Na wewe kwa akili yako ulijua matibabu ya manara yalikuwa mil 1 tu waiyotoa yanga unajuaje kama hawakumchangia wakati huo?Hao waliochanga walikuwa wapi kuchanga wakati anaumwa?
Ni kipindi gani hiyo mil.1 ilikuwa na umuhimu zaidi, sasa au kipindi anaumwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hautakuwa uamuzi sahihi kwa sababu: 1.Zilizochangwa ni Shilingi milioni moja, lakini upendo, huruma, imani na uungwana uliooneshwa kwa fedha hizo hauwezi kupimika kwa pesa. Wema uliotangulia hakuna cha kuulipa. 2. Waliochanga pesa hizo ili zirejeshwe siyo waliopokea hizo milioni moja za awali, na wala aliyepewa fedha hizo hakuomba kwanza ridhaa ya hao wanaomchangia sasa hivi kabla ya kuzipokea. 3. Kuna uhakika gani kuwa hao wanaosemekana kutoa masimango ndiyo waliochangia hizo milioni za awali? 4. Aliyekabidhiwa huo mchango wa milioni moja aliwahi kutoa shukrani kwa wote waliochangia matibabu yake. Kurejesha fedha hizo hakutafuta shukurani hizo, na kwa hivyo kama ni masimango hayawezi kufutika kwa kurejesha hizo fedha.
Hata akisharudisha haina maana yoyote maana ukweli kila mtu anaujua kuwa Yanga ilimchangia na yeye akaenda kutibiwa.Huo ndo ukweli hata akirudisha haitasaidia kitu maana ndio ukweli wenyewe ambao hawezi kuufuta na kama angejua mapema asingepokea.
Hii tena inaonesha umbumbumbu wa msemaji wa simba baada ya kubanwa kwenye kona hikima inapungua anaropoka.Akarudishe tu lakin lazima arudishe kwa shukrani kwa waliomsaidia sio kwa masimango wala kinyongo bali kwa adabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao waliochanga walikuwa wapi kuchanga wakati anaumwa?
Ni kipindi gani hiyo mil.1 ilikuwa na umuhimu zaidi, sasa au kipindi anaumwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ni dhahiri hata mleta uzi halijui Swahiba.
Kweli usemalo Mkuu na kwa kipindi kile ubavu wa kutopokea hakuwa nao si unaona alivyokuwa kadhohofika.Hata akisharudisha haina maana yoyote maana ukweli kila mtu anaujua kuwa Yanga ilimchangia na yeye akaenda kutibiwa.Huo ndo ukweli hata akirudisha haitasaidia kitu maana ndio ukweli wenyewe ambao hawezi kuufuta na kama angejua mapema asingepokea.
Hii tena inaonesha umbumbumbu wa msemaji wa simba baada ya kubanwa kwenye kona hikima inapungua anaropoka.Akarudishe tu lakin lazima arudishe kwa shukrani kwa waliomsaidia sio kwa masimango wala kinyongo bali kwa adabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Mtani mbona unakataa halafu unakubali. Lol.Hajaomba msaada wenu halafu hiyo hela ni group tu la whatsapp ya Yanga walichanga na haikuwa hela iliyotoka as official help kutoka Yanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema wewe. Hapa ndio ujue dhahiri alishikwa pabaya na utani hauwezi.Mk Mambo mengine yanakera ...huu Sasa so utani!
Hiyo hela ilikuwa ni sehemu ya yeye kumfanya aende huko India.Kwahiyo iyo 1M iliyochangwa na Vyura Fanboys ndiyo pekee iliyompeleka India au?
Vyura akili zao fupi sana.
Mmmh!! Mbona kama na wewe umeingia chaka Mtani.Usikurupuke soma Mistari kwa Makini!
Hoja si kuchangiwa hapa! Point ni kwamba Yeye alichangiwa na WASHABIKI WA YANGA lakini shida ni pale anapojitokeza Mtu akajisifu kwenye Mitandao kuwa Kamtibu yeye kama yeye
Manara yeye mwenyewe anakubali kuwa Kachangiwa na Washabiki wa Yanga ambapo hata huyo Jerry Murro mwenyewe hakujuwa huo mchango ulianzaje!
Lakini leo anajitapa kuwa eti alitoa yeye hela za kumtibu.
Wee koma weweUna uhakika gani kuwa hao waliochanga sasa hawakumchangia wakati anaumwa!!?
Ulitaka nao wajitangaze hadharani?
Unajua wanasimba walimsaidia vipi na kiasi gani huyo jamaa?
Mbona wengine huku tunatoa misaada na kuchangia mambo mbalimbali na wala hatujionyeshi wala kutangaza popote!?
... akili yako nadhani haikuwaza vyema!
Huwezi msaidia mtu kitu halafu ukawa unaongelea huo msaada hata kama ni utani!
Huo utani wa aina hiyo huwa unaamsha hisia ambazo kwa wengine zinawaumiza!
Jerry alikosea, huwezi tania kwa style ile, aliongea kwa kupayuka, japokuwa alichofanya manara, si sawa ila hilo limekuwa likirudiwa mara kadhaa sana na wanayanga kuhusu kumchangia jambo linalochukuliwa kuwa ni masimango!
Hata angekuwa ni wewe, ungeona ni masimango!
Hebu hata mtu akupe buku 10, then awe anarudia rudia kuongea kuwa alikupa ili kutatua shida flani, uone utakavyoghafilika!
Arudishe tu...
Sent from my iPhone using JamiiForums
Unafuatilia lakin sakata hili au unakurupuka tu?Usikurupuke soma Mistari kwa Makini!
Hoja si kuchangiwa hapa! Point ni kwamba Yeye alichangiwa na WASHABIKI WA YANGA lakini shida ni pale anapojitokeza Mtu akajisifu kwenye Mitandao kuwa Kamtibu yeye kama yeye
Manara yeye mwenyewe anakubali kuwa Kachangiwa na Washabiki wa Yanga ambapo hata huyo Jerry Murro mwenyewe hakujuwa huo mchango ulianzaje!
Lakini leo anajitapa kuwa eti alitoa yeye hela za kumtibu.
Kama ni hivyo, kwa nini hiyo hela asimrejeshee huyo Muro, hata kama ni kwa Tigopesa?Usikurupuke soma Mistari kwa Makini!
Hoja si kuchangiwa hapa! Point ni kwamba Yeye alichangiwa na WASHABIKI WA YANGA lakini shida ni pale anapojitokeza Mtu akajisifu kwenye Mitandao kuwa Kamtibu yeye kama yeye
Manara yeye mwenyewe anakubali kuwa Kachangiwa na Washabiki wa Yanga ambapo hata huyo Jerry Murro mwenyewe hakujuwa huo mchango ulianzaje!
Lakini leo anajitapa kuwa eti alitoa yeye hela za kumtibu.
KAULI YA MANARA HIYO "Heri nego kavu na utulivu kuliko karamu ya Mfalme na machafuko ‘Bible’
Nilikwenda mwenyew mchana huu klabuni Yanga,bahati mbaya sana sikuwakuta viongozi wa klabu,,Wazee niliowakuta nje baada ya kuwaeleza nimekuja kukabidhi pesa za masimango walinisihi sana nisifanye hvyo na wakaniambia yule ni mgeni hapa mjini na hajui tamaduni zetu na kuniomba nisirejeshe hata thumni... Nimefundishwa kuwatii wazee, na ntarejea kwa Wanasimba walionikabidhi pesa zao,,,busara itawashauri tupeleke hospitali kwa wagonjwa wasiojiweza,,ikiwapendeza tutafanya hvyo!!
Kwetu nimefundishwa uungwana,,kwetu nimepata malezi bora,,kwetu wazazi wangu walinijaza na Jeuri ya kutokubali kuonewa wala kunyanyaswa... halaf mm sijatoka Mbwinde,,hilo ni Muhimu sana na ndio maana naweza kuwa Msemaji pekee naweza kwenda klabu nyingine tena mchana kweupeeeee."
TUKISEMA HUYU JAMAA HAFIKIRI KABLA YA KUTENDA MUWAGE MNAKUBALI.
SASA HUKO HOSPITALI ATAKAKOZIPELEKA NDIO ITAKUWA IMEFUTA KUSAIDIWA NA HILO MNALOLIITA KUNDI LA YANGA?
#MBUMBUMBUATABAKIAKUWAMBUMBUMBUTUSIKUZOTE.
Kama ni hivyo, kwa nini hiyo hela asimrejeshee huyo Muro, hata kama ni kwa Tigopesa?
Nimekusudia kueleza kwamba huyo Manara wenu aache kukurupuka.Tatizo lako ni kwamba unatanguliza mashambulizi bila ya kueleza hasa hiyo point yako ni nini!
Katika hiii post yako hasa umekusudia kueleza kitu gani?
Huo ndio Umbumbumbu alio nao Manara sasa mana hata hiyo Klabu itashangaa anapeleka hiyo pesa nani kamdai mana walishasema Jerry Muro yote anayoyasema na anayoyafanya anayafanya kama shabiki na Mwanachama wa Yanga na si sehemu ya kauli za Klabu ya Yanga.Hiyo hela Muro haimhusu sasa arushiwe yeye kama nani?
Pesa imechangwa na mashabiki wa Yanga ambao hata yeye manara hawezi kuwatrace na kiwajuwa ni kina nani na ni wangapi.
Kwahiyo ndiyo wakati uwezekano wa kuwatafuta akawarudishia hela haupo ndiyo akaona bora azirudishe Klabuni kwao.