Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Umemaliza wa kwetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemaliza wa kwetu
Waje Nelson Mandela huku SumbawangaSimba isiruhusiwe kucheza taifa, mechi zao zipelekwe KMC kwenye majukwaa ya chuma
Unajilaza mwenyewe na viatu mwanaume umekua mwajuma ndala ndefu..kila uchwao kudanga kwa jirani..huko kwako hapakutoshi?? HahahaMakolo nawalaza na viatu
Hamuungane 100
Haya mkuuSikujibu tena huna akili
Kwenye kundi Kuna timu imefuzu?
La mama yakoWeeekundu la magomeni au msimbazi?
Sawa tunashukuru kwa kuanzisha uziMashabiki wa Simba wamefanya uharibifu mkubwa kwenye uwanja wa Taifa, baada ya mchezo kati ya Simba vs sc sFaxien
Hii imeleta picha mbaya mbele ya uso wa Kimataifa hasa Kwa watu waliostaarabika, kung'oa Viti na kurushia wageni raia wa Tunisia waliokuwa hawana siraha
Mashabiki hao wameng'oa mamia ya viti na kuharibu miundo mbinu ya uwanja
Tukumbuke serikali ipo katika ukaribati wa uwanja wa Taifa Kwa ajili ya maandaliz ya CHAN na CAF
Ukarabati huu unatumia Kodi za Watanzania wote, sio jambo jema serikali itumie Kodi zetu wavuja jasho na mashabiki wahuni waje waharibu miundo mbinu hii
Naomba serikali iwatake Simba kukarabati na kununua viti walivyong'oa na wazuiwe kutumia uwanja wa Benjamin Mkapa wahamie Bunju majarubani
Sisi walipa Kodi hatupo tayari kulipa Kodi zitengeneze miundo mbinu na Mashabiki wa Simba waje kuvunja viti
Mama yangu ni weweLa mama yako
Anayeshangaa Simba kung'oa viti ilhali wameshinda hajui akili za Simba.
Ndo maana Rage aliwaita Simba mbumbumbu. Tena aliwaita hivyo akiwa Mwenyekiti wao, na aliwaita hivyo kwenye mkutano mkuu wa Simba (yaani mkutano mkubwa kuliko yote). Kwa hiyo maneno ya Rage kuwaita Simba mbumbumbu yamo kwenye hansadi za Simba.
Video hii hapa:
View: https://youtu.be/zCCoWFJGScU
Uto wamechanganyikiwa, na sahivi ndo wamevurugwa kabisaa.Sasa mkuu hivi kweli unautimamu wa akili?
Ni kama wewe ufaulu mitihani yako halafu baba ako akupige vibao
Tushinde sisi halafu tung'oe viti kwanini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Stress zitakuua. Hama Hilo litimu umekuwa kama mwehu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee mbona huachani na Simba, ukaongelea team lako lilojifia kibudu.Achana na Yanga, ongelea timu lako