Mashabiki wa Simba SC tumechoka masimango, tunarudisha msaada wenu matibabu

Hiyo pesa Murro haimuhusu sasa kwann maneno ya Murro yarudishe isiyomhusu?
Nyie misukule mbona mna uelewa finyu?

Halafu Manara boya sana kwahiyo simba akitibuana nao tena ataenda azam kuchangiwa awalipe pesa zao atakuwa wa kuchangiwa tu?
Shule shule shule
Elim elim elim

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaa. Ni lazima atafanya hivyo tena , si ndio akili yake inaishiaga hapo.
 
Huyu mwalimu wa madrasa yuko busy kufanya upuuzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema wewe. Hapa ndio ujue dhahiri alishikwa pabaya na utani hauwezi.

Nimeona sehemu kumerushwa picha akiwa pale Jangwani halafu anadai wazee wamemsihi asizirudishe. Sasa si wehu huo alionao.

#WashauriwaManaramuwemnatumiaakili.

Ivi unajuwa kuwa Manara hakuzaliwa Kijijini?

Manara ni Mtoto wa Mjini kindakindaki na siyo huyo Muro mwanakijiji
 
Ivi unajuwa kuwa Manara hakuzaliwa Kijijini?

Manara ni Mtoto wa Mjini kindakindaki na siyo huyo Muro mwanakijiji
Hahahaaa. We mpambe tu japo wanasemaga kuzaliwa mjini form six lakini kwa akili yake hiyo inabidi tumfikirie sana kumuweka katika kundi la hao Form Six
 
Sikh
Siku unamkabidhi bumbuli usisahau kupost picha kama hiyo, otherwise tutajuwa ujanja wako wa kutaka kuchangiwa a.k.a kitonga unaendelea kimtindo.
 
Ndiyo sisi washabiki tulimchangia, kwa upendo wetu kwako. Sasa mbona unatukosea kusema unarudisha mchango wetu kwa Bumbuli, basis tutafute sisi tuliochanga fedha zetu kwa upendo uturudishie, ila kumbuka kuna miongoni mwetu kuna ambao walishatangulia mbele ya haki, na wao walijichanga hivyo kidogo kidogo hadi ikiafika hiyo M 1, sasa sijui hao utawafanyaje? Haji nakushauri bro jaribu kuwa muungwana, na kama utani uwezi basi nyoosha mikono juu ili sisi watani zako tujue na tuache kukutania. Ila kama utaendelea na uroporopo wako juu yetu, basi kurudisha huo mchango hakutakiepusha na kikombe hiki, utapigwa kwa maneno hadi ukome. Hakika waswahili walisema Mkuki kwa Nguruwe......., Wengine wakasema Nyani haoni Kundule, Leo ndiyo nimeamini.
 
Yaani sio siri Mkuu anatuaibisha sana aiseee.

Cha ajabu wapo wanaoona yuko sahihi kabisa.
Wanaomuunga mkono kwenye hili suala nao maboya tu ka yeye alivyo. Hakika Rage jina ulilowapa hawa jamaa ni sawia 100%
 

Mimi ndiyo Haji? [emoji23] [emoji23]
 

Wewe Haji kama huuwezi utani basi achia hiyo nafasi uliyonayo hapo simba,kama nyie ni watani wa jadi kwa nini umchagulie Jerry muro utani wa kukutania hata kama unafanana na ukweli kwa alichosema!
 

Mimi ndiyo Haji? [emoji23] [emoji23]
 
Mimi ndiyo Haji? [emoji23] [emoji23]
Haya bw. Manara tuliza mshono, sisi tulikuchangia kwa hiari, hatukukopesha, hivyo huo mchango uliyochangwa na hao ndugu zako we tumia tu.
 
Anayetuhumiwa kumsimanga Manara ni Jerry Muro, si washabiki wa Yanga. Kama ni kurejesha, Manara angemuuliza moderator wa kundi la WhatsApp liliochangia ni kiasi gani Muro alichangia kati ya hizo milioni. Na hizo ndizo ambazo Manara angezirejesha - kwa Jerry Muro na siyo kwa klabu ya Yanga. Mwiba unakoingilia ndiko unakotokea.
 
Hata kama ni kweli alichangiwa sawa lakini je Yanga walimchangia ili kuja kumsimanga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…