brownjosephati
JF-Expert Member
- Jun 7, 2024
- 549
- 674
Kumekua na malalamiko yakiambatana na maombi kwa Mbowe kumuachia Lisu.
Wote(hasa viongozi wa CDM) akiwemo Heche na Lema wamemuomba Mbowe apumzike huku wakijinasibu kuwa Lisu atamshinda Mbowe.
Swali:-
Mmeshajua kuwa Lisu anamshinda Mbowe sasa kwanini mnapeleka maombi kwa Mbowe kumuachia lisu????
Nakuomba Heche na Lema mkuje mjibu hili swali
Na Je Demokrasia itaonekana wapi kama mgombea atakuwa mmoja pekee?
Tutajuaje kama Lisu anatakiwa na wanachadema walio wengi?
Wote(hasa viongozi wa CDM) akiwemo Heche na Lema wamemuomba Mbowe apumzike huku wakijinasibu kuwa Lisu atamshinda Mbowe.
Swali:-
Mmeshajua kuwa Lisu anamshinda Mbowe sasa kwanini mnapeleka maombi kwa Mbowe kumuachia lisu????
Nakuomba Heche na Lema mkuje mjibu hili swali
Na Je Demokrasia itaonekana wapi kama mgombea atakuwa mmoja pekee?
Tutajuaje kama Lisu anatakiwa na wanachadema walio wengi?