MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Wakuu,
Imagine leo Simba pamoja na mafanikio ya kila aina ikiwemo ushindi na mpira safi leo alafu kuna mashabiki wanalalamika kwamba kocha kwanini hampangi Phiri!
Kweli game ya bonanza, pamoja na mafanikio yote tunaanza kuhoji kwanini leo Phiri hajacheza? Hivi tunajiona sisi ni zaidi ya Barcelona? Hivi tunafikiri kocha haoni maoni yenu ya kifala? Mnataka tubadili kocha tena kizembe kisa Phiri hajapangwa?
Hapa niwasifu mashabiki wa Yanga, kiukweli wamejaa ukomavu ambao ni wa kipekee sana. Hivi tungegeuza upande leo Simba kungekalika kweli? Pamoja na hamasa tuliyonayo mashabiki wa Simba lakini tumejaa ujinga wa kushangaza sana!
Tuache ujuha, ujinga, na upunguani! Hatuna timu ya dhahabu kiasi ya kufanya tujione tunapaswa kufanya miracles za mbinguni. Tuuunge mkono timu na viongozi na kuacha malalamiko ya kipuuzi hasa kwa kocha.
Hii ni kwa mashabiki maandazi!!!.
Simba #nguvumoja
Imagine leo Simba pamoja na mafanikio ya kila aina ikiwemo ushindi na mpira safi leo alafu kuna mashabiki wanalalamika kwamba kocha kwanini hampangi Phiri!
Kweli game ya bonanza, pamoja na mafanikio yote tunaanza kuhoji kwanini leo Phiri hajacheza? Hivi tunajiona sisi ni zaidi ya Barcelona? Hivi tunafikiri kocha haoni maoni yenu ya kifala? Mnataka tubadili kocha tena kizembe kisa Phiri hajapangwa?
Hapa niwasifu mashabiki wa Yanga, kiukweli wamejaa ukomavu ambao ni wa kipekee sana. Hivi tungegeuza upande leo Simba kungekalika kweli? Pamoja na hamasa tuliyonayo mashabiki wa Simba lakini tumejaa ujinga wa kushangaza sana!
Tuache ujuha, ujinga, na upunguani! Hatuna timu ya dhahabu kiasi ya kufanya tujione tunapaswa kufanya miracles za mbinguni. Tuuunge mkono timu na viongozi na kuacha malalamiko ya kipuuzi hasa kwa kocha.
Hii ni kwa mashabiki maandazi!!!.
Simba #nguvumoja