Mashabiki wa Simba SC tuamke, Mo Dewji anainyonya sana Simba

Anaongezea kutoka wapi? Yaani mtu aliyeshindwa kusema wapi ameweka Ile bil 20b ya udhamini Simba, anayeihujuma Simba Kwa kujitangaza kwa malipo kidogo sana Leo hii atoe bil 3.9b for free kuisaidia Simba ?? Ama kweli kumbe sisi Wanasimba wote ni mbu3
Nafikiri ingekuwa busara wewe utuambie umechangia tshs ngapi kuliko kupiga kelele kwenye pesa ya mtu, weka hela tuweke jina lako kwenye jezi
 
Anaongezea kutoka wapi? Yaani mtu aliyeshindwa kusema wapi ameweka Ile bil 20b ya udhamini Simba, anayeihujuma Simba Kwa kujitangaza kwa malipo kidogo sana Leo hii atoe bil 3.9b for free kuisaidia Simba ?? Ama kweli kumbe sisi Wanasimba wote ni mbu3
 
Bila mo huko Caf champions league ungeenda na mtumbwi yaani hii tabia ya watanzania kuwakimbia watu kipindi cha matatizo na kujifanya wanawajua kipindi cha raha ni mbaya sana mo kaitoa simba chini huko ilikuwa inashirikia ndondi leo imekuwa nafasi ya 10 Africa kila mtu ana kuja na propaganda zake hata kwenye maisha ya kawaida mtu unapambana kusoma huko ukimaliza ukipata kazi tu kila mtu anajifanya ni ndugu yako yaani watanzania wengi ni hamnazo hujawahi kuchangia hata jero ila unasema mo anainyonya simba nonsense

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Kama wewe umeamka inatosha acha sisi tuendelee kulala usingizi bado ni mtamu tusilazimishane kuamka pamoja wakati hatukulala pamoja.
 
Baba yako je?
Baba yako amwambie naye aweke hela apate hela kwa kuinyinya simba
 
Haya mahesabu yanaonyesha wazi Mo anawapiga maboya wake parefu sana.

Club inaingiza 12B kwa mwaka alafu muwekezaji anamiliki nusu ya hisa zote za club kwa kutoa 20B 😃
Mashabiki faraja yenu ni ushindi, maadam MO anawafanikishieni hilo mnapaswa kumshukuru tena kwa kupiga makoti
 
Unachangia sh ngap mkuu??samahan lkn!!
Nalipia ada ya Uanachama, nanunua jezi original za Simba, ninalipa vingilio karibu kila mechi za Simba hapo taifa, nanunua kila siku bidhaa za mdhamini kuanzia unga, sabuni, vinywaji n.k. in short mchango wangu ni mkubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…