Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mavambo ameshika waha wa Kigoma huko, umati wa mashabiki umegoma kuondoka kambini maw Simba wakitaka wamuone kiungo fundi Fernandez Mavambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani we acha tu ataendelea kuwepo hadi milele hivi unajua hata dube mpumalelo a.k.a gari la mkaa ambaye mechi 8 mfululizo hajafunga goli hata la offside anaweza kutemwa akamuacha mangungu?Kama hali ni hiyo basi Mangungu bado yupo sana madarakani
Yani MBUMBUMBU SC ni WAPUMBAVU sana...tena ni MAJINGAMavambo ameshika waha wa Kigoma huko, umati wa mashabiki umegoma kuondoka kambini maw Simba wakitaka wamuone kiungo fundi Fernandez Mavambo
Hoja ya kipumbavu, hata utopolo wanaweza kuja uwanja wa mazoezi na kutak kumuona mchezaj wanayempenda , ni jambo la kawaida hata ulaya iko hio, ukiwa shabiki maandaz lazima una element za kiufukara.Kama hali ni hiyo basi Mangungu bado yupo sana madarakani
Hoja ya kipumbavu, hata utopolo wanaweza kuja uwanja wa mazoezi na kutak kumuona mchezaj wanayempenda , ni jambo la kawaida hata ulaya iko hio, ukiwa shabiki maandaz lazima una element za kiufukara.Yani MBUMBUMBU SC ni WAPUMBAVU sana...tena ni MAJINGA
anaitwa DEBORA
kikosi cha bilioni 7.[emoji848][emoji848]
Hoja ya kipumbavu, hata utopolo wanaweza kuja uwanja wa mazoezi na kutak kumuona mchezaj wanayempenda , ni jambo la kawaida hata ulaya iko hio, ukiwa shabiki maandaz lazima una element za kiufukara.Ni Deborah, sio Debra
Hoja ya kipumbavu, hata utopolo wanaweza kuja uwanja wa mazoezi na kutak kumuona mchezaj wanayempenda , ni jambo la kawaida hata ulaya iko hio, ukiwa shabiki maandaz lazima una element za kiufukara.Mitano tena kwa Ngungus Boy
Umbumbumbu uliotukuka kumfananisha kiongozi na mchezaji. Dube ana kadi namba ngapi ya Yanga?yaani we acha tu ataendelea kuwepo hadi milele hivi unajua hata dube mpumalelo a.k.a gari la mkaa ambaye mechi 8 mfululizo hajafunga goli hata la offside anaweza kutemwa akamuacha mangungu?
Waliachwa wakina Ngasa wenye vinasaba vya Yanga ndio itakuwa mshangao kwa Dube.yaani we acha tu ataendelea kuwepo hadi milele hivi unajua hata dube mpumalelo a.k.a gari la mkaa ambaye mechi 8 mfululizo hajafunga goli hata la offside anaweza kutemwa akamuacha mangungu?
Ana mapungufu mengi sana, msikilize mchambuzi mashabiki wa Simba akisema Debora ana mambo menginya kujifunza Kwa auchoMchezaji ana nyota ya hatari huyoo...wale wa utopopo...walitaka wamdhihaki kwa jina lake ila jamaa amewaonyesha yy ni wa kiumeni...
Wachezaji wao na kocha wakiulizwa kuhusu Debora wanamwagia maua yake...
Huyu ndie Mavambooo...
Nilikuwepo hapo wengi tulijua debora ni mwanamke ndio maana tulitaka tuthibitisheMavambo ameshika waha wa Kigoma huko, umati wa mashabiki umegoma kuondoka kambini maw Simba wakitaka wamuone kiungo fundi Fernandez Mavambo
Bora hao kuliko hizi mbugila zinazoturudisha utumwaniYani MBUMBUMBU SC ni WAPUMBAVU sana...tena ni MAJINGA
anaitwa DEBORA
kikosi cha bilioni 7.🤔🤔