Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Wewe tatizo lako nini ,wakaushie wewe subiri mechi yako J'mosi.Washabiki wa simba sasa hivi kila mmoja anachekelea kwa ushindi wa kesho dhidi ya al ahaly yaan wanaingia na matokeo mfukoni kesho wakifungwa wataanza tena nyimbo zao za kumlaumu kikosi chao, mangungu na dewji
Ni hatari sana kuingia na matokeo mfukoni
Hii ni forum nauhuru wa kuongea kile nachojisikiaWewe tatizo lako nini ,wakaushie wewe subiri mechi yako J'mosi.
Plus kujifarijiNi imani tutafanya hivyo
Tutamkanda za kutoshaPlus kujifariji
hiyo mechi sio rahisi kama mashabiki wengi wanavyo mdharau al ahaly
Hata mechi vs yanga november mliingia na matokeo mfukoni kilichowatokea mnakijuaTutamkanda za kutosha
Kaa kwa kutuliaHata mechi vs yanga november mliingia na matokeo mfukoni kilichowatokea mnakijua
Ninyi hamjanunua za Al ahlyYaan hao watu wanajiamini sana na ndo walionunua kwa wingi jezi za mamelodi
Ninyi hamjanunua za Al ahly
Naunga mkono hojaWashabiki wa simba sasa hivi kila mmoja anachekelea kwa ushindi wa kesho dhidi ya al ahaly yaan wanaingia na matokeo mfukoni kesho wakifungwa wataanza tena nyimbo zao za kumlaumu kikosi chao, mangungu na dewji
Ni hatari sana kuingia na matokeo mfukoni
Hata kwenye mchezo wao na Yanga Nov. 2023 waliingia hivi hivi na matokeo yao mifukoni. Kilichowakuta mpaka leo ni historia.Washabiki wa simba sasa hivi kila mmoja anachekelea kwa ushindi wa kesho dhidi ya al ahaly yaan wanaingia na matokeo mfukoni kesho wakifungwa wataanza tena nyimbo zao za kumlaumu kikosi chao, mangungu na dewji
Ni hatari sana kuingia na matokeo mfukoni