MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Wanalunyasi,
Ni vizuri kuambiana ukweli wengine msije kufa kwa pressure game na Asec. Timu yetu mpaka sasa haina kocha mkuu wala kocha wa fitness.
Timu inafanya mazoezi na waalimu ambao kwa muda huu mfupi huku wakiwa wanajua wanashikilia bomba kwa muda mfupi ni ngumu kuwa motivated!
Tunahamasishwa kwenda uwanjani bila viongozi kuonesha nia na commitment mpya baada ya kipigo cha aibu dhidi ya watani. Kwenye press zao wanajitetea tu bila kukubali kuwajibika pia.
Matatizo ya Simba kiufundi msitegemee mabadiliko makubwa sana kwa muda huu mfupi. Juma Mgunda angeweza kutusaidia kwa program fupi lakini hawa waliopewa timu tujiandae.
Swala la kocha mkuu ni dharura, linapaswa lifanyiwe kazi kidharura. Kama funds zipo kupata kocha bora sio tatizo ila kama budget ni kikwazo lazima itatuchukua muda mrefu na kutugharimu.
Game na Asec haina dalili nzuri mpaka sasa. Viongozi wetu wachangamke na pia wawe na data base ya makocha wakubwa wenye vigezo ili kutafuta kocha isiwe kama anatokea sayari nyingine.
Ni vizuri kuambiana ukweli wengine msije kufa kwa pressure game na Asec. Timu yetu mpaka sasa haina kocha mkuu wala kocha wa fitness.
Timu inafanya mazoezi na waalimu ambao kwa muda huu mfupi huku wakiwa wanajua wanashikilia bomba kwa muda mfupi ni ngumu kuwa motivated!
Tunahamasishwa kwenda uwanjani bila viongozi kuonesha nia na commitment mpya baada ya kipigo cha aibu dhidi ya watani. Kwenye press zao wanajitetea tu bila kukubali kuwajibika pia.
Matatizo ya Simba kiufundi msitegemee mabadiliko makubwa sana kwa muda huu mfupi. Juma Mgunda angeweza kutusaidia kwa program fupi lakini hawa waliopewa timu tujiandae.
Swala la kocha mkuu ni dharura, linapaswa lifanyiwe kazi kidharura. Kama funds zipo kupata kocha bora sio tatizo ila kama budget ni kikwazo lazima itatuchukua muda mrefu na kutugharimu.
Game na Asec haina dalili nzuri mpaka sasa. Viongozi wetu wachangamke na pia wawe na data base ya makocha wakubwa wenye vigezo ili kutafuta kocha isiwe kama anatokea sayari nyingine.