Mashabiki wa Simba wenye akili hizi ‘ mbovu ‘ kama za Mashabiki wa Yanga ‘ watupishe ‘ haraka

Wataipita hii kama hawaioni
 
Huu ni ukuda
 
Hata jengo la Simba kajenga Karume
 
MO kaweka mzigo? Anataka hati zote wazee wamekataa.. Mgogoro utakaokuja balaa Kanji anadai 7B za uendeshaji timu. . . Wazee walimtaka Bakhresa mzee mwenzao vijana Wakakaza. Mambo mengi muda mchache
 
Haya mr yanga!! Ukitaka kufanikiwa kukosolewa lazima!! At the end mtakuja kushituka watu washajijenga zaidi
MO kaweka mzigo? Anataka hati zote wazee wamekataa.. Mgogoro utakaokuja balaa Kanji anadai 7B za uendeshaji timu. . . Wazee walimtaka Bakhresa mzee mwenzao vijana Wakakaza. Mambo mengi muda mchache
 
Ninyi ni ombaomba tu huwezi andika waraka mrefu hivi kujaribu kusafunya ushenzi mlioufanya..kale kajamaa kameingia tu kanarukaruka uwanjani kumbe kanawaza[emoji151][emoji151][emoji151][emoji151]
 
Kwani si mnaongozwa na manara aliye waaminisha kuwa mnaweza kuwafunga hata Barcelona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…