Watu wanaona lakini ni vipofu,, Katika mechi (4) za mwisho za vinara wa ligi kuu Tanzania bara, wote wameshinda mchezo mmoja pekee !
Young Africans sc (1) !
✅ 2 - 1 Namungo fc
⚠️ 0 - 0 Simba sports club
⚠️ 0 - 0 Ruvu shooting
⚠️ 0 - 0 Tanzania prisons
.
.
Simba sports club (2)
⚠️ 0 - 0 Polisi Tanzania
⚠️ 0 - 0 Young Africans sc
⚠️ 2 - 2 Namungo fc
✅ 4 - 1 Ruvu shooting
.
.
Azam football club (3) !
⚠️ 2 - 2 Geita gold
❎ 1 - 0 Kagera sugar
✅ 2 - 1 KMC football club
❎ 2 - 1 Mbeya city
.
.
Ile kauli ya timu dhaifu kwa takwimu hizo inakufa kifo cha kawaida 'Natural death'
Wote wameshinda mchezo (1) pekee kwenye michezo (4) ya mwisho lakini kelele nyingi na kashfa zipo kwa Yanga !!! Unadhani kwa nini ?