hujajibu wanasimba tunamsihi akustahi akakuacha kawababu nae ni shabiki MNYAMA tumkumbushe akunyooshe enzi unaomba UDIWANI??
C&P [emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]
Mdogo wangu Manara ;
Nimekuwa nikifuatilia kwa umakini sana kuhusu mwenendo wako kwa jamii na Simba Sports
Nikajiuliza huyu ni Haji Sunday au Haji gani ?
Ninakufahamu vizuri mno kuliko vile unavyojifahamu
Nakutaka uite waandishi ujibu yafuatayo
1. Ulikua Madrasa ya Abasiya Kariakoo, ukatoka na kwenda Kadiria ambapo ulifukuzwa . Sababu ilikua nini ?
- Michango uliyokusanya umerudisha ?
2. Ukachukuliwa na Mbange , Je nini kilikuondoa kwake ?
- Ile pete unaikumbuka ?
3. Ukaingia NCCR Mageuzi , ulitokaje ?
- Nauli na Posho za wajumbe wa Mikoa ya Pwani na Kusini unazikumbuka ?
4. Radio Uhuru ulitokaje ?
- Pesa za matangazo ulikua unazipeleka wapi ?
5. Katibu Mwenezi wa CCM Mkoa wa Dar es salaam
8. Nini sababu ya kuuzwa nyumba ya bibi yako pale mtaa wa bonde ?
9. Mkataba wa De la Boss umekuaje ?
10. Michango ya Chama baada ya kufiwa na mke wake umemkabidhi ?
Hayo ni kumi , ukipata majibu nakujilisha yafuatayo
1. Huna mamlaka ya Kila unachosema iwe kweli , yoote uliyosema ni uongo mtupu
2. M O yupo juu sana dhidi yako
i . Mjumbe wa NEC CCM Miaka 10
i i . Mbunge wa Singida miaka 10
i i i . Mfanyabiashara na tajiri Mkubwa Duniani
i v . Msomi mahiri
V . Mshauri wa Maraisi kadhaa
3. Hujawahi kufanya jambo ukamaliza kwa kheri na salama
4. Pongezi sana kwa uvumilivu wa miaka sita. Ila umesahau sana kuwa zipo kumbukumbu za malipo zipo
5. Unalalamika kudukuliwa ! Baada ya kubainika kuwa unahujumu ? Kama ni msafi wa matendo unaficha nini ?
Hata maandiko husema ‘huwezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja “
‘ huwezi kupanda farisi wawili kwa wakati mmoja “
Pata radhi za baba yako !
Nenda uendeko msaliti, mnafiki usie na jema. Ofice ya simba hata huijui iko wapi wala hujawahi kufika ofcn zaidi miezi
Ila ofcn za Gsm unaijua mana unashinda huko maisha ya kichawa ndio unayaweza.
Hebu jibu basi pesa za wanachama unazowachangisha kwenda kufungua matawi hata bila ya ruhusa ya mkurugenzi wa matawi.
Juzi tu umesikika kwenye clip ya sauti yako mwenyewe ukisema huna mkataba na unalipwa laki saba!
Kwenye press yako umekiri mkataba ulipewa ila hujasaini kwani una masharti sasa ni mkataba gani ambao hauna masharti!
Unasema husafiri na timu kweli wanasimba hawajawahi kukuona mikoani wewe.
Ulizuiliwa kwenda kwa sababu ulikuwa huna unachokifanya huko ni starehe na kuomba pesa kwa wanachama tu
Mbona mechi za uwanja wa mkapa hauji uwanjani kwani unajua hapa hakuna wa kukupa pesa!
Lakini kumbuka Simba ndio imekupa nafasi ukafika hapo ulipofika na ukatembelea nyota ya mafanikio ya simba wewe haukufanya kazi peke yako ulikuwa unafundishwa vya kusema na simba lakini leo unasema umeifikisha simba hapa.
Basi ngoja tuone simba ishuke daraja au ikose mafanikio kwa kukukosa wewe. Kiukweli wana simba washukuru sana wewe kutoka simba kwani ulikuwa unasabisha mechi zetu zinakuwa ngumu sana kwa mdomo wako mchafu ila simba wamegundua kuwa ulikuwa unatumika kuhujumu timu yao ndio mana wamekufukuza!
Walikustir tu kusema umeondoka mwenywe laiti viongozi wa simba wakiweka hadharani ushahidi ulivyokuwa unahujumu timu yao kwa tamaa zako Haji utahama nchi mana utakuwa huna lakusema.
Lakini subiri tu goma liko jikoni ikibidi utaenda Jela tena.
Hizo sifa zote ulimsifia ceo wa zamani ni za kujisafisha kwake kwani unajua ulimfanya mtoto wake na utaenda jela maisha tuvute tu subra.
Tutakuonesha kama unaendelea kutudharau!
Hadi uombe poo!
View attachment 1883228
Kuna comment moja nlisema huyu pimbi ataanikwa soon!! Mambo ndio yanatokota na wote mtabaki vivywa wazi.
Ile kashfa ulipewa na KIGOGO2014 unakumbuka ilikunyamazasha mazima social media na hujajibu wanasimba tunamsihi akustahi akakuacha kawababu nae ni shabiki MNYAMA tumkumbushe akunyooshe enzi unaomba UDIWANI??
C&P [emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]
Mdogo wangu Manara ;
Nimekuwa nikifuatilia kwa umakini sana kuhusu mwenendo wako kwa jamii na Simba Sports
Nikajiuliza huyu ni Haji Sunday au Haji gani ?
Ninakufahamu vizuri mno kuliko vile unavyojifahamu
Nakutaka uite waandishi ujibu yafuatayo
1. Ulikua Madrasa ya Abasiya Kariakoo, ukatoka na kwenda Kadiria ambapo ulifukuzwa . Sababu ilikua nini ?
- Michango uliyokusanya umerudisha ?
2. Ukachukuliwa na Mbange , Je nini kilikuondoa kwake ?
- Ile pete unaikumbuka ?
3. Ukaingia NCCR Mageuzi , ulitokaje ?
- Nauli na Posho za wajumbe wa Mikoa ya Pwani na Kusini unazikumbuka ?
4. Radio Uhuru ulitokaje ?
- Pesa za matangazo ulikua unazipeleka wapi ?
5. Katibu Mwenezi wa CCM Mkoa wa Dar es salaam
- Unakumbuka magari yale ?
- Unakumbuka kuhusu mambo ya Segerea ?
- Unakumbuka kuwa bado hujalipa madeni ya watu
- Unakumbuka ulichukua RB kwa ajili ya mke wa kwanza ? Ili akupe nini ?
- Kutomudu kuishi na mke ni udhaifu mkubwa sana
8. Nini sababu ya kuuzwa nyumba ya bibi yako pale mtaa wa bonde ?
9. Mkataba wa De la Boss umekuaje ?
10. Michango ya Chama baada ya kufiwa na mke wake umemkabidhi ?
Hayo ni kumi , ukipata majibu nakujilisha yafuatayo
1. Huna mamlaka ya Kila unachosema iwe kweli , yoote uliyosema ni uongo mtupu
2. M O yupo juu sana dhidi yako
i . Mjumbe wa NEC CCM Miaka 10
i i . Mbunge wa Singida miaka 10
i i i . Mfanyabiashara na tajiri Mkubwa Duniani
i v . Msomi mahiri
V . Mshauri wa Maraisi kadhaa
3. Hujawahi kufanya jambo ukamaliza kwa kheri na salama
4. Pongezi sana kwa uvumilivu wa miaka sita. Ila umesahau sana kuwa zipo kumbukumbu za malipo zipo
5. Unalalamika kudukuliwa ! Baada ya kubainika kuwa unahujumu ? Kama ni msafi wa matendo unaficha nini ?
Hata maandiko husema ‘huwezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja “
‘ huwezi kupanda farisi wawili kwa wakati mmoja “
Pata radhi za baba yako !
Nenda uendeko msaliti, mnafiki usie na jema. Ofice ya simba hata huijui iko wapi wala hujawahi kufika ofcn zaidi miezi
Ila ofcn za Gsm unaijua mana unashinda huko maisha ya kichawa ndio unayaweza.
Hebu jibu basi pesa za wanachama unazowachangisha kwenda kufungua matawi hata bila ya ruhusa ya mkurugenzi wa matawi.
Juzi tu umesikika kwenye clip ya sauti yako mwenyewe ukisema huna mkataba na unalipwa laki saba!
Kwenye press yako umekiri mkataba ulipewa ila hujasaini kwani una masharti sasa ni mkataba gani ambao hauna masharti!
Unasema husafiri na timu kweli wanasimba hawajawahi kukuona mikoani wewe.
Ulizuiliwa kwenda kwa sababu ulikuwa huna unachokifanya huko ni starehe na kuomba pesa kwa wanachama tu
Mbona mechi za uwanja wa mkapa hauji uwanjani kwani unajua hapa hakuna wa kukupa pesa!
Lakini kumbuka Simba ndio imekupa nafasi ukafika hapo ulipofika na ukatembelea nyota ya mafanikio ya simba wewe haukufanya kazi peke yako ulikuwa unafundishwa vya kusema na simba lakini leo unasema umeifikisha simba hapa.
Basi ngoja tuone simba ishuke daraja au ikose mafanikio kwa kukukosa wewe. Kiukweli wana simba washukuru sana wewe kutoka simba kwani ulikuwa unasabisha mechi zetu zinakuwa ngumu sana kwa mdomo wako mchafu ila simba wamegundua kuwa ulikuwa unatumika kuhujumu timu yao ndio mana wamekufukuza!
Walikustir tu kusema umeondoka mwenywe laiti viongozi wa simba wakiweka hadharani ushahidi ulivyokuwa unahujumu timu yao kwa tamaa zako Haji utahama nchi mana utakuwa huna lakusema.
Lakini subiri tu goma liko jikoni ikibidi utaenda Jela tena.
Hizo sifa zote ulimsifia ceo wa zamani ni za kujisafisha kwake kwani unajua ulimfanya mtoto wake na utaenda jela maisha tuvute tu subra.
Tutakuonesha kama unaendelea kutudharau!
Hadi uombe poo!
View attachment 1883228