Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Zinapopatikana mkuu.Yanga tiketi mtapata wapi?
TumewaonaTujitahidi tarehe 5/12/2020 tujitokeze kwa wingi kuwasapoti na kuwatia moyo wanaplateau ili ipate ushindi wa kishondo dhidi ya timu ya Simba.
Dah huyu binti anaonekana anajua kufinyia kwa ndani
Mkuu kwenye ukweli tuwe wakweli. Mimi ni shabiki wa simba lakini aina ya ushabiki wa Manala siupendi kabisa. Ushabiki wa Manara unaleta uhasama kati ya mashabik wa Simba na Yanga.Wachawi katika ubora wao
Tujitahidi tarehe 5/12/2020 tujitokeze kwa wingi kuwasapoti na kuwatia moyo wanaplateau ili ipate ushindi wa kishondo dhidi ya timu ya Simba.
acha urongo babu nyie mnapiga mashabiki wa simba kila mara umesahauMkuu kwenye ukweli tuwe wakweli. Mimi ni shabiki wa simba lakini aina ya ushabiki wa Manala siupendi kabisa. Ushabiki wa Manara unaleta uhasama kati ya mashabik wa Simba na Yanga.
Ni zaidi ya miaka 80 hizi timu zipo lakini kwa miaka hiyo yote hatukuwa na uhasama wa aina hii. Tulikuwa na utani lkn siyo uhasama. Ilikuwa timu ya nje ya nchi inakuja na ikitokea ikaishinda yanga wana simba tumekuwa tukiishangilia humo humo uanjani. Lakini nje ya uanja hatukuwa tukionyesha ushabiki.
Lakini kwa sasa ushabiki unaanzia nje ya uanja. Na chanzo cha yote haya ni Manala. Namuomba manala afanye ushabiki wa utani kama tulivyozoea kwa miaka yote lkn aache ushabiki wa kashifa. Vinginevyo akae pembeni asitujengee uhasama kwa wananchi wa nchi moja.
Nakubaliana na wewe 100% kuhusu ushabiki anaouleta Manara, ni kama mtu mwenye tatizo fulani la kudumu.Mkuu kwenye ukweli tuwe wakweli. Mimi ni shabiki wa simba lakini aina ya ushabiki wa Manala siupendi kabisa. Ushabiki wa Manara unaleta uhasama kati ya mashabik wa Simba na Yanga.
Ni zaidi ya miaka 80 hizi timu zipo lakini kwa miaka hiyo yote hatukuwa na uhasama wa aina hii. Tulikuwa na utani lkn siyo uhasama. Ilikuwa timu ya nje ya nchi inakuja na ikitokea ikaishinda yanga wana simba tumekuwa tukiishangilia humo humo uanjani. Lakini nje ya uanja hatukuwa tukionyesha ushabiki.
Lakini kwa sasa ushabiki unaanzia nje ya uanja. Na chanzo cha yote haya ni Manala. Namuomba manala afanye ushabiki wa utani kama tulivyozoea kwa miaka yote lkn aache ushabiki wa kashifa. Vinginevyo akae pembeni asitujengee uhasama kwa wananchi wa nchi moja.
Mabadiliko kwenye maisha Ni sababu ya msingi sana mkuu nimekuelewa vyema watu wana msongo wa mawazo sasa ukiwagusa kidogo tu wanatafuta pa kupunguzia hasiraNakubaliana na wewe 100% kuhusu ushabiki anaouleta Manara, ni kama mtu mwenye tatizo fulani la kudumu.
Ila hii tabia ya mashabiki imechangiwa na mambo mengi sana mkuu, mabadiliko kwenye maisha yanakuja na mambo yake
Mkuu acha kuwatisha mikia,hao walienda kumpokea saidoo ntibazonkinzaNimapenzi makubwa sanaa yalipo kwenye mioyo na mashabiki wakereketwa wa club yetu ya wananchi kutoka nigeria...hakika meza itapinduliwa kibabe sanaa jumamosi
Daima mbele nyuma mwikoo
View attachment 1640364
hivi nyie yanga mtajanjaruka lini. fikiria kina Yacobe na Sarpong walipokelewa hivi hiviNi mchezaji mpya wa yanga ndio amepokelewa hapo muda si mrefu
hii ndio maana halisi ya UtopoloMkuu acha kuwatisha mikia,hao walienda kumpokea saidoo ntibazonkinza
mkuu huna hoja,rudi kalale tu. niliposikia tu mimi shabiki wa Simba nikajua huyu ni utopplo anatafuta pa kujifichiaMkuu kwenye ukweli tuwe wakweli. Mimi ni shabiki wa simba lakini aina ya ushabiki wa Manala siupendi kabisa. Ushabiki wa Manara unaleta uhasama kati ya mashabik wa Simba na Yanga.
Ni zaidi ya miaka 80 hizi timu zipo lakini kwa miaka hiyo yote hatukuwa na uhasama wa aina hii. Tulikuwa na utani lkn siyo uhasama. Ilikuwa timu ya nje ya nchi inakuja na ikitokea ikaishinda yanga wana simba tumekuwa tukiishangilia humo humo uanjani. Lakini nje ya uanja hatukuwa tukionyesha ushabiki.
Lakini kwa sasa ushabiki unaanzia nje ya uanja. Na chanzo cha yote haya ni Manala. Namuomba manala afanye ushabiki wa utani kama tulivyozoea kwa miaka yote lkn aache ushabiki wa kashifa. Vinginevyo akae pembeni asitujengee uhasama kwa wananchi wa nchi moja.
Manara amepewa kazibya kuhamasisha kujaza uwanja. Hii technique ya kuwakera upande wa pili inaonekana inafanya kazi vzr ndio mana uwanja unajaa. Simba hawawabagui washabiki wa yanga uwanjani kama wafanyavyo yanga.Mkuu kwenye ukweli tuwe wakweli. Mimi ni shabiki wa simba lakini aina ya ushabiki wa Manala siupendi kabisa. Ushabiki wa Manara unaleta uhasama kati ya mashabik wa Simba na Yanga.
Ni zaidi ya miaka 80 hizi timu zipo lakini kwa miaka hiyo yote hatukuwa na uhasama wa aina hii. Tulikuwa na utani lkn siyo uhasama. Ilikuwa timu ya nje ya nchi inakuja na ikitokea ikaishinda yanga wana simba tumekuwa tukiishangilia humo humo uanjani. Lakini nje ya uanja hatukuwa tukionyesha ushabiki.
Lakini kwa sasa ushabiki unaanzia nje ya uanja. Na chanzo cha yote haya ni Manala. Namuomba manala afanye ushabiki wa utani kama tulivyozoea kwa miaka yote lkn aache ushabiki wa kashifa. Vinginevyo akae pembeni asitujengee uhasama kwa wananchi wa nchi moja.