Mashabiki wa Ronaldo njooni huku

Mashabiki wa Ronaldo njooni huku

Messi kombe la dunia kafika fainal Ronaldo hatofika ata nusu Hadi anakufa


Na Mess ataendelea kua Mwana wa Israel hadi mwisho.

Ataendelea kufika final ila hatachukua chochote😂😂😂😂
 
Nachojua mmoja ana asssist,anasaidia build up,anafunga,anapiga free kick,ana play make Na kupiga key passes mwingine anasubiria awekewe Pasi tamu apachike kamguu au kichwa Lowe goli
Mzee wa tap in [emoji2][emoji2]
 
Haya Sasa Messi huyooo kabeba kombe akiwa na timu ya taifa

Mlikua mnamuona Messi si lolote na wala si chochote kwa C.Ronaldo,kwasababu C.Ronaldo alishinda EURO mkawa mnamponda Messi kwakua hajashinda taji lolote akiwa na timu yake ya Taifa

Najua mtataka Messi afanye Kama Ronaldo kuhama Hama ligi [emoji23] huu ni upuuzi nawaambieni hivi MESSI hahitaji kuhamia ligi yoyote ile ili athibitishe uwezo wake.

Sasa sisi team Messi tunawadai ninyi team Ronaldo Balon'Dor ya 6 na tunataka mchezaji wenu aipeleke timu yake ya taifa fainali tu za kombe la dunia.

Daadeki zenu nyinyi.

View attachment 1849190


Messi kaipeleka Argentina final, na amecheza dakika zote 95

Wakati Ronaldo hata first time hajamaliza, na akageuka kuwa mwalimu 🤣🤣🤣 sifa hizi
 
Kwakweli huyu jamaa nilikuwa namuombea abebe hii kitu,maana mashabiki wa yule mpuuzi mwenye mpira wa kulazimisha walikuwa wanamnanga Messi kwa kutobeba kombe akiwa na Argentina.

Halafu jamaa kajitahidi sana kuliko huyo Penaldo.Kaifikisha timu fainali 3,ikiwemo ya World Cup (sijui ni lini Ronaldo atavaa medali ya mshindi wa 2 wa WC ?). Kwenye Copa America iliyoisha leo Messi ama kafunga au katoa assist kwenye kila ushindi iliopata Argentina. Yule 'Mr.Misifa' anayaweza haya?
Watu na team zenu bhana! Hizi chambuzi utafikiri ni mchezo wa tennis, kwamba anacheza mtu mmoja. Mtu mmoja akiwa bora kama hajazungukwa na teammates wazuri hawezi kufanya maajabu yoyote.

Halafu hao Messi na Ronaldo wanaheshimiana sana tu ila waswahili mnataka kuuana huku, badala mjiite wapuuzi eti wao ndo mnawaita wapuuzi[emoji16]

Mimi hao jamaa navutiwa na uwezo wao wote, walileta amshaamsha kwenye soka ambayo sasa imepungua sana. Naamini Ronaldo ni fundi, na Messi pia ni fundi.

Huo mpira wa kulazimisha ukiambiwa wewe uulazimishe, kama kipaji huna hata ushinde na ukeshe ukilazimisha hata kocha wa timu ya kitongoji hatokuona[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo Champions League Messi anaichukua next season akiwa na Aguero pale Barcelona.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa naona umechagua chama mapema kabisa hata msimu haujakaribia kuanza. Sasa naomba awamu hii usihamehame kama ulivyohama kutoka PSG to Madrid to Man City kwa hasira dhidi ya Chelsea!

Halafu sio baadaye mkeka wako uchanike uanze kulialia kocha kauza mechi kama ulivyomlaani Guardiola kamuuzia TT mechi ya fainali.

Tutakufuatilia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom