Mashabiki wa Simba Sc hawapaswi kuwa na matarajio makubwa sana Timu yao kuifunga Al Ahly Tripoli

Mashabiki wa Simba Sc hawapaswi kuwa na matarajio makubwa sana Timu yao kuifunga Al Ahly Tripoli

Naweza kusema kwa sasa klabu ya Simba SC hususani mashabiki wa klabu hiyo hawapaswi kuwa na matarajio makubwa kwa timu yao kupata matokeo chana mbele ya Al Ahly Tripoli
ya Libya katika Kombe la Shirikisho Afrika.

Ukitazama kikosi cha Simba kwa sasa kina wachezaji wapya wengi na kocha pia ni mpya kwahiyo kipo katika matengenezo ya kuboresha kikosi chao na kuwa bora zaidi. Lakini pia Al Ahly Tripoli wana wachezaji ambao wanaCV kubwa sana kuliko Simba na waliojaa uzoefu mkubwa katika michuano hii.

Kwahiyo kikubwa Simba wacheze kwa tahadhari sana kwenye mechi zao zote yani ya nyumbani na ugenini. Nafahamu pia mpira wa miguu unamatokeo yake lakini kwa hapa Simba waonyeshe walicho nacho kama ikitokea kufuzu hatua inafuata basi ni jambo zuri kwao na litawapa nguvu zaidi na kufanya vyema.

Soma Pia:
Mechi itakuwa Jumapili 15 Septemba, 2024 Simba SC vs Al Ahly Tripoli. Mtanange huu utapigwa kuanzia saa 2:00 usiku
Kila laheri Mnyama.... 🦁 🦁
 
Mulipaswa kuwatoa sundowns msimu jana

Maana mlikua na form nzuri kuliko wao

Gues what? uzoefu ukawaondoa.
Yaani Yanga ilikuwa na form nzuri kuliko Mamelod Yanga ambayo Key player wake watatu waliumia, iwe sawa na Mamelod. Mamelod ambayo ipo kwenye michuano ya FIFA iwe sawa na Yanga. Hebu hapa ww umetumia vigezo gani....? Yanga ni bora ila kwa Mamelod walikuwa bora zaidi yao.

Uzuri mpira na ujua na huwaga sipendagi kujidanganya na kujipa asilimia kubwa kwa timu nisiyo ijua. Wale jamaa wana Striker kutoka Angola nazani ulimuona kwenye michuano ya CAF alivyokuwa aggressive,sijajua kwa wengine ila kummiliki mchezaji kama yule maana hata kiuchumi wapo vizuri, timu ikiwa kiuchumi ipo vizuri maana hata uwezo wa kuwapata quality player wanao.

Ndio maana nikasema kuna Current form na uzoefu. Yanga kwa Mamelod walikuwa na game plan nzuri sana na ilifanikiwa ,ila kwenye penati wakatoka kwani penati hazinaga wenyewe.
 
Yaani Yanga ilikuwa na form nzuri kuliko Mamelod Yanga ambayo Key player wake watatu waliumia, iwe sawa na Mamelod. Mamelod ambayo ipo kwenye michuano ya FIFA iwe sawa na Yanga. Hebu hapa ww umetumia vigezo gani....? Yanga ni bora ila kwa Mamelod walikuwa bora zaidi yao.

Uzuri mpira na ujua na huwaga sipendagi kujidanganya na kujipa asilimia kubwa kwa timu nisiyo ijua. Wale jamaa wana Striker kutoka Angola nazani ulimuona kwenye michuano ya CAF alivyokuwa aggressive,sijajua kwa wengine ila kummiliki mchezaji kama yule maana hata kiuchumi wapo vizuri, timu ikiwa kiuchumi ipo vizuri maana hata uwezo wa kuwapata quality player wanao.

Ndio maana nikasema kuna Current form na uzoefu. Yanga kwa Mamelod walikuwa na game plan nzuri sana na ilifanikiwa ,ila kwenye penati wakatoka kwani penati hazinaga wenyewe.
Kwani huyo Mabululu ana goli ngapi CAF competition hadi watu wamwogope yeye tu?
Kama pesa hata Azam anazo na yupo nje ya mashindano tatari.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Kwani huyo Mabululu ana goli ngapi CAF competition hadi watu wamwogope yeye tu?
Kama pesa hata Azam anazo na yupo nje ya mashindano tatari.
Sawa ila michuano juzi ya CAF akiwa na Angola kwenye mechi 5 katupia tatu,aliye chukua kiatu alikuwa na goli tano.

Thamani yake ni hiyo.
Screenshot_20240912_160421_Chrome.jpg

Salary yake.
Screenshot_20240912_161659_Chrome.jpg

Mpaka hapo nazani unaona, hao Azam wenye hawajawahi kutoa kiwango hiko cha fedha kwa mchezaji mmoja.Timu unaweza husiijue ila kupitia profile ya wachezaji wake na misuli yake ya kiuchumi unajua unakutana na timu ya aina gani.
 
Naweza kusema kwa sasa klabu ya Simba SC hususani mashabiki wa klabu hiyo hawapaswi kuwa na matarajio makubwa kwa timu yao kupata matokeo chana mbele ya Al Ahly Tripoli
ya Libya katika Kombe la Shirikisho Afrika.

Ukitazama kikosi cha Simba kwa sasa kina wachezaji wapya wengi na kocha pia ni mpya kwahiyo kipo katika matengenezo ya kuboresha kikosi chao na kuwa bora zaidi. Lakini pia Al Ahly Tripoli wana wachezaji ambao wanaCV kubwa sana kuliko Simba na waliojaa uzoefu mkubwa katika michuano hii.

Kwahiyo kikubwa Simba wacheze kwa tahadhari sana kwenye mechi zao zote yani ya nyumbani na ugenini. Nafahamu pia mpira wa miguu unamatokeo yake lakini kwa hapa Simba waonyeshe walicho nacho kama ikitokea kufuzu hatua inafuata basi ni jambo zuri kwao na litawapa nguvu zaidi na kufanya vyema.

Soma Pia:
Mechi itakuwa Jumapili 15 Septemba, 2024 Simba SC vs Al Ahly Tripoli. Mtanange huu utapigwa kuanzia saa 2:00 usiku
Pole !
Ulitumia muda mwingi kuandika gazeti, lakini yote uliyoandika yamekuwa useless. Wazungu wanayaita whole crap of bull shit
 
Sawa ila michuano juzi ya CAF akiwa na Angola kwenye mechi 5 katupia tatu,aliye chukua kiatu alikuwa na goli tano.

Thamani yake ni hiyo.
View attachment 3094188
Salary yake.
View attachment 3094202
Mpaka hapo nazani unaona, hao Azam wenye hawajawahi kutoa kiwango hiko cha fedha kwa mchezaji mmoja.Timu unaweza husiijue ila kupitia profile ya wachezaji wake na misuli yake ya kiuchumi unajua unakutana na timu ya aina gani.
Tumeiona ni timu ya aina gani mkuu na wao watakuwa wameelewa simba ni timu ya aina gani
 
Back
Top Bottom