CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
MASHABIKI WA SIMBA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII.
Baadhi ya mashabiki wa Simba wameamua kuchangishana FEDHA kwa ajili ya kuimarisha idara ya kiungo na idara ya mshambuliaji.
Hayo yametokea Baada ya mchezo wa jana DHIDI ya Yanga Baada ya Simba kufungwa goli 2 kwa 1.
Mashabiki wamekuja juu kufuatia kutoona faida ya Bilioni 20 KUSHINDWA kusajili wachezaji Kama.
0.Victoria adebayor
1. Azizi kii
2. Manzoki
3.Fabrice Ngoma.
4.Abdul Suleiman SOPU.
5. Victoria Adebayor.
6. Luis Miquesson nk
Wanadai mnaleta wachezaji wa Bei che wasio na uwezo kama MZUNGU, Kyombo, kanute, Banda nk.
MASHABIKI WANADAI WAMEWACHOKA WAMEAMUA KUINGIA SITE WAO KABLA YA DIRISHA DOGO.
# MTOENI MZUNGU
Baadhi ya mashabiki wa Simba wameamua kuchangishana FEDHA kwa ajili ya kuimarisha idara ya kiungo na idara ya mshambuliaji.
Hayo yametokea Baada ya mchezo wa jana DHIDI ya Yanga Baada ya Simba kufungwa goli 2 kwa 1.
Mashabiki wamekuja juu kufuatia kutoona faida ya Bilioni 20 KUSHINDWA kusajili wachezaji Kama.
0.Victoria adebayor
1. Azizi kii
2. Manzoki
3.Fabrice Ngoma.
4.Abdul Suleiman SOPU.
5. Victoria Adebayor.
6. Luis Miquesson nk
Wanadai mnaleta wachezaji wa Bei che wasio na uwezo kama MZUNGU, Kyombo, kanute, Banda nk.
MASHABIKI WANADAI WAMEWACHOKA WAMEAMUA KUINGIA SITE WAO KABLA YA DIRISHA DOGO.
# MTOENI MZUNGU