Mashabiki wa Simba kuchanga pesa za kununua wachezaji

Mashabiki wa Simba kuchanga pesa za kununua wachezaji

CAPO DELGADO

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2020
Posts
8,542
Reaction score
18,340
MASHABIKI WA SIMBA KATIKA MITANDAO YA KIJAMII.

Baadhi ya mashabiki wa Simba wameamua kuchangishana FEDHA kwa ajili ya kuimarisha idara ya kiungo na idara ya mshambuliaji.

Hayo yametokea Baada ya mchezo wa jana DHIDI ya Yanga Baada ya Simba kufungwa goli 2 kwa 1.

Mashabiki wamekuja juu kufuatia kutoona faida ya Bilioni 20 KUSHINDWA kusajili wachezaji Kama.
0.Victoria adebayor
1. Azizi kii
2. Manzoki
3.Fabrice Ngoma.
4.Abdul Suleiman SOPU.
5. Victoria Adebayor.
6. Luis Miquesson nk

Wanadai mnaleta wachezaji wa Bei che wasio na uwezo kama MZUNGU, Kyombo, kanute, Banda nk.

MASHABIKI WANADAI WAMEWACHOKA WAMEAMUA KUINGIA SITE WAO KABLA YA DIRISHA DOGO.

# MTOENI MZUNGU
 
Nina taaluma ya uhasibu nitazitunza vizuri sana
 
Mmeanza kutembeza bakuli
Mtanyooka tuu
Nyeenyee nyeee nyeee nyeee nyeee
Kipigo cha mbwa koko kipo pale pale
JamiiForums2047296491.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ukute yule mdhuungu alikuja kwenye Royal Tour makolo wakapita nae.
 
Yanga sio watu wazur.
Vipi mkuu, matarjio yenu kuchukua ubingwa wa Afrika, msimu huu. Hahaha...Africain anaenda kuwaonyesha kuwa hakika Yanga mi mboga mboga, unatolewa na Al Hilal ambayo inasukwa bado mpya, Makabi Lillepo anapiga vishuti kama vya mtoto.
 
Back
Top Bottom