Mashabiki wa Lisu wamwomba Mbowe amuachie Lisu

Mashabiki wa Lisu wamwomba Mbowe amuachie Lisu

Waache upumbavu hao waache sanduku la kura liamue kama wajumbe wanamtaka Lisu au Mbowe hiyo ndio demokrasia kwq mujibu wa katiba ya Chadema

Lisu na team yake wanajua huu uchaguzi Lisu anashindwa tena vibaya mno

Ndio maana wanalialia mitandaoni na vyombo vya habari ili Lisu apewe ushindi wa mezani

Ushauri wangu kwa vyombo vya habari msiwape airtime timu Lisu tena waambieni wasubiri sanduku la kura

Mbowe hana shida hata mkimpa airtinr yeye anaamini kwenye sanduku la kura sio kele za ohhh Lisu ajitoe abaki yeye Mbowe tu

Team sio wana demokrasia kabisa kwa nini hawataki sanduku la kura liamue? Mbowe hakuna kutoka nakuapisha kwa jina la Yesu Demokrasia ya sanduku la kura ichukue mkondo wake

Team Lisu kama mnataka Lisu wenu apate ushindi wa bure mezani kwa Mbowe kujitoa hilo halipo

Mjue zimebaki siku sita tu kabla huyo Lisu wenu hamwagwa chini sanduku la kura ba kukimbia mbio kwenda ubelgiji na kuhama Chadema

Mwisho wake kisiasa Lisu ni siku sita zijazo
Saa hizi lisu yuko live anahojiwa na KIKEKE hadi saa 3 usiku, ingia YouTube anabwabwaje huko
 
Ikitokea akamuachia kama wanavyoomba na akabaki Tundu Lisu pekee kama mgombea basi hakitakuwa chama cha kidemokrasia tena. Kama ambavyo Lisu aliamua kupambana na Mbowe hakuna sababu ya Mbowe kumuachia Lisu. Acha sanduku la kura liamue
Wanaomba huruma yaa Mungu shwaini alowatuma na wakampatie majibu kuwa mbowe amekataa hilo ombi
 
Huna akili hao jamaa wanaona mbali, Mbowe wametoka nae mbali dalili walizoona ni kwamba Mwamba anaenda kufedheheshwa kama akiachia kwa hiyari heshima yake itabaki palepale
We ndo mwehu na nyang'ao mbowe alishatangaza yuko tayari kupokea majawabu yoyote yatakayotoka kwa sanduku la kura.
Vinyeo vimewatoka mnaanza kuomba Puuu
 
kushindwa kwa LIsU kushindwa kwa chadema,kushinda kwa mbowe anguko la CHADEMA haitainuka tena
 
Team Lisu akili hawana na hawataki demokrasia ichukue mkondo wake

Mbowe hana shida hasemi ohh Lisu jitoe nibaki mimi tu

Timu Lisu wamezidiwa kuwa mtu wao Lisu anaenda anguka vibaya huu uchaguzi

Uzuri Mbowe yuko calm anasubiri tu sanduku la kura liamue

Team Lisu hawalali kutapatapa sanduku la kura wanaliogopa kqma ukoma

Kama Lisu anakubalika na wajumbe hofu ya nini? Si anajitapa yeye Lisu kuwa ndio yuko mioyoni mwa wajumbe wapiga kura? Kuwa hawana mpango na Mbowe kuwa kachuja kakaa sana na hana jipya Lisu ndie mwenye jipya.kuwa hata wahongwe na Mbowe kura watampa Lisu sababu ndiye aliye mioyoni mwao

Woga wa sanduku la kura ni wa nini? Wakati Lisu kajaa mioyo ya wajumbe hata wahongwe?

Team Lisu acheni utoto subirini sanduku la kura
Na muda wote wako club house na sasa yuko na kikeke anabwabwaja
 
Nashangaa kwa nini wanaogopa kura,hiki kipimo muhimu kama anakubalika atachaguliwa.Mwanzoni waliona rahisi ila mambo yanapoenda maneno yanazidi kuwa magumu.Ila nawapongeza Chadema hakuna chama cha upinzani ambacho kimewahi kuwa na uchaguzi wenye kuvuta watu kama huu.
Ccm yako kodoo
 
kushindwa kwa LIsU kushindwa kwa chadema,kushinda kwa mbowe anguko la CHADEMA haitainuka tena
Lisu ana mchango gani wa maana Chadema zaidi ya kuomba michango ya wanachadema wamchangie anujue gari na ada za wanawe?
 
CCM ni chama tawala kinatawala nchi na vyama vyote vya siasa kuhakikisha wanazingatia katiba zao

Mbowe katiba ya Chadema inamruhusu kugombea ni haki yake kwa mujibu wa katiba ya Chadema iliyopitishwa na vikao halali vya Chadema na kusajiliwa kwa msajili wa vyama vya siasa

CCM kama Chama tawala hatuwezi kubali porojo za kijinga kwa chama chochote cha siasa ikiwemo Chadema kusema ohh Mbowe kakaa sana aondoke wakati katiba yao haisemi hivyo

Ndio maana CCM kama chama tawalawa tumekakamaa hilo

Chadema zingatieni katiba yenu acheni uswahili.
Mbowe na Lisu kwa mujibu wa katiba yenu wote wana haki ya kugombea .
Team Lisu na Lisu wenu achen8 uswahili someni katiba yenu

Kama hamsomi CCM kama chama tawala inabidi kuwakumbusha ili msitoke nje ya reli ya katiba yenu wenyewe ambayo wala CCM hawakuwaandikia

Hiyo ndio maana ya utawala wa sheria kuzingatia katiba yenu pia
Wote heche na lema wanasema eti watamshinda mbowe.

Mbowe alishasema na amerudia mara kadhaa, atakayeshinda yeye atamshika mkono na maisha yataendelea.
Sasa ooh mbowe kanya oooh mbowe kachukua mke wa lema.
Yote hayo ya nini watulie sindano iwaingie
 
Msikilize heche, lema na lisu wote wanaomba mbowe apumzike.
Si wampumzushe tu kidemokrasia ndani ya uchaguzi
Sahihi sabduku la kura lipo hawahitaji kumuomba waachie sanduku la kura wao si wanajiamini kuwa Mbowe kachuja

It is not a big deal wasubiri sanduku la kura mbona zimebaki siku sita tu

Woga wa sanduku la kura unatoka wapi wakati huyo Lisu wao ni star mbowe hamna kitu mbele ya Lisu?

Wanatapatapa nini? Katiba yao inaruhusu Mbowe na Lisu kugombea

Waache ujinga
 
CCM ni chama tawala kinatawala nchi na vyama vyote vya siasa kuhakikisha wanazingatia katiba zao
Hizi fikra za kijima umezitoa wapi. Nani kakwambia kuwa CCM ni mtawala wa vyama vingine?

Huko CCM Kuna shida gani hadi mnashindwa kufikiri kimantiki?
 
Back
Top Bottom