Mashabiki wa Simba waumbuka... kauli ya Shaffi yaanza kuthibitisha.

Mashabiki wa Simba waumbuka... kauli ya Shaffi yaanza kuthibitisha.

Vontec

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2020
Posts
245
Reaction score
386
Wale mashabiki wa makolo walio mshambulia sana tena sana Shaffii Dauda Jana kwa andiko lake kuhusu hali ndani ya Simba kutokua sawa, na ata akadhibitisha kwa kuambatanisha na video ya Dejan akitaka kuzichapa na Okrah lakini bado wakawa wanabisha na kukataa katakata.

Na akatoa angalizo la kwamba matokeo ya mpira wa miguu yanapatikana na mambo mengi ikiwemo ushirikiano na upendo na kusema tulichokiona jana kupitia zile videos si shwari kabisa na je vipi kuhusu vinavyotokea huko ambapo hatupaoni (dressing room, kambini na mazoezini).

Na akasema Time will tell, Mashabiki wengi walimjia juu na kumshambulia kwa maneno makali na kumkashifu lakini yapo wapi leo!!? maneno yameanza kudhibitika Dejan kavunja sijui kavunjiwa mkataba huko.
 
Anaandika tena Shaffi Dauda... ✍️

Mimi niliwaambia kuwa kuna vitu havipo sawa ndani ya Simba, ni juzi tu nilitoka kuwaambia hapa hapa mkaona nawakebehi, mkahisi siwatakii mema na kuamini nina agenda binafsi.

DIGALA sipo hapa kuonea mtu wala timu, sipo hapa kusema uongo ili kiwe nini? Huko tushapita, kila nikitaka niwape dawa naona mnakimbia drip kwa kuamini panadol inatosha kupooza maumivu.

Jana pia nimetoka kuwaambia mkishaenea darasani mwambieni Kiranja aje kuniita niwape darasa zuri sana Simba ila mkakaidi, kwasasa nawapa muda mjitafakari kisha DIGALA nitazungumza kuwaambia wapi mnakosea huko ndani.

Kubalini drip la DIGALA liwaingie, ni dawa nzuri sana kuliko hizo panadol zenu mnazopeana kuwa nawachukia, nawapenda sana, nataka niwaweke sawa.

Nasubiri Press Release nipo pale nimekaa, mkienea darasani basi mtumeni Kiranja aje kuniita.
 
Acha kukurupuka..Ahmed alijibu vizuri tu kwamba wamegombana wachezaji wawili na huyo mmoja ndiyo huyo mtoto wa Mama ameshindwa kuhimili pressure ameondoka..hili halikuwa na mficho kwani tulijua tu baada ya kuondoka mjomba yake nae angeondoka.
Kumbuka tu Simba ni taasisi na itaendelea kuwepo.
 
Acha kukurupuka..Ahmed alijibu vizuri tu kwamba wamegombana wachezaji wawili na huyo mmoja ndiyo huyo mtoto wa Mama ameshindwa kuhimili pressure ameondoka..hili halikuwa na mficho kwani tulijua tu baada ya kuondoka mjomba yake nae angeondoka.
Kumbuka tu Simba ni taasisi na itaendelea kuwepo.
Hahah timu ya maplesha [emoji1][emoji1][emoji1].

Sawa, haya sasa tafuteni straika anaeweza kuhimili pressure [emoji3]
 
Kama ndani kuna ubaguzi,kwakweli siyo fresh,wajitafakari.
 
Mchezaji kuondolewa ni mambo ya kawaida.

Mbona uto wamemwacha kambole?
Kama kawaida makolo badala mtafakari hali mnakimbilia kutetea! Hii kasumba huwa inatukosti sana Watanzania. Hebu kabla hujatetea jiulize kama unajenga au unabomoa.

WEWE UNAONA NI KAWAIDA MCHEZAJI KUONDOLEWA KATIKATI YA MKATABA? Si mlimsajili kwa mbwembwe nyingi huyu unasemaje sasa mchezaji kuondolewa ni kawaida, na kama ni kawaida mlimsajili wa nini?
 
Sijaona kitu cha ajabu hapo kwani simba ndo timu ya kwanza kuachana na mchezaji
Kama kawaida makolo badala mtafakari hali mnakimbilia kutetea! Hii kasumba huwa inatukosti sana Watanzania. Hebu kabla hujatetea jiulize kama unajenga au unabomoa.

WEWE UNAONA NI KAWAIDA MCHEZAJI KUONDOLEWA KATIKATI YA MKATABA? Si mlimsajili kwa mbwembwe nyingi huyu unasemaje sasa mchezaji kuondolewa ni kawaida, na kama ni kawaida mlimsajili wa nini?
 
Na hivi si tuliambiwagwa ndio mchezaji mwenye mkataba mrefu kuliko wachezaji wote hapo ukoloni!! [emoji3][emoji3]
 
Kama kawaida makolo badala mtafakari hali mnakimbilia kutetea! Hii kasumba huwa inatukosti sana Watanzania. Hebu kabla hujatetea jiulize kama unajenga au unabomoa.

WEWE UNAONA NI KAWAIDA MCHEZAJI KUONDOLEWA KATIKATI YA MKATABA? Si mlimsajili kwa mbwembwe nyingi huyu unasemaje sasa mchezaji kuondolewa ni kawaida, na kama ni kawaida mlimsajili wa nini?
Kambole mlimsajili wa nini kwa mbwembwe zile?
 
Kasajiliwa kwa mbwembwe lakin wamegundua hana uwezo walioutegemea sasa kwanini wamng'ang'anie
Kama kawaida makolo badala mtafakari hali mnakimbilia kutetea! Hii kasumba huwa inatukosti sana Watanzania. Hebu kabla hujatetea jiulize kama unajenga au unabomoa.

WEWE UNAONA NI KAWAIDA MCHEZAJI KUONDOLEWA KATIKATI YA MKATABA? Si mlimsajili kwa mbwembwe nyingi huyu unasemaje sasa mchezaji kuondolewa ni kawaida, na kama ni kawaida mlimsajili wa nini?
 
Kama kawaida makolo badala mtafakari hali mnakimbilia kutetea! Hii kasumba huwa inatukosti sana Watanzania. Hebu kabla hujatetea jiulize kama unajenga au unabomoa.

WEWE UNAONA NI KAWAIDA MCHEZAJI KUONDOLEWA KATIKATI YA MKATABA? Si mlimsajili kwa mbwembwe nyingi huyu unasemaje sasa mchezaji kuondolewa ni kawaida, na kama ni kawaida mlimsajili wa nini?
Yaani sijui mnajizima data makusudi au ndio hamna akili. Umesahau ishu ya KALINYOSI mara hii
 
Kasajiliwa kwa mbwembwe lakin wamegundua hana uwezo walioutegemea sasa kwanini wamng'ang'anie
Na goli kqfunga
Kambole mpaka mnasitisha mkataba wake kafunga goli ngapi?
 
Back
Top Bottom