Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Shida ya phiri haina tofauti na manula, team haitoi taarifa za kueleweka.
Nilikuwa naangalia mpira nikiwa kazini wakati wanamtambulisha manula kila mtu anasema lake, mwingine anasema kaumia mguu alikuwa anatembelea magongo, mwingine anasema kaumia mkono, mwingine nyonga.
Na pamoja kutambulishwa hatujui atakaa nje mda gani.
Lawama zinapaswa zielekezwe kwanza kwa management ya simba maana unaweza kuta phiri uturuki ilikuwa ni sehemu ya mazoezi lkn bado anahitaji mda hivyo huku tutabaki kusumbuana kumbe bench la ufundi lina yake.
Pia mliotaka aachwe nanyi mkumbuke bado ana mkataba na karibia nusu ya mwisho ya msimu alikuwa nje sasa sijui mlitaka abebwe akiwa mgonjwa na nani.
Nilikuwa naangalia mpira nikiwa kazini wakati wanamtambulisha manula kila mtu anasema lake, mwingine anasema kaumia mguu alikuwa anatembelea magongo, mwingine anasema kaumia mkono, mwingine nyonga.
Na pamoja kutambulishwa hatujui atakaa nje mda gani.
Lawama zinapaswa zielekezwe kwanza kwa management ya simba maana unaweza kuta phiri uturuki ilikuwa ni sehemu ya mazoezi lkn bado anahitaji mda hivyo huku tutabaki kusumbuana kumbe bench la ufundi lina yake.
Pia mliotaka aachwe nanyi mkumbuke bado ana mkataba na karibia nusu ya mwisho ya msimu alikuwa nje sasa sijui mlitaka abebwe akiwa mgonjwa na nani.