Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Naunga mkono hoja 👍👏Asec wanaongoza league ya kwao,pili ni moja ya timu iliyojaa vijana wadogo. Sasa ule ugoigoi wenu mkipoteza mpira hamuwahi recover mpira mnatembea,mtapigwa nyingi. Msimu huu kwenye mechi zote ulizocheza cleansheet hazidi tatu,kila mechi unamuhusu magoli.
Hapo lazima muwe na utimamu wa mwili,ili muweze kushindana na timu iliyo sheheni vijana wadogo la sivyo,mmejitahidi sana droo.