brownjosephati
JF-Expert Member
- Jun 7, 2024
- 549
- 674
- Thread starter
- #41
Hiyo huruma imetoka wapiSio kwa kumuhofia kwenye box la kura bali kumuepusha na fedheha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo huruma imetoka wapiSio kwa kumuhofia kwenye box la kura bali kumuepusha na fedheha.
Wasikilize vizuri wewe Chawa! Hoja yao ni kwamba wanataka heshima ya Mbowe ilindwe!! Baada ya uchaguzi Mbowe hawezi kuwa huyu wa sasaKumekua na malalamiko yakiambatana na maombi kwa Mbowe kumuachia Lisu.
Wote(hasa viongozi wa CDM) akiwemo Heche na Lema wamemuomba Mbowe apumzike huku wakijinasibu kuwa Lisu atamshinda Mbowe.
Swali:-
Mmeshajua kuwa Lisu anamshinda Mbowe sasa kwanini mnapeleka maombi kwa Mbowe kumuachia lisu????
Nakuomba Heche na Lema mkuje mjibu hili swali
Na Je Demokrasia itaonekana wapi kama mgombea atakuwa mmoja pekee?
Tutajuaje kama Lisu anatakiwa na wanachadema walio wengi?