Mashabiki wa Simba na Yanga Wangekuwa Wanaijenga Nchi, Tanzania Ingekuwa Singapore: Taifa la Wapumbavu wasioelewa dhana ya Vipaumbele

Ukweli mtupu.
Madhara yake hatutayaona Sasa.

Huwa nashangaa Sana Jitu linasimama Bungeni linaanza kuongea kwanza Usimba na Uyanga.

No hard feelings, ila kama Taifa tumepoteza sana mwelekeo Kwa kuweka kipaumbele kwenye mambo yasiyo na Tija.
 
Nakuunga mkono 💯 na hii inachangiwa na vyombo vya habari. Wana- promote sana michezo na miziki kuliko vitu vingine vya maana.
Watu wanashabikia mpira ya ulaya utafikiri wana ubia huku.
Ukitaka kujua mchango wa vyombo vya habari katika jamii, angalia vijana wanavyohangaika na mziki, ku-bet. Kutwa kucha radio za binafsi hata za umma ni kipromote yasiyojenga jamii.
 
📌📌Ukifatilia kwa karibu mashabiki wote wa mpira wanamatatizo ya akili.Hivyo mpira kwao ni kichaka cha kutolea stress zao.

Watanzania wengi wamejikatia tamaa ya maisha.Hasira zote wanazihamishia kwenye mambo ya kipuuzi kama ulevi,ngono,kamari na ushabiki wa mpira.
 
Kesho kuna harusi ya Aziz Ki na Hamisa Mobeto..usipange kukosa katika kisimbuzi cha Azam chanell ya Zamaradi TV...
Just for refreshment mpendwa...
Life ni zito kuwa serious sana..wengine ni washabiki humu tuu JF..ukikutana na sisi huwezi kusikia tunazungumzia mpira...tumejiwekea mipaka...
 
ORGASM ya ushindi wa timu haina tofauti na ya K ya mwanamke au madawa ya kupumbaza. Ni addictuon kama addiction zingine na inapumbaza mwili sawa na tendo la me na ke. Kama hujawahi pata ORGASM hio utaona mpira ni upuuzi. Kuuepuka hio org au furaha basi mtu asipende mpira sawa na kuepuka K ili asiwe addicted na org ya K.
Niliipata ORG hio mechi ya FRANCE VS ARGENTNA its very dangerous unaweza vua nguo mbele ya kadamnas.
Sasa kama mashabiki kindaki ndaki huwa wanaipata hio hali mara nyingi basi hawata acha hio DOPAMINE ACTIvATION.
 
Uchambuzi wa mpira kutwa nzima ni mpango wa CCM kuwawezesha watawale kwa rahazao.
 
Dunia ndivyo ilivyo,Mambo ya maana Huwa hayana kipao mbele!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…