Mashabiki wa Simba wanatumia propaganda kutoa Yanga kwenye reli ya ubingwa

Mashabiki wa Simba wanatumia propaganda kutoa Yanga kwenye reli ya ubingwa

Mashabiki wa Simba wanatumia Akili saana kueneza propaganda Zao siku hizi baada ya kuona mwaka huu kombe hawana wameanza propaganda kumtowa mayele kwenye reli Mara sio mshambuliaji
Mara ni wa kawaida saana
Mara hawezi kutufunga sisi
Wamesau FA
Mara anafunga timu mbovu
Mara league ni dhaifu
Mara mayele hawezi kucheza klabu bingwa Africa yaani ni mengi Kweli
Na yote Haya wanafanya ili wa mtowe mayele kwenye reli kama walivyo mtowa Molinga
Na ipo siku kwa style hii Yao Kuna baadhi ya mashabiki wa Simba watavaa jezi za yanga wanakwenda Mpirani ili kumzomea mayele huu ndo ukweli
Kwani uongo..yote ya kweli hata bila propaganda kama ulivyoita
 
Mashabiki wa Simba wanatumia Akili saana kueneza propaganda Zao siku hizi baada ya kuona mwaka huu kombe hawana wameanza propaganda kumtowa mayele kwenye reli Mara sio mshambuliaji
Mara ni wa kawaida saana
Mara hawezi kutufunga sisi
Wamesau FA
Mara anafunga timu mbovu
Mara league ni dhaifu
Mara mayele hawezi kucheza klabu bingwa Africa yaani ni mengi Kweli
Na yote Haya wanafanya ili wa mtowe mayele kwenye reli kama walivyo mtowa Molinga
Na ipo siku kwa style hii Yao Kuna baadhi ya mashabiki wa Simba watavaa jezi za yanga wanakwenda Mpirani ili kumzomea mayele huu ndo ukweli
hahahaaa usijihami asee
 
Watu wanaona lakini ni vipofu,, Katika mechi (4) za mwisho za vinara wa ligi kuu Tanzania bara, wote wameshinda mchezo mmoja pekee !

Young Africans sc (1) !
✅ 2 - 1 Namungo fc
⚠️ 0 - 0 Simba sports club
⚠️ 0 - 0 Ruvu shooting
⚠️ 0 - 0 Tanzania prisons
.
.
Simba sports club (2)
⚠️ 0 - 0 Polisi Tanzania
⚠️ 0 - 0 Young Africans sc
⚠️ 2 - 2 Namungo fc
✅ 4 - 1 Ruvu shooting
.
.
Azam football club (3) !
⚠️ 2 - 2 Geita gold
❎ 1 - 0 Kagera sugar
✅ 2 - 1 KMC football club
❎ 2 - 1 Mbeya city
.
.
Ile kauli ya timu dhaifu kwa takwimu hizo inakufa kifo cha kawaida 'Natural death'

Wote wameshinda mchezo (1) pekee kwenye michezo (4) ya mwisho lakini kelele nyingi na kashfa zipo kwa Yanga !!! Unadhani kwa nini ?
 
Back
Top Bottom