Mashabiki wa Ronaldo njooni huku

Naona Mnamzungumzia Messi Wakati DiMaria ndo Kaipa Ubingwa Argentina.
 
Ureno ana kombe la Euro tangu 2016,ambapo Argentina akija kushiriki Euro competition anaishia kwenye makundi hata 16 bora hafiki
Mbona kombe la dunia 2014, aliingia fainali pamoja hawakuchukua ila Messi akawa mchezaji bora wa mashindano.
 
Mkuu!!! Debate imefungwa rasmi Leo na Mfalme wa soka hapa Duniani, Messi10. Team CR7 waandike maamivu ktk maisha Yao yote.

Ballon D'or yake ya 7 (the King [emoji146] Leo Messi10) ashaiweka kibindoni tayari. Kinachofurahisha zaidi lakini itabaki kuwa fedheha kwa wapenzi wa CR7 ni kwamba idadi ya Ballon D'or (7) ambazo Mfalme Messi10 atakuwa amewahi kushinda ndiyo namba ya jezi ya CR7 (rival wa Messi10 wao wanaita).

Hivyo, CR7 ktk maisha yake yote atabaki kuibeba idadi hiyo mgongoni mwake kuitangazia Dunia kuwa ni Mfalme Messi10 pekee ndiyo ambae amewahi kushinda Ballon D'or mara 7 .

Nawashauri haters wa Mfalme Messi10 na CR7 mwenyewe wamwombee tu Messi10 (fundi wa kweli) ashinde Ballon D'or ya 8 mwakani (2022) ili wakiuepuke kikombe hiki cha fedheha na Penaldo wao katika maisha Yao.... Otherwise waandike maumivi katika maisha Yao yote.

Johan Cruyff (mataalam wa tiktaka duniani) aliwahi kumtabiria Mfalme Messi10 kuwa "probably he may win 5, 6 or 7 Ballon D'or... Sasa haters wa Penaldo ni nani hata wabishane na mwasisi wa soka la kuvutia hapa Dunia.... Kenchy type!!! Daaadek zao...
 
Kwakuwa nyinyi mlishabeba World Cup siyo?
Siyo lazima tushinde Mzee lakini kama imeandikwa wewe ni nani hata uzuie aisee.... Mlisha kariri kwamba Messi10 hawezi chochote akiwa na timu ya Taifa.

Nakuwekea kumbukumbu sawa hapa...

Messi10 ameshinda world[emoji289] cup akiwa na under 20 timu ya Taifa.

Messi10 ameifikisha Argentina kwenye fainali za mashindano makubwa mara 5.

Fainali 4 za Copa America (ikiwemo hii ya 2021 aliyobeba ndoo). Fainali 1 ni world cup v Germany 2014.

Halafu timu Penaldo utawasikia mkibana pua zenu Messi10 hamana kitu. Wakati Mungu alimhurumia tu ndugu yenu atangulie kushinda Euro ili mbane pua weeeee kwani kama Mfalme wa soka Messi10 angekuwa ameshinda Toka wakati huo Mungekuwa mmepata wapi muda kubanabana pua zenu...
 
Watching someone saying Messi isn't better inachekesha...
Fainali za Copa America Mara 4..
Kombe la Dunia Mara Moja

Na bado anakwenda kuongeza ballon Dor ya 7....
Definition of a pure player..
watamkana kwa kubanabana pua zao... Lakini mioyo Yao itawaambia kimya kimya kuwa Mfalme wa soka ni mmoja tu naye si mwingine Leonel Messi10....
 
Hahahaha mmepatikana this time... Wewe mwite majina yote lakini ndiyo hivo Dunia imeshatambua kuwa Mfalme wa kweli ni Messi10...

Ndugu yenu si huwaga anaiga kutoka kwa Mfalme Messi10... Basi aige na ushindi wa Ballon D'or 7 ili mwendelee kubanabana pua zenu .. kenchy type!!!
 
Waaambie mkuu,LM ni kiumbe mwngine achana na huyo anaetafuta likes Insta ka Sepenga
 
Kambi ya penati😂😂
 
OFFICIAL: Cristiano Ronaldo wins THE EURO 2020 GOLDEN BOOT AWARD

Cristiano Ronaldo becomes the FIRST PLAYER in the history to finish top scorer in the Champions League, Premier League, La Liga, Serie A, and Euros
 
Team Messi msisahau goal la ushindi alifunga Di Maria

Ki messi kilikua kinaruka ruka tu uwanjani
 
Google ya Buza hii hivi wewe Kati ya Messi na Ronaldo Nani anaichezesha timu yake?

Nani akikosekana kwenye timu timu yake haipati matokeo?

Hamuoni hata haya kusema eti Messi yupo kwenye timu ambayo amezungukwa na wachezaji wazuri haya angalia Man of the match,Goals na maasist yakutosha na Messi ndo anatengeneza nafasi nyingi Barcelona

Ronaldo mzee wa tapins to yeye ndo anategemea wachezaji wenzake wamfanyie kazi yeye amalizie tu
 
Kiufupi wote wako vizuri

Lakini mimi huwa naangalia sana hadi zile clips wanazofanyaga training kwenye camps zao

Nimegundua Ronaldo ni mtu anayetrain sana na anayetumia nguvu nyingi sana kujifunza mpira kwa kufanya mazoezi kwa muda mrefu hata akiwa nyumbani kwake wakati Messi huwa hatumii nguvu na wala siyo mtu wa mazoezi sana

Na hata Ronaldo naturally ni right footed ila hiyo kuchezea miguu miwili ni ile alijilazimisha tu kujua kutumia na left foot ila Messi hajataka hata kupoteza muda kujifunza kutumia right foot yeye na ule ule mguu wake wa kushoto amefanya maajabu mengi

Pique aliwahi kuulizwa nani ni bora kati ya Ronaldo na Messi akasema "to me Ronaldo is the best of all humans but Messi is not human" (in football obviously) yaani hapo ni sawa na kusema "Ronaldo is the king of football but Messi is the god of football"

Mbappe aliwahi kunukuliwa akisema "i wish i had Neymar's right foot, Messi's left foot, Ronaldo's mentality and Buffon's class" ili kuwa the best footballer the world has ever seen

Na kuna mdau mmoja aliwahi kusema "nguvu za Ronaldo mwili mzima ni sawa na nguvu za mguu wa kushoto wa Messi"

Kwahiyo kwa kifupi naweza kusema kwamba Ronaldo anaujua mpira ila Messi mpira unamjua

Ila mimi wote nawakubali na ni shabiki yao wote maana wote maajabu yao nimeyaona
 
Messi+iniesta+xavi is greater than cr7 + ozil+di maria + modric+Kareem

When u simplify

Messi is greater than cr7+di-maria+Kareem
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…