Messi kombe la dunia kafika fainal Ronaldo hatofika ata nusu Hadi anakufa
You speak fact but here we speak about our opinions
World Cup kafika fainali ndo ashindwe Euro?Ureno ana kombe la Euro tangu 2016,ambapo Argentina akija kushiriki Euro competition anaishia kwenye makundi hata 16 bora hafiki
Ninyi mlikua mnataka Messi abebe ndoo timu ya Taifa Leo mnabadilika mnasema uliisha Muda [emoji23][emoji23]..aisee mnatapa tapaHiyo issue iliisha muda sana
Kipofu kaona mweziNinyi mlikua mnataka Messi abebe ndoo timu ya Taifa Leo mnabadilika mnasema uliisha Muda [emoji23][emoji23]..aisee mnatapa tapa
Kipofu kaona mweziWorld Cup kafika fainali ndo ashindwe Euro?
Huyo Ureno mwenyewe akipelekwa Amerika Kusini hafuzu WC miaka buku
Ewaaaaa,Sasa Huna Cha kuongea kingine nimekupa facts Hadi umetulia mwenyeweKipofu kaona mwezi
Nachojua mmoja ana asssist,anasaidia build up,anafunga,anapiga free kick,ana play make Na kupiga key passes mwingine anasubiria awekewe Pasi tamu apachike kamguu au kichwa Liwe goliKwani wewe huangalii mpira,huwezi kumtambua Nani ni Bora kuliko mwenzake?
Mzee wa tap in [emoji2][emoji2]Nachojua mmoja ana asssist,anasaidia build up,anafunga,anapiga free kick,ana play make Na kupiga key passes mwingine anasubiria awekewe Pasi tamu apachike kamguu au kichwa Lowe goli
Haya Sasa Messi huyooo kabeba kombe akiwa na timu ya taifa
Mlikua mnamuona Messi si lolote na wala si chochote kwa C.Ronaldo,kwasababu C.Ronaldo alishinda EURO mkawa mnamponda Messi kwakua hajashinda taji lolote akiwa na timu yake ya Taifa
Najua mtataka Messi afanye Kama Ronaldo kuhama Hama ligi [emoji23] huu ni upuuzi nawaambieni hivi MESSI hahitaji kuhamia ligi yoyote ile ili athibitishe uwezo wake.
Sasa sisi team Messi tunawadai ninyi team Ronaldo Balon'Dor ya 6 na tunataka mchezaji wenu aipeleke timu yake ya taifa fainali tu za kombe la dunia.
Daadeki zenu nyinyi.
View attachment 1849190
Mimi huwa sibishani mkuu, nimeona upo kwenye ubishiEwaaaaa,Sasa Huna Cha kuongea kingine nimekupa facts Hadi umetulia mwenyewe
Umeishia kusema kipofu kaona mwezi
Unabishana mkuu sema tuu umeshindwa ubishi kwa facts nilizokupaMimi huwa sibishani mkuu, nimeona upo kwenye ubishi
Au sio, basi na wewe chukua kombeUnabishana mkuu sema tuu umeshindwa ubishi kwa facts nilizokupa
Akichukua Messi tu inatoshaAu sio, basi na wewe chukua kombe
Poor youAkichukua Messi tu inatosha
[emoji23][emoji23] povu iloPoor you
Watu na team zenu bhana! Hizi chambuzi utafikiri ni mchezo wa tennis, kwamba anacheza mtu mmoja. Mtu mmoja akiwa bora kama hajazungukwa na teammates wazuri hawezi kufanya maajabu yoyote.Kwakweli huyu jamaa nilikuwa namuombea abebe hii kitu,maana mashabiki wa yule mpuuzi mwenye mpira wa kulazimisha walikuwa wanamnanga Messi kwa kutobeba kombe akiwa na Argentina.
Halafu jamaa kajitahidi sana kuliko huyo Penaldo.Kaifikisha timu fainali 3,ikiwemo ya World Cup (sijui ni lini Ronaldo atavaa medali ya mshindi wa 2 wa WC ?). Kwenye Copa America iliyoisha leo Messi ama kafunga au katoa assist kwenye kila ushindi iliopata Argentina. Yule 'Mr.Misifa' anayaweza haya?
I conquer with you . Watu na team zao wanataka kuuanaAs sports person, you need to enjoy one greatness without belittling the other.
Both Messi and Ronaldo have given us the generational show, probably the best in our lifetime.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo Champions League Messi anaichukua next season akiwa na Aguero pale Barcelona.