Eng Inc
JF-Expert Member
- Feb 3, 2017
- 631
- 944
Sio kweli kwa hili nakupinga 100%Tatizo lake muda mwingine ana rafu za ajabu ajabu anaweza kuigharimu team
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli kwa hili nakupinga 100%Tatizo lake muda mwingine ana rafu za ajabu ajabu anaweza kuigharimu team
Suarez alimbagua Evra kama sikoseiKuna mpuuzi mmoja anafia Barcelona huko et alimfanyia ubaguzi daah!
Papuchi kabisa Suarez
Comment of the day!Antonio Valencia ana chenga moja tu na hio chenga anapita KULIA.....mabeki wote wanajua na hakuna anaeweza kumzuia asipite kulia!
Sawia kabisaNa ukumbuke jamaa sio natural back, alikuwa ni winga akarudishwa kucheza beki.
Mimi namkubali kwa kuwa anapiga kazi yake kimyakimya na hana makuu.
Nidhamu ya hali ya juu. Pia huwa haongei hovyoValencia hatari sn kitu kingine ni style yke ya" kuchomokea jezi yke dk 90 zote sijawahi ona kachomolea akiwa uwanjani
Mechi dhidi ya Newcastle alicheza shimoni (namba 10)Aisee natamani mata acheze namba kumi basi tu sina uwezo
zaidi ni Haji ManaraAntony valencia na neimar nani zaidi?
Wewe utakuwa unamsemea Juuko MurshidTatizo lake muda mwingine ana rafu za ajabu ajabu anaweza kuigharimu team
kaendelee kuangalia IsidingoKuna mpuuzi mmoja anafia Barcelona huko et alimfanyia ubaguzi daah!
Papuchi kabisa Suarez
teh teh teh tehZaidi Mrisho Ngasa
Anepanda kazi yake,pia anafurahia kuwepo pale OT...Huyu ndiye komando la Man Utd hana masihara ni kazi tu...
Gareth bale akiwa Spur ya Redknapp alikuwa beki akapata majeruhi muda mefu,alipo/pona rudi Redknapp akaanza kupanga mbele pembeni hadi leo amekuwa winga hatareeeeNi wachezaji wachache sana waliomudu kubadilishwa nafasi uwanjani na kuzitendea haki.
Aliyombadilisha valencia ni van gaalNikweli anamudu vema nafasi yake
Tangu enzi za ferguson mpaka sasa
Anafaa kuwa nahodha pale UTD
Disco limeingiliwa na mmasaiAntony valencia na neimar nani zaidi?
Aliyombadilisha valencia ni van gaal
Msimu wa mwisho wa Sir Alex, Valencia alianza kucheza namba mbili hiyo ni baada ya majeraha ya mara kwa mara yaliyokuwa yanamsibu Rafael.Aliyombadilisha valencia ni van gaal
Yaah Wilson palacios Hondurus moja hiyo alikuwa anatawala pale dimbani kifua kipana hivi.Naikumbuka Wigan yake iliyokuwa na Waamerika kusini kama Wilson Palicios, Figueroa
pale mbele walikua na fowadi ana virasta memsahau jinaNaikumbuka Wigan yake iliyokuwa na Waamerika kusini kama Wilson Palicios, Figueroa
Sio alimfanyia Evra kweli!Kuna mpuuzi mmoja anafia Barcelona huko et alimfanyia ubaguzi daah!
Papuchi kabisa Suarez