Mashabiki wa Simba: Hata Mo hatumtaki. Alimpa nani hela (bil. 3) ya usajili?

Mashabiki wa Simba: Hata Mo hatumtaki. Alimpa nani hela (bil. 3) ya usajili?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Screenshot_20231109-212426.png

Mashabiki wa Simba wanalalamika kuwa hata tajiri wa Simba Mo anaishi kiujanja ujanja. Inaonekana hata fedha ya usajili wa wachezaji hatoi kwa kiasi kinachotajwa.

Mo aliwahi kusema kuwa alitoa bilioni 3 za usajili wa wachezaji. Ni muda muafaka sasa atoke hadharani amtaje liyemkabidhi hizo bilioni 3.

Kumfukuza Mangungu peke yake lkn tajiri mbabaifu Mo kuendelea kubakia hawezi kutatua tatizo

Hata hivyo nawalaumu mashabiki wa Simba kichelewa kugundua huu ujanja ujanja wa Mo.

Kigwangala alipohoji juu ya uwekezaji wa Mo mwaka juzi mashabiki hawa hawa walimuandama sana Kigwangala na kumlinda Mo. Leo kiko wapi?
 
View attachment 2809097
Mashabiki wa Simba wanalalamika kuwa hata tajiri wa Simba Mo anaishi kiujanja ujanja. Inaonekana hata fedha ya usajili wa wachezaji hatoi kwa kiasi kinachotajwa.

Mo aliwahi kusema kuwa alitoa bilioni 3 za usajili wa wachezaji. Ni muda muafaka sasa atoke hadharani amtaje liyemkabidhi hizo bilioni 3.

Kumfukuza Mangungu peke yake lkn tajiri mbabaifu Mo kuendelea kubakia hawezi kutatua tatizo

Hata hivyo nawalaumu mashabiki wa Simba kichelewa kugundua huu ujanja ujanja wa Mo.

Kigwangala alipohoji juu ya uwekezaji wa Mo mwaka juzi mashabiki hawa hawa walimuandama sana Kigwangala na kumlinda Mo. Leo kiko wapi?
Mo mo nini?mshabiki hujawekeza kwenye timu hata mia unakaa unapoteza muda na kubwabwaja mara simba,mara Yanga

Kafanyeni kazi,acheni uzwazwa
 
Kwa kumfukuza kocha ndiyo wameharibu kila aina ya mipango ya msimu huu.

Wameleta paniki, mvurugano na mashaka kwa kila mwanasimba na wachezaji .

Hata mipango na mikakati ya club bingwa haitatimia
Yaani acha tu.... kwasababu wanaropoka tu ooh mara hatumtaki huyu mara yule n.k Yaani Mo aachie ngazi watayumba hapa onhoo
 
Mashabiki wa Simba wanalalamika kuwa hata tajiri wa Simba Mo anaishi kiujanja ujanja.
Ukiwa kama shabiki, huna hela, na hata ukizipata unakwenda kuhonga mademu, then unakuja kuanzisha thread kama hii, unataka kupambana na mwenye hela ilhali huna hela wewe ni shabiki mvizia supu za vibudu jangwani 😁 😁

Tafuteni hela muwe na team zenu
 
Ukiwa kama shabiki, huna hela, na hata ukizipata unakwenda kuhonga mademu, then unakuja kuanzisha thread kama hii, unataka kupambana na mwenye hela ilhali huna hela wewe ni shabiki mvizia supu za vibudu jangwani 😁 😁

Tafuteni hela muwe na team zenu
Daah! Wewe utakuwa chawa wa Mo
 
Ila binadamu bwana eh. Bora mijusi. Humtaki Mo. Na umevaa tisheti ya Mo,na kaandikwa jina lake. Ungeivua kwanza. Vinginevyo,tulieni,kama hasira,hata kandoro safi tu
 
Kwa kumfukuza kocha ndiyo wameharibu kila aina ya mipango ya msimu huu.

Wameleta paniki, mvurugano na mashaka kwa kila mwanasimba na wachezaji .

Hata mipango na mikakati ya club bingwa haitatimia
Waache watajifunza kupitia makosa yao
 
Daah! Wewe utakuwa chawa wa Mo
Tatizo lako huelewi sifa na tabia za mashabiki na ndio maana mashabiki (makapuku, wasio na uhakika wa kula kila siku) wameandaliwa supu ya kibudu jpili pale kariakoo.

Kazaneni mashabiki ipo siku mtasafirishwa kwenda kumpiga mawe shetani 😂😂
 
Yote haya yamesababishwa na goli 5, 5imba hali ilikuwa shwari tu na pira objective.
 
Mo hamna kitu,,ni sarakasi tupu pale Simba.

Mo na wahuni wenzie akina mangungu wote waende ,,
 
Back
Top Bottom