Mashabiki wa Simba wenye akili hizi ‘ mbovu ‘ kama za Mashabiki wa Yanga ‘ watupishe ‘ haraka

Mashabiki wa Simba wenye akili hizi ‘ mbovu ‘ kama za Mashabiki wa Yanga ‘ watupishe ‘ haraka

Yanga anamuomba nani hivi kiongozi kumuambia mwanachama au mpenzi wa timu kuchangia ndio kuomba basi hii kali ata katika nyumba za ibada nao masheikh na wachungaji niombaomba maana wanawaambia waumini wachangie.

Ni lini mwana Yanga amewahi kuwa na ' Akili ' Mkuu? Mngekuwa na ' Akili ' Klabu yenu ingeendelea kuwa pale ' Bwawani ' huku mkiwapa ' Hifadhi ' ya Kudumu Vyura na Mbu wa Dengue?
 
Kumbuka marehemu Mambosasa aliiba godoro guest.

Anayeiba Nyumbani Kwao na Yule anayeiba Ugenini na akaiabisha Timu, Ubalozi na nchi ya Tanzania nani ni ' Popoma Mwandamizi ' Kwako? Nasubiri Jibu langu tafadhali.
 
Kocha kafanya poa sana kuwapa nafasi wachezaji wake kuandika historia na kujifunza kutoka kwa walio bora zaidi.
Haikuwa fainal wala mtoano ni friend game dhidi ya timu kubwa ulaya.. Kwa wale walionuna juu ya matokeo wana mapungufu yao tu.
 
Gentmycine ni wa ovyo kabisa, hujui Yanga ilikuwa kituo cha kuhamasisha uhuru wa Tanganyika na Baadae Zanzibar??
Unaowadharau hawana akili ndo walitawala nchi hii.
Yanga jengolilijengwa na marehemu Karume , umeelewa??
Yanga ni club ya wananchi hutaki, kajinyonge basi!!
 
Huko nyuma nilidhani Mashabiki wa Simba SC wana uelewa mkubwa wa Masuala mazima ya Kimpira kuliko wale Mashabiki wa ‘ hovyo hovyo ‘ wa Yanga SC kumbe taratibu sasa naanza kuona hali ni tofauti na huenda wakawepo wengi kuliko vile nilivyokuwa nadhania.

Jana wakati mchezo kati ya Simba ya Tanzania ( Third World Country ) dhidi ya Sevilla ya Hispania ( First World Country ) ulioisha kwa Simba Kufungwa Goli / Mabao 5 kwa 4 nilishangaa mno n asana kuwaona Mashabiki ‘ Wapuuzi ‘ wa Simba jinsi Mishipa ya Shingo ilivyokuwa ikiwatoka kwa Kulaumu na Kukasirika kwanini tumefungwa wakati Sisi ndiyo tulikuwa tukiongoza Kipindi cha Kwanza.

Ninaposema kuwa kuna Mashabiki wa Simba uwezo Wao wa akili hasa wa Kuchambua Mpira ni sawa na wale tuliowazoea wa Yanga ambao ni mdogo mno au ni wa ‘ hovyo hovyo ‘ muwe mnanielewa tafadhalini kwani jana ndiyo nimethibitisha rasmi japo huko nyuma nilikuwa nikihisi tu pekee.

Hivi kweli kwa akili ya Kawaida tu kuna mwana Simba ambaye Kiukweli kabisa jana alijua kuwa Simba tungeshinda ile mechi? Hivi mnajua ya kwamba wakati Simba yetu ikichezesha Vikosi vyake viwili vipana na tukamaliza kabisa Wenzetu Sevilla waliwacheza Wachezaji wao wengi ambao hata huwa hawapati kabisa nafasi ikiwemo Yule Kipa japo baadae waliwaingiza Wachezaji Wao mahiri Watatu tu?

Nyie wana Simba wenye akili za ‘ hovyo hovyo ‘ kama za wana Yanga hivi mnatambua ‘ Thamani ‘ ya Klabu ya Sevilla, Uwekezaji wake na Mafanikio yake hasa katika Soka la Ulaya Bara ambalo kila Mwafrika kila Siku ‘ anaota ‘ kama si ‘ Kutamani ‘ pia kwenda Kuishi huko?

Je nyie wana Simba wenye akili za ‘ hovyo hovyo ‘ kama za wana Yanga hivi mmeshajiuliza tu ‘ Kiufundi ‘ ni kwanini jana Kipindi cha Kwanza Sevilla walikuwa wanapooza mpira lakini Kipindi cha pili wakabadilika na kupelekea Kutufunga yale Magoli yao mazuri na ya ‘ Kiutaalam ‘ kabisa ambayo nina uhakika kama muda ungeongezwa pale basi hata Wiki ( Goli / Mabao 7 ) pengine hata 10 ‘ tungeyakoga ‘ pale Kwa Mkapa / Taifa?

Yote Kenda / Tisa ila Kumi ambapo ndiyo nilichoka kabisa na kuona kuwa kumbe kuna uwezekano huku Simba kukawa na Mashabiki wa ‘ hovyo hovyo ‘ hata kuliko wale wanaopatikana kwa uwingi kule Yanga. Kitendo cha wana Simba ‘ Kukasirika ‘ kwanini Kocha Patrick Aussems alifanya ‘ Mabadiliko ‘ ndiyo kimenithibitishia kuwa kumbe Tanzania kuna Mashabiki wa Mpira tu na hakuna Wanamichezo.

Hivi ni nani asiyejua kuwa lengo Kuu la Kampuni ya Kubashiri Michezo ya Sports Pesa lilikuwa ni Kwanza kuileta tu Klabu ya Sevilla kwa dhumuni Kuu la Kiutalii nchini, Kujenga Uhusiano mwema na Klabu ya Simba lakini kubwa zaidi kuwapa Wachezaji wetu wa Simba ‘ exposure ‘ kubwa na pengine hata ‘ Kuwatamanisha ‘ na Wao Siku moja waende Kucheza huko Ulaya / Dunia ya Kwanza?

Alichokifanya Kocha wetu wa Simba Patrick Aussems jana ni kuhakikisha kuwa anampa kila Mchezaji nafasi ya Kucheza na pia kuweka rekodi katika Maisha yake kuwa aliwahi Kucheza na Klabu Bingwa ya Kihistoria ya Kombe la UEFA ya Sevilla Kitendo ambacho Mimi GENTAMYCINE namsifu / nampongeza sana Kocha wetu kwani lengo Kuu limetimia japo Watu wasiojua mpira kwa marefu na mapana yake Wao lengo lao Kuu ile jana ilikuwa ni Kuiona tu Simba ikishinda halafu waanze ‘ Kujisifu ‘ huku mtaani kuwa wana Timu bora ya kuweza ‘ Kupambana ‘ na hadi Klabu Kubwa na Bingwa za Ulaya jambo ambalo Kiuhalisia ni Kinyume kabisa na ukweli wenyewe uliopo.

Binafsi kama GENTAMYCINE na mwana Simba lialia / kindakindaki nina uhakika pamoja na Kufungwa kule jana na Sevilla ila najua tayari ‘ Scouts ‘ wengi wa Kihispania na hata wale wa nchi zingine ambao jana walikuwa wakiutizama ule Mchezo kwani ulitangazwa sana Mitandaoni na Dunia nzima basi kuna uwezekano mkubwa Klabu ya Simba ikauza Wachezaji wake wengi tu ambao jana walifanya vyema pale lakini hata kama wasipouza sasa ila kuna ‘ Fursa ‘ nyingi ambazo Klabu itaipata na hata Wachezaji Vijana wa Simba watakuja kuipata hapo baadae.

Acheni kuwa na Upeo wa kuona mambo ya karibu karibu na jifunze kuwa na Jicho la Tatu katika Masuala mazima ya Mpira. Nimesikitika sana kuwaona Mashabiki wa Simba ndiyo wana huu Upeo kwani ninavyojua wenye huu Upeo ni wale Mashabiki wa Yanga ambao kama kawaida yao jana Simba ilipofungwa walishangilia kabisa badala ya Wao kuona ‘ Wivu ‘ kwa Simba kupata Mafanikio kila Kukicha na Wao wakibaki tu Kulia njaa.

Nawasilisha.

Mkuu tatizo sio la mashabiki wa simba wenye akili mbovu mbovu 'kama ulivyowaita wewe mwenyewe' ila tatizo limetengenezwa na yule mropokaji wenu aliyewaaminisha kuwa timu yeyote ya nje ikicheza na simba uwanja wa taifa hawachomoki! Mentality hii isingekuwepo ungeona kila mtu anayachukulia matokeo ya jana kama ushujaa! Lakini pia kitu kingine ambacho kinatufanya sisi mashabiki wa MABINGWA WA KIHISTORIA kuwaona nyie simba watu kama wa hovyo hovyo ni kuwa mpira hamuuwezi ila mnapiga kelele sana! Sisi yanga ni wastaarabu sna

Nikirudi kitaalamu nashukuru mkuu kuwa uliona jana magoli mliyofungwa yalikuwa mepesi mepesi snaaa na ya kijinga jinga sana na ya akili ndogo sana (Nawasiwasi wangetumia akili wale wangewafunga 12), tofauti na magoli yenu ambayo nguvu kubwa sna ilitumika. Ur right jana kama zingeongezwa dk 15 tu, nakwambia 7 au 12 zingefika. Lakin niwapongeze kwa kucheza na SEVILLA! Ila hizi TANO TANO mnatutia aibu sana taifa.

Mazembe 5 - 0 simba
Al aHLY 5 - 0 Simba
Simba 0 - 5 Sevilla

Saint Ivuga
 
Ni lini mwana Yanga amewahi kuwa na ' Akili ' Mkuu? Mngekuwa na ' Akili ' Klabu yenu ingeendelea kuwa pale ' Bwawani ' huku mkiwapa ' Hifadhi ' ya Kudumu Vyura na Mbu wa Dengue?
ndio akili yako ilipoishia hapo kwaheri
 
Mkuu tatizo sio la mashabiki wa simba wenye akili mbovu mbovu 'kama ulivyowaita wewe mwenyewe' ila tatizo limetengenezwa na yule mropokaji wenu aliyewaaminisha kuwa timu yeyote ya nje ikicheza na simba uwanja wa taifa hawachomoki! Mentality hii isingekuwepo ungeona kila mtu anayachukulia matokeo ya jana kama ushujaa! Lakini pia kitu kingine ambacho kinatufanya sisi mashabiki wa MABINGWA WA KIHISTORIA kuwaona nyie simba watu kama wa hovyo hovyo ni kuwa mpira hamuuwezi ila mnapiga kelele sana! Sisi yanga ni wastaarabu sna

Nikirudi kitaalamu nashukuru mkuu kuwa uliona jana magoli mliyofungwa yalikuwa mepesi mepesi snaaa na ya kijinga jinga sana na ya akili ndogo sana (Nawasiwasi wangetumia akili wale wangewafunga 12), tofauti na magoli yenu ambayo nguvu kubwa sna ilitumika. Ur right jana kama zingeongezwa dk 15 tu, nakwambia 7 au 12 zingefika. Lakin niwapongeze kwa kucheza na SEVILLA! Ila hizi TANO TANO mnatutia aibu sana taifa.

Mazembe 5 - 0 simba
Al aHLY 5 - 0 Simba
Simba 0 - 5 Sevilla

Saint Ivuga

Umeanza vyema katika Maelezo yako ila huku mwishoni umeonyesha ni jinsi gani aina ya Bange / Bangi ambazo unazitumia ' zinakuathiri ' mno Mkuu na karibia zitakufanya nawe uwe ' Popoma / Mpumbavu Mwandamizi ' kama Omba Omba Bakuli FC Wenzio waliojaza katika Jamvi hili.
 
Gentmycine ni wa ovyo kabisa, hujui Yanga ilikuwa kituo cha kuhamasisha uhuru wa Tanganyika na Baadae Zanzibar??
Unaowadharau hawana akili ndo walitawala nchi hii.
Yanga jengolilijengwa na marehemu Karume , umeelewa??
Yanga ni club ya wananchi hutaki, kajinyonge basi!!

Ni lini mwana Yanga amewahi kuwa na ' Akili Timamu ' Mkuu?
 
Akhsante Mkuu na Siku zote limekuwa ni Jukumu langu Mama / Kuu ' Kuwaelimisha ' wale ' Mapopoma / Wapumbavu ' wachache ambao huwa wanakatisha mbele yangu katika Hoja mbalimbali hapa Jamvini ( JamiiForums ) na naamini pale nikiwa ' nawaelimisha ' basi na Wao huwa wanabadilika haraka kama siyo upesi. Na sitochoka kamwe katika ' Kuwanyoosha ' Mkuu.
Tatizo kichwa chako ni container ya matus
 
Mkuu tatizo sio la mashabiki wa simba wenye akili mbovu mbovu 'kama ulivyowaita wewe mwenyewe' ila tatizo limetengenezwa na yule mropokaji wenu aliyewaaminisha kuwa timu yeyote ya nje ikicheza na simba uwanja wa taifa hawachomoki! Mentality hii isingekuwepo ungeona kila mtu anayachukulia matokeo ya jana kama ushujaa! Lakini pia kitu kingine ambacho kinatufanya sisi mashabiki wa MABINGWA WA KIHISTORIA kuwaona nyie simba watu kama wa hovyo hovyo ni kuwa mpira hamuuwezi ila mnapiga kelele sana! Sisi yanga ni wastaarabu sna

Nikirudi kitaalamu nashukuru mkuu kuwa uliona jana magoli mliyofungwa yalikuwa mepesi mepesi snaaa na ya kijinga jinga sana na ya akili ndogo sana (Nawasiwasi wangetumia akili wale wangewafunga 12), tofauti na magoli yenu ambayo nguvu kubwa sna ilitumika. Ur right jana kama zingeongezwa dk 15 tu, nakwambia 7 au 12 zingefika. Lakin niwapongeze kwa kucheza na SEVILLA! Ila hizi TANO TANO mnatutia aibu sana taifa.

Mazembe 5 - 0 simba
Al aHLY 5 - 0 Simba
Simba 0 - 5 Sevilla

Saint Ivuga
Mkuu hiyo supu ya chura ulokunywa bado inakufanya uharushe uongo?

Simba 4-Sevilla 5. Tupe heshima yetu wanaume bana!
 
Mkuu hiyo supu ya chura ulokunywa bado inakufanya uharushe uongo?

Simba 4-Sevilla 5. Tupe heshima yetu wanaume bana!
daaa yaani mmetufanya mpaka tushazoea mkifungwa tano tunaassume ni tano bila! pole mkuu haya ngoja nirekebishe

simba 4 - 5 sevilla
 
Gentamycine usihangaike sana kwani kuna watu humu wameanza kupenda ushabiki wa mpira juzi juzi tu tena baada ya TV kuanza kuwa nyingi. Binafsi namsifu kocha Ausems kwa kuwapa wachezaji wote nafasi waandike historia katika maisha yao. Na sio katika mechi ya Sevilla tu hata katika ligi na hakuna mchezaji ambaye atalalamika kuachwa kwani kila mmoja alipewa nafasi kuonyesha uwezo wake na wengine wameshindwa wenyewe.

Katika pre season timu za wenzetu huwa wanajifunza mbinu mbali mbali na mfumo watakaotumia kutokana na aina ya wachezaji waliowaongenza kwa hiyo hawaaangalii sana matokeo. Kwa shabiki aliyeamini kabisa kuwa Simba itamfunga Sevilla akifungulia pump zote nadhani haufahamu mpira vizuri. Na Ausems analijua hilo ndio sababu kubwa ya kuwapa vijana wake wote nafasi waonyeshe uwezo wao na kuandika historia iliyotukuka katika maisha yao. Hiyo Sevilla ukiikuta imefungulia pump zote kwenye La Liga Barca na Madrid huwa saa nyingine wanakubali kipigo.
 
Back
Top Bottom