BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Natumia StartimesHauna dikoda? DStv au Azam?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natumia StartimesHauna dikoda? DStv au Azam?
Kipa anavutwa na sumaku kushoto 🤣🤣🤣Nyie Kama watoto wadogo Sasa ndo nini
Huu utotoKipa anavutwa na sumaku kushoto 🤣🤣🤣
Mrembo upo??????Sako aondokeee
Wanaojitambua yanga ni wawili tu(wenye Akili)(Manara,2019).Nimemsikia mjinga Mmoja kupitia Uhuru Fm anamlalamikia Kijana Mlinda mlango Ally salumu eti hawezi kudaka mechi kubwa yaani , kuongea ongea tu mfano wa walevi.
Huyo ni utopolo.Nimemsikia mjinga Mmoja kupitia Uhuru Fm anamlalamikia Kijana Mlinda mlango Ally salumu eti hawezi kudaka mechi kubwa yaani , kuongea ongea tu mfano wa walevi.