Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Sasa hapo ndio uwezo wao ulipoishia.Simba wamecheza vizuri wameshambulia shida ipo kwenye umaliziaji tumekosa magoli mengi sana ya kizembe.
Acha kutetea upuuzi,Baleke ni mchezaji wa TP Mazembe, kuna Vitu vingi mnashabikia Mpira lakini hamvijui.
Bila hata kutetea, Baleke ni mchezaji wa mechi na kina Mtibwa sugar na coastal union na siyo Champions league.Acha kutetea upuuzi,
Yaani wanajikuta sijui nani , maana kila ukiingia jukwaani ni nyuzi za kuinanga yangaHapa ndiyo ilikuwa kosa kubwa na kosa lingine ni kutembea na historia ya kwa mkapa hatoki Mgeni matokeo yake hatoki mwenyeji .
Sahihi kabisaSimba wamecheza vizuri wameshambulia shida ipo kwenye umaliziaji tumekosa magoli mengi sana ya kizembe.
Shida sio hela ya usajili shida ni hao wanaojiita ma scout sijui nini..hao ndo tatizo..wanashindwaje kusajili wkt wanawalipa mishahara mikubwa watu wamekaa tuu?Hizo team za EPL ulizotolea mfano, hazipo vizuri ndio lakn unaona kabisa wanafanya Efforts kuitransform team lakn bahati inakuwa sio upande wao. Njoo simba sasa kutwa kujifanya hawana hela za usajil wa quality players, wanatoa wenye unafuu wanaleta waliojichokea. Mi nlijua Baleke au Phiri ataindoka mmoja na mmoja abaki maana usajili ni bahati lakn nkashangaa wameondolewa wote..
Yaani yanga wenye akili ni wawili tu, sasa maneno ya mashabiki mnajua timu ndio inachowaza, kwahiyo viongozi, benchi la ufundi na wachezaji walikuwa hawafanyi chochote wanawaza yanga na mamelod tu? Kweli nyie uto pro maxMnagongwa leo kwa Nkapa hatoki Ntu, Simba Maneno mengi mpira Sifuri ndio maana wameambulia Zero
Sifuri mmepigwa cha MbungeYaani yanga wenye akili ni wawili tu, sasa maneno ya mashabiki mnajua timu ndio inachowaza, kwahiyo viongozi, benchi la ufundi na wachezaji walikuwa hawafanyi chochote wanawaza yanga na mamelod tu? Kweli nyie uto pro max
NakaziaKama hautaki kuisapoti timu ni wewe...tupo sisi mpaka tufe ndo tutaacha..
Mashabiki wa Arsenal hawajaihama timu yao..mashabiki wa manchester wako na timu yao tena timu zenye bajeti za hali juu na still zinafel sisi ni kina nani mpk tujione wa kuikimbia timu kisa matokeo? Kuna ups and downs kwny kila jambo...
Mbona ulichokiandika hakieleweki wewe msichana au upo period?Yaani yanga wenye akili ni wawili tu, sasa maneno ya mashabiki mnajua timu ndio inachowaza, kwahiyo viongozi, benchi la ufundi na wachezaji walikuwa hawafanyi chochote wanawaza yanga na mamelod tu? Kweli nyie uto pro max
Sikiliza bint, sisi wanaume hatuendi period kama nyie kina dada, kama huelewi ni wewe na kichwa chako kigumuMbona ulichokiandika hakieleweki wewe msichana au upo period?
Bint nguvu tangu lini umekuwa mwanaume? Kisome ulichokiandika kile mremboSikiliza bint, sisi wanaume hatuendi period kama nyie kina dada, kama huelewi ni wewe na kichwa chako kigumu
Jidanganye kuwa mmecheza vizur..wale alhal sijui.. ndio waliamua kuwaacha mchezee mpira sabb lengo lao lilikua tayar limetimia..nendeni uko kwao muone kama mtagusa uo mpira!!Simba wamecheza vizuri wameshambulia shida ipo kwenye umaliziaji tumekosa magoli mengi sana ya kizembe.
Kwa hiyo tumlaumu kiongozi gani sasa! Mangungu au Try Again! Au kipenzi chenu Mo?Ukweli usemwe, viongozi wa Simba wanazingua, hawana direction tena hawajui wapi wanaipeleka timu.
Hata Ulaya mashabiki wana nguvu ya kuwaambia ukweli viongozi wao, mashabiki wa Man Utd hawakuwaremba Glazers Familly, mashabiki wa Chelsea mpaka leo wanaimba jina la Mourinho hawamtaki Pochetino.
Timu kuwa mbovu vionhozi lazima walaumiwe wao sio malaika.