Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Maneno unayaunga hata nafasi huachi, unajichora tu kuwa elimu yako ni ya shule ya msingi, tena haukuimaliza!Hii ni forum nauhuru wa kuongea kile nachojisikia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maneno unayaunga hata nafasi huachi, unajichora tu kuwa elimu yako ni ya shule ya msingi, tena haukuimaliza!Hii ni forum nauhuru wa kuongea kile nachojisikia
Yaani shabiki wa Yanga na akili zake timamu anunue jezi yenye rangi nyekundu na nyeupe ya Al Ahly!Ninyi hamjanunua za Al ahly
🤣 Mngekua mnaanza kabla yetu kucheza mngepata nguvuYaani shabiki wa Yanga na akili zake timamu anunue jezi yenye rangi nyekundu na nyeupe ya Al Ahly!
Nyinyi mashabiki mbumbumbu ndiyo mmeingia choo cha kike kwa kununua jezi zinazofanana na zile za Yanga. Na hiyo keshokutwa mtakuwa hamna tofauti na mashabiki wa Yanga.
wameelekea kibla tayariLakini tangu Al ahaly watue,kuna kautulivu fulani mikia wanako
bado CairoMakolo watatandikwa nje ndani yaani tupo hapa subiri muone...naichukia mno simba
Hahahahaha...Washabiki wa Simba sasa hivi kila mmoja anachekelea kwa ushindi wa kesho dhidi ya Al Ahly yaani wanaingia na matokeo mfukoni kesho wakifungwa wataanza tena nyimbo zao za kumlaumu kikosi chao, Mangungu na Dewji
Ni hatari sana kuingia na matokeo mfukoni