Ronaldo ahamie Norwich city alafu tuone kama watabeba kombeSawa sasa ahame ligi akachukue kombe huko. Ronaldo ana kila kombe ligi mbali mbali
Ballon aiseee labda mbebwe mbeleko at its best. Messi hastahili ballon kuna wachezaji ligi mbali mbali huko wanastahili ballon
Ronaldo ahamie Norwich city alafu tuone kama watabeba kombe
Namaanisha Ronaldo anahamia timu ambazo hata asipokuwepo zinafanya vizuri tuAanze Messi kwanza kisha tumshauri Ronaldo maana Epl keshakipiga zamaaniii
Namaanisha Ronaldo anahamia timu ambazo hata asipokuwepo zinafanya vizuri tu
Yaani sasa hivi unataka Messi aende timu gani labda?
Alivyoondoka man u 2009 Man u Haikuendelea kuchukua makombe?Kama kweli vile. Je tangu CR7 aondoke hizo timu unazosema zinafanya makubwa je zina makubwa yapi kuzidi alipokuepo?
Yoyote hata kubwa kama mnavyomfananisha na Ronaldo ila bado CR 7 kamzidi pakubwa
Mwanangu messi anabeba balloon d or mapema sanampemba hujaona euro,uefa etc au wewe umeona copa na la liga pekee?(hata la liga yenyewe hajanyayua msimu huu)
Too much know na unacheka kabisa aiseee
Alivyoondoka man u 2009 Man u Haikuendelea kuchukua makombe?
Na toka ahamie juve...juve wamefanya maajabu gani amabayo hayakufanyika kipindi hayupo?
Mkuu nimeshakujibu ambacho hujaelewa nini Sasa hapo?Mie shabiki wa man u ila mkuu mbona unauliza swali badala ya jibu nitajie basi hayo makombe ya timu yangu pendwa.
Anyway huu mjadala tutaendelea siku Messi akihamia timu nyingine akabeba kombe huku akiwa top scorer pia
Mkuu nimeshakujibu ambacho hujaelewa nini Sasa hapo?
Usiombe Messi akahamia EPL atamvua nguo Ronaldo vibaya mno alafu mtasema kipindi kile Ronaldo alikua mdogo [emoji23][emoji23]
Kumbe UEFA? Sasa unataka Messi ahamie ligi nyingine wakati UEFA anacheza akiwa pale pale Barcelona [emoji2]Sijaelewa makombe makubwa ya Man u nayatamani hasa UCL hivi tulinyanyua mara ngapi alipoondoka CR7.
Nasubiria hizo nguo atakazovuliwa. Tena bahati nzuri man city walikua wanamfatilia kulingana na tetesi za soka.
Kumbe UEFA? Sasa unataka Messi ahamie ligi nyingine wakati UEFA anacheza akiwa pale pale Barcelona [emoji2]
Kipindi man u anachakaa mbele ya Barca Ronaldo alikuwepo mle
Nimegundua wewe ni Man U ndo Mana unamtetea Ronaldo
Wewe ndo urudie nilichoandika naamini utanielewa vizuriHee ina maana hujasoma vizuri comments zangu mbili huko juu nikisema mie ni shabiki wa Man u
Hebu mkuu rudia mara mbili mbili ulichoandika hapo kipindi man u anachakaa mbele ya barca eti Ronaldo alikuepo daah una ushabiki mpaka wenzio wanakushangaa unaandika vitu usivyovijua.
Hata Man city si atacheza hio Uefa au anaogopa lawama?
Wewe ndo urudie nilichoandika naamini utanielewa vizuri
Akihamia City mtasema anazingukwa na kina De bruyne [emoji2][emoji2] [emoji119]
Wewe ndo hujui kitu mkuuMkuu nimegundua hujui kitu.
Leo hii Messi unamlinganisha na se bruyne?
Endelea kubisha Barca alishinda 2-0Hee ina maana hujasoma vizuri comments zangu mbili huko juu nikisema mie ni shabiki wa Man u
Hebu mkuu rudia mara mbili mbili ulichoandika hapo kipindi man u anachakaa mbele ya barca eti Ronaldo alikuepo daah una ushabiki mpaka wenzio wanakushangaa unaandika vitu usivyovijua.
Hata Man city si atacheza hio Uefa au anaogopa lawama?
Wako wapi saivi hao uliowataja??Messi bila barcelona ya Xavi na Iniesta ni Di maria aliechangamka.
Akikujibu nitagiWako wapi saivi hao uliowataja??
Ronaldo kafunga goli 5, tatu kwati ya hizo ni penalt π π π π π πAkikujibu nitagi
Huoni hapo mshambuliaji kiongozi alikua etoo. Bado handsome henry kapozi hapo bonge la vipajiWewe ndo hujui kitu mkuu
nimemlinganisha wapi MESSI NA De Bruyne?
nini ambacho hujaelewa hapo? Kama Barcelona mlikua mnasema kazungukwa na kina Xavi mtashindwaje kusema anazungukwa na kina De bruyne akihamia City?
Hawalijui hiloRonaldo kafunga goli 5, tatu kwati ya hizo ni penalt π π π π π π