DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Nimemsikia mjinga Mmoja kupitia Uhuru Fm anamlalamikia Kijana Mlinda mlango Ally salumu eti hawezi kudaka mechi kubwa yaani , kuongea ongea tu mfano wa walevi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeskia mahali Kakolanya ameshapewa chake na Mo.KUHUSU SUALA LA USAJILI.
NASHAURI YAFUATAYO.
1. NIMESIKITIKA UONGOZI KUMUACHA BENO KAKOLANYA.
Kupata Golikipa aina ya kakolanya itakuwa mtihani mkubwa sana.
Sijui kama Tutakuwa na Golikipa No 2 mwenye ubora wa Kakolanya.
Sijui kama hatutaenda Nje kutafuta mbadala wa MANURA.
2.UBAHILI NA 10% KWENYE IDARA YA USAJILI.
tumeshuhudia wakiletwa wachezaji cheep mno kwenye usajili wachezaji wenye uwezo mdogo sana na gharama ndogo sama
3. USAJILI WA QUALITY NDOGO NA KUKOSA SCAUT WAZURI.
I. Ismail sawadogo.
II .mohamed Qottara
III. Augustino Okkrah. (9)
IV. Peter Banda.
V. Sadio Kanute atafutiwe mbadala(8)
VI. Sackho nae Atupishe.
4. WACHEZAJI WAZAWA NAPO NI SHIDA.
Changamoto ya umli.
Nyoni, Boko, mkude,
Viwango vidogo.
Kapama, Gadiel, Mwanuke,
MASHABIKI TUMECHOSHWA KUISHIA ROBO FAINALI.
TUNA HELA ZA KUTOSHA KWA AJILI YA USAJILI.
HELA YA SUPER CUP 4 BILION.
HELA YA CAF. CAFCL 2 BILION
UONGOZI PUNGUZENI UBAHILI
ROBERTINO ASAJILI.
Mashabiki mandazi tu nyie mnataka mambo Makubwa wakati nyie hamna mnachochangia katika Simba Muacheni Mo afanye Kazi Yake kwa ufasaha.KUHUSU SUALA LA USAJILI.
NASHAURI YAFUATAYO.
1. NIMESIKITIKA UONGOZI KUMUACHA BENO KAKOLANYA.
Kupata Golikipa aina ya kakolanya itakuwa mtihani mkubwa sana.
Sijui kama Tutakuwa na Golikipa No 2 mwenye ubora wa Kakolanya.
Sijui kama hatutaenda Nje kutafuta mbadala wa MANURA.
2.UBAHILI NA 10% KWENYE IDARA YA USAJILI.
tumeshuhudia wakiletwa wachezaji cheep mno kwenye usajili wachezaji wenye uwezo mdogo sana na gharama ndogo sama
3. USAJILI WA QUALITY NDOGO NA KUKOSA SCAUT WAZURI.
I. Ismail sawadogo.
II .mohamed Qottara
III. Augustino Okkrah. (9)
IV. Peter Banda.
V. Sadio Kanute atafutiwe mbadala(8)
VI. Sackho nae Atupishe.
4. WACHEZAJI WAZAWA NAPO NI SHIDA.
Changamoto ya umli.
Nyoni, Boko, mkude,
Viwango vidogo.
Kapama, Gadiel, Mwanuke,
MASHABIKI TUMECHOSHWA KUISHIA ROBO FAINALI.
TUNA HELA ZA KUTOSHA KWA AJILI YA USAJILI.
HELA YA SUPER CUP 4 BILION.
HELA YA CAF. CAFCL 2 BILION
UONGOZI PUNGUZENI UBAHILI
ROBERTINO ASAJILI.
Kweli mkuuSimba washabiki wake wengi sio wote Wana shida ya mihemuko
Huna point,funga mdomo 🤫Sasa kama Alhaji Rage Alisha wa set katika mode ya u mbumbumbu unategemea Nini?
Hii redio bado ipo?Nimemsikia mjinga Mmoja kupitia Uhuru Fm anamlalamikia Kijana Mlinda mlango Ally salumu eti hawezi kudaka mechi kubwa yaani , kuongea ongea tu mfano wa walevi.
Wewe unasikiliza radio gani mpaka kuuliza hivyo?Hii redio bado ipo?
Maeneo niliko nina miaka mingi sijaisikia nikajua haipo tena.Wewe unasikiliza radio gani mpaka kuuliza hivyo?
Nyie Kama watoto wadogo Sasa ndo nini
Maeneo niliko nina miaka mingi sijaisikia nikajua haipo tena.