Mashabiki wa Simba ni wakati sasa wa kupumzika na kupumzisha akili zetu kwenye mambo mengine

Mashabiki wa Simba ni wakati sasa wa kupumzika na kupumzisha akili zetu kwenye mambo mengine

Pesanyingi

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2023
Posts
1,157
Reaction score
1,983
Ukisikiliza propaganda za viongozi wa Simba unaweza sema timu ina maajabu ila kiuhalisia hakuna kitu.

Masuala ya kusema kila mara tumejitahidi hayana tija. Mashabiki tunaumia sana na watoa maamuzi ndani ya club, mtu unaacha shughuli zako, unatoka mbali ili uisapoti timu ila unachokutanacho uwanjani inasikitisha.

Msemaji wa Simba pia acha propaganda za kuwaadaa mashabiki, hatuna timu yenye uwezo kiushindani hasa tunapokutana na timu ambazo zipo seriously kwenye uwekezaji.

Tumewaacha wachezaji wenye unafuu kama baleke na phiri mmeleta magarasa ya kukaa bechi.

Kwasababu viongozi hawaumii na haya yanayotokea nawaambia mwakani yatajirudia, kuokoteza wachezaji wastaafu kuja kucheza Simba.
 
Kama hautaki kuisapoti timu ni wewe...tupo sisi mpaka tufe ndo tutaacha..
Mashabiki wa Arsenal hawajaihama timu yao..mashabiki wa manchester wako na timu yao tena timu zenye bajeti za hali juu na still zinafel sisi ni kina nani mpk tujione wa kuikimbia timu kisa matokeo? Kuna ups and downs kwny kila jambo...
 
Simba nguvu moja
UBUNTU BOTHO forever
IMG-20240329-WA0382.jpg
 
Hizi ndizo akili wanazozipenda wakina Mangungu na Ahmed Ally.
Kabisa. Hata mimi nawaelewa. Huwezi lalamika kufungwa na Al hly na wakati mshambuliaji wako ni Saido na jobe na wenyewe wamepambana kweli Al hly ulimi nje. Sasa unalalamika nini na wachezaji ndo hao? Usajili wa maana ukifanyika hapo sawa. Ila kwa sasa na hawa wachezaji kususa ni ujinga.
 
Yaani ilikua kelele kila Kona yanga,yangaa, yanga na mamelodi
Yakajisahau kua wana mechi na bingwa mtetezi
Bora walivyofanywa vibaya
Hapa ndiyo ilikuwa kosa kubwa na kosa lingine ni kutembea na historia ya kwa mkapa hatoki Mgeni matokeo yake hatoki mwenyeji .
 
Kama hautaki kuisapoti timu ni wewe...tupo sisi mpaka tufe ndo tutaacha..
Mashabiki wa Arsenal hawajaihama timu yao..mashabiki wa manchester wako na timu yao tena timu zenye bajeti za hali juu na still zinafel sisi ni kina nani mpk tujione wa kuikimbia timu kisa matokeo? Kuna ups and downs kwny kila jambo...
Hizo team za EPL ulizotolea mfano, hazipo vizuri ndio lakn unaona kabisa wanafanya Efforts kuitransform team lakn bahati inakuwa sio upande wao. Njoo simba sasa kutwa kujifanya hawana hela za usajil wa quality players, wanatoa wenye unafuu wanaleta waliojichokea. Mi nlijua Baleke au Phiri ataindoka mmoja na mmoja abaki maana usajili ni bahati lakn nkashangaa wameondolewa wote..
 
Vumilia mtani Yanga pia ilipitia kipindi kigumu kuanzia 2016 mpaka ikaitwa watembeza bakuli leo zamu yako.

Kama nawaona leo watani mpo Ubuntu
 
Ukisikiliza propaganda za viongozi wa Simba unaweza sema timu ina maajabu ila kiuhalisia hakuna kitu.

Masuala ya kusema kila mara tumejitahidi hayana tija. Mashabiki tunaumia sana na watoa maamuzi ndani ya club, mtu unaacha shughuli zako, unatoka mbali ili uisapoti timu ila unachokutanacho uwanjani inasikitisha.

Msemaji wa Simba pia acha propaganda za kuwaadaa mashabiki, hatuna timu yenye uwezo kiushindani hasa tunapokutana na timu ambazo zipo seriously kwenye uwekezaji.

Tumewaacha wachezaji wenye unafuu kama baleke na phiri mmeleta magarasa ya kukaa bechi.

Kwasababu viongozi hawaumii na haya yanayotokea nawaambia mwakani yatajirudia, kuokoteza wachezaji wastaafu kuja kucheza Simba.
Kwani nyie si ndio mnao sema Ubora wa YANGA ni kununua mechi ama si nyie?
 
Leo hata hali ya hewa inaridhisha....
 
Hizo team za EPL ulizotolea mfano, hazipo vizuri ndio lakn unaona kabisa wanafanya Efforts kuitransform team lakn bahati inakuwa sio upande wao. Njoo simba sasa kutwa kujifanya hawana hela za usajil wa quality players, wanatoa wenye unafuu wanaleta waliojichokea. Mi nlijua Baleke au Phiri ataindoka mmoja na mmoja abaki maana usajili ni bahati lakn nkashangaa wameondolewa wote..
Baleke ni mchezaji wa TP Mazembe, kuna Vitu vingi mnashabikia Mpira lakini hamvijui.
 
Back
Top Bottom